Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyinyi hua inajulika kabisa na vivid examples zipo za kutosha.
Hizi hapa ni mechi zenu 10 za mwisho za ligi msimu ulioisha 2022/2023 ambapo mliongoza ligi kwa siku 258 halafu hizi mechi za mwisho zikawatoa kwenye reli. View attachment 2931776
Ww weka takwimu zte ila ndo hvyo sasahv ukifungua EPL table standing unakutana na tembo yupo juu pale🤠🤠
 
Ww weka takwimu zte ila ndo hvyo sasahv ukifungua EPL table standing unakutana na tembo yupo juu pale
Tembo ameshakaa pale juu zaidi ya siku 258 na akaondoka mitupu bila kubeba hata kombe la mbuzi, hivyo tembo kukaa juu ya mti ni sawa tu na nyau kukaa juu ya kochi, baba mwenye nyumba akirudi anashuka na kwenda kujificha jikoni
IMG_20230211_203954.jpg
 
Wao wanaamini mechi zte za Nyumbani kwao wanashinda🤠🤠...halafu sisi za Nyumbani kwetu wanatupangia zipo tutadundwa...Hawa waungwana Hawa🤠🤠...natamani kwny hzi zilizobaki za kwetu na wao wangekuepo tucheze nao tena tuwatwange maana Wana mdomomdomo sana hawa
Turudiane game ya FA au vp
 
Turudiane game ya FA au vp
Fresh tu...maana Press conference ya Klopp kabla ya mechi ya Ligi pale Emirates alisema kabisa kwny FA cup tumeshinda ila Arsenal alitu dominate...Sasa kama mchawi wenu alijuwa kwmba mlishinda kienyeji na mechi ya pili akapigwa Kabali ya mbao kashindwa kurusha hata ngumi moja ndo uje ww shabiki maandazi hmu ndani kutuvimbia🤠🤠...nyny ni wepesi sana...mkikabwa msipewe nafasi ya Counter huwa mnarukaruka tu uwanjani maana hamna mbinu mbadala
 
Kesho 3+...Pepe ajiandae... Brentford tulikuwa tunafanya mazoezi
Sio kama nakutisha hapana bali nakukumbusha tu huko Ureno kuna timu inafanana kila kitu na Arsenyo inaitwa Benfica, wiki iliyoisha hio Arsenyo ya Ureno imegongwa goli 5 - 0 na Fc porto, wenyewe Arsenyau hua mnaita kono la nyani
Ingawa Mufti ameshatangaza kua kesho waislamu tunaanza mfungo wa Ramadhani, ila kwa jinsi ninavyowajua mashabiki wa Arsenyau matusi yatakua mengi humu bila hata kuheshimu kua watu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani
 
Msimu uliopita ilikua mechi dhidi ya Brentford tunapigwa au tunasuluhu kisha City anampiga liva.

Halafu tunaanza hesabu za City akipigwa na fulani na liva na fulani tunakua wa kwanza.

Sasa ishu yaja. Tumepona ule ugonjwa? Nipo dilemma, ile mechi nilisema tunahitaji 7 goals tukashinda 5. Zilikua dalili nzuri actually.
 
Msimu uliopita ilikua mechi dhidi ya Brentford tunapigwa au tunasuluhu kisha City anampiga liva.

Halafu tunaanza hesabu za City akipigwa na fulani na liva na fulani tunakua wa kwanza.

Sasa ishu yaja. Tumepona ule ugonjwa? Nipo dilemma, ile mechi nilisema tunahitaji 7 goals tukashinda 5. Zilikua dalili nzuri actually.
ndugu yangu Castr na wewe mdogo mdogo naona unaanza kuingia kwenye mfumo wa kina Masingeli
 
Sio kama nakutisha hapana bali nakukumbusha tu huko Ureno kuna timu inafanana kila kitu na Arsenyo inaitwa Benfica, wiki iliyoisha hio Arsenyo ya Ureno imegongwa goli 5 - 0 na Fc porto, wenyewe Arsenyau hua mnaita kono la nyani
Ingawa Mufti ameshatangaza kua kesho waislamu tunaanza mfungo wa Ramadhani, ila kwa jinsi ninavyowajua mashabiki wa Arsenyau matusi yatakua mengi humu bila hata kuheshimu kua watu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani
Kesho tunataka tuone kule kujiangushaangusha kwao kutawafukisha wapi...5 walizowapiga wenzao sisi kwetu limekuwa jambo la kawaida sana...kesho karibuni Imarate mje kuona soka safi na kono la nyani likipatikana
 
Sio 4 kwenye mechi 10 mna game 7 zote ngumu City, Spurs, Utd, Chelsea Villa, Brighton na Leeds.
Kwenye hizi mechi 7 mna kila dalili ya kupoteza mechi 3 na draw 1.
Arsenyo kuhusu makombe bado mtasubiri sana mpaka mfike phase 7.
Eti kaiweka nyumbu katikati ili tusijue kua kaiweka
 
Kesho tunataka tuone kule kujiangushaangusha kwao kutawafukisha wapi...5 walizowapiga wenzao sisi kwetu limekuwa jambo la kawaida sana...kesho karibuni Imarate mje kuona soka safi na kono la nyani likipatikana
Porto siku anampiga mtu 5 kesho sisi tulimpiga mtu ngapi?
 
Back
Top Bottom