Endeleeni kuota ,kama mnadhani uefa ni kombe la mbuzi kama makombe ya mbuzi ambayo mnabeba ,Nimeipenda hii, finally we get our revenge.
Cry more sucker!Endeleeni kuota ,kama mnadhani uefa ni kombe la mbuzi kama makombe ya mbuzi ambayo mnabeba ,
UEFA kombe takatifu haliguswi na vibwengo kama ninyi Arsenyetoz
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Nimeipenda hii, finally we get our revenge
Hangaika ucheze Conference league aisee...kuja kubweka hmu ndani haikusaidii chchte 🤠🤠Mtabondwa mchakae , Bayern sio Sheffield United
Ninyi Kenge huwa hamsikii mpaka damu ziwafikie kwenye masikio , round hii mtajuta kushiriki UEFA , Kane anawalia karanga mbichi
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Halafu unajiita shabiki wa Arsenal!Mkuu unamaanisha au🤠🤠..njia ya kwenda fainali ni ngumu sana...tukichomoka hapa...nusu fainali tutatoka...Mmoja kati ya Man City na Madrid atacheza fainali...hiki ndo nnachokiona
Ni suala la muda tu ,False hopers kama wewe mtakimbia hiki kijiwe Chenu ,Cry more sucker!
Na tutacheza naye🤠🤠..tuombe tuwe na full squad...bila majeruhi yyte hlo ndo kubwa...mabeki wetu wte wakiwa fit Hawa tunaruka naoAliesema tumpate Bayern tumempata.
Angalia kwa nyuma kule...beki Bellerin
Ni suala la muda tu ,False hopers kama wewe mtakimbia hiki kijiwe Chenu ,Hangaika ucheze Conference league aisee...kuja kubweka hmu ndani haikusaidii chchte![]()
Kama ww hujakimbia kule kwa wavuta bangi wenu basi na sisi hmu tupo sana.... Chelkenge hamtusumbui...tunaomba tukimaliza na City tuje na nyie maana naona mechi ile waliipeperusha kienyejienyeji...tuwakande kwanza kidomodomo kiisheNi suala la muda tu ,False hopers kama wewe mtakimbia hiki kijiwe Chenu ,
Ninyi huwa hamnipi shida kabisa , plastic fans WA Arsenyetoz
Ngoja tu
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Hii ni Imani ilopitilizaArsenal vs Bayern
Hapa naona tumepewa maiti ili tuiue.
Acha uoga ndugu Yangu..Mkuu unamaanisha au🤠🤠..njia ya kwenda fainali ni ngumu sana...tukichomoka hapa...nusu fainali tutatoka...Mmoja kati ya Man City na Madrid atacheza fainali...hiki ndo nnachokiona