Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Ina maana tembo ndio kagoma kushuka juu ya mti?
Hizi ni dharau sasa yaani tembo atakaa mtini kwa siku ishirini mpaka ifike tarehe 31march Mancity atakapokuja na chain saw.
Wivu sina ila kiukweli roho inauma, kina Masingeli na chawa zake watatutolea shombo humu mpaka hili jukwaa tutaliona chungu


Hizi ni dharau sasa yaani tembo atakaa mtini kwa siku ishirini mpaka ifike tarehe 31march Mancity atakapokuja na chain saw.
Wivu sina ila kiukweli roho inauma, kina Masingeli na chawa zake watatutolea shombo humu mpaka hili jukwaa tutaliona chungu





