Flano kachanganyikiwa na upweke umemzidia 😂😂Halafu kuonesha kama ana kijiba cha roho akawaweka na Leeds kabisa...watawatoa Championship waje kutoa draw na sisi sio 🤠ðŸ¤
Flano kachanganyikiwa na upweke umemzidia 😂😂Halafu kuonesha kama ana kijiba cha roho akawaweka na Leeds kabisa...watawatoa Championship waje kutoa draw na sisi sio 🤠ðŸ¤
We unavyojua Leeds anacheza ligi gani?Sio 4 kwenye mechi 10 mna game 7 zote ngumu City, Spurs, Utd, Chelsea Villa, Brighton na Leeds.
Kwenye hizi mechi 7 mna kila dalili ya kupoteza mechi 3 na draw 1.
Arsenyo kuhusu makombe bado mtasubiri sana mpaka mfike phase 7.
Hawa ni watu au supercomputer...halafu mbona mna nongwa sana...yaani siku mbili tu tangu mmetoka pale juu mmekuwa wakali kwlikwli🤠ðŸ¤Aliyepewa asilimia ndogo na wanaojua mpira mashabiki wao ndio wanapiga kelele wameshaanza maandalizi ya ubingwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka una rekodi za watu 🤣🤣🤣🤣Mashabiki lialia ndio hawa kina verifaidi yuza
Subiri kesho mkifungasha virago vyenu Uefa ndio utajua kati ya Smith Rowe na hao kina verifaidi yuza mashabiki lialia ni kina naniView attachment 2931950
Uo u mwisho gani unauzungumzia kwa sasa si ndo huu wa msimu huu watu wanakula 5 -6 au ?Kwa Hizo hizo dharau zenu msimu ulioisha kwenye mechi 10 za mwisho za ligi mlipoteza mechi 6 kizembe tu.
Liverpool 2 - 2 Arsenal
Westham 2 - 2 Arsenal
Arsenal 3 - 3 Southampton
Mancity 4 - 1 Arsenal
Arsenal 0 - 3 Brighton
N.Forest 1 - 0 Arsenal
Unawania ubingwa na Mancity halafu kwenye mechi 10 za mwisho unapoteza points 12![]()
Msimu uliopita supakompyuta ikasema Arsenal tutachukua ligi.Super computer View attachment 2932023
We unavyojua Leeds anacheza ligi gani?


nimechanganya ndugu zangu nilikua namaanisha hawa vijana wa Luton Town, unajua Hivi vitimu vinavyopanda daraja mara moja kwa kila baada ya miaka 10 midomo yetu inakua bado haijazoea kuvitaja.

Mtu mwenye wake watatu upweke anautolea wapi? 


Kwanza waambie kuwa BENFICA na PORTO kwa pamoja wanajua ladha ya kombe la UCL ila yeye ni anaingia kama underdog tu.Sio kama nakutisha hapana bali nakukumbusha tu huko Ureno kuna timu inafanana kila kitu na Arsenyo inaitwa Benfica, wiki iliyoisha hio Arsenyo ya Ureno imegongwa goli 5 - 0 na Fc porto, wenyewe Arsenyau hua mnaita kono la nyani
Ingawa Mufti ameshatangaza kua kesho waislamu tunaanza mfungo wa Ramadhani, ila kwa jinsi ninavyowajua mashabiki wa Arsenyau matusi yatakua mengi humu bila hata kuheshimu kua watu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani![]()
Kwanza waambie kuwa BENFICA na PORTO kwa pamoja wanajua ladha ya kombe la UCL ila yeye ni anaingia kama underdog tu.


Fc Porto ana Uefa 2 ana uzoefu mkubwa kwenye Uefa na wanazijua chocho zote za CL, halafu hawa kima hawana hata Conference League na tayari washagongwa goli moja lakini wana mdomo utafikiri wana Uefa 7+


Hii supercomputer yenu ilitupa ubingwa last seasonSuper computer View attachment 2932023
Kwahiyo ndo ukaenda ku Google kabisa
Kawaambie hao super computer wako arsenal anachukua EPL na UEFASuper computer View attachment 2932023
Hii supercomputer yenu ilitupa ubingwa last season


Hilo swali unatikiwa umuulize Masingeli, yeye ndie alikua analeta humu breaking news za SuperComputer kila wakati

