[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mechi za mwisho za ligi msimu ulioisha hili jukwaa lilikua limejaa matusi ya wenyewe kwa wenyewe, kocha, wachezaji na timu yote kwa jumla, niamini mimi msimu huu kwenye mechi za mwisho ndio itakua maradufu zaidi, panapo uzima kama kawaida yangu mimi nitakua humu kuwasuluhisha na kuwakumbusha kua nyinyi nyote ni ndugu sio busara kutukanana humu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Msimu ulioisha katika kipindi kama hiki tulikua tunamshauri ndugu yetu
verifaidi yuza kua tunawaombea mema mchukue ndoo ila bado mna mechi ngumu msijipe sana false hopes maana Arsenyo ni Arsenyo tu, muda wowote inaweza kuwaletea simanzi akawa anatujibu shit na mbwembwe kibao, ilipofika mwisho wa msimu tukawa tunamuona na yeye tayari ameshaingia kwenye mfumo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani sisi kazi yetu ni kuwakumbusha tu kwa screen shot kama hizi.
View attachment 2931209View attachment 2931223View attachment 2931229View attachment 2931237