Liverpool kabakiza game ngumu mbili (Technically moja) Game ya old trafford itakuwa ngumu sana maana nyumbu wako tayari kufia uwanjani kuliko kuruhusu Liverpool abebe ndoo awafikie idadi ya makombe ya ligi. Game ya Goodson park pia itakuwa ngumu sababu Everton hawapo tayari Liverpool abebe lakini Everton ni wabovu tu watachelewesha mahakama ila watapigwa.
Man city kabakiza game ngumu moja tu vs Arsenal zilizobaki zote ana uhakika wa kushinda asilimia 100.
Sasa nyie kenge mnaoshangilia ubingwa mpaka mmeanza maandalizi ya sherehe, Mna game ngumu vs Man city(Ambaye kwa vyovyote hawezi kubali kufungwa home and away na arsenali), Mna game ngumu vs Spurs ambao kwa vyovyote wapo tayari kufia uwanjani kuliko kuon mkibeba ndoo, Mna game ngumu vs Aston Villa ugumu wake sababu Unai anataka awa prove wrong, mna game ngumu vs manyumbu hawawezi kubali mbebe ndoo kirahisi, mna game ngumu vs chelsea (Though uwezo wa kushinda mnao), Mwisho mna game ngumu vs Everton ugumu wa game ya Everton na ile ya manyumbu ni kutokana na kuwa hizi game ndio za mwisho na huenda zikaamua kama Everton anabaki ligi kuu au vipi na Manyumbu wanamaliza top 4 au vipi. Kwa kifupi Mpaka sasa mwenye njia nzuri zaidi ya kubeba ndoo kutokana na ratiba ilivyobaki ni Mancity nyie kenge punguzeni mdomo ndio maana mnajinyonga.
View attachment 2931579