arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Ajiandae kuita mpira kati mara Tano hyo kesho🤠ğŸ¤
Referee wa mechi yetu against Porto kesho View attachment 2931801
Referee wa mechi yetu against Porto kesho View attachment 2931801
Ww weka takwimu zte ila ndo hvyo sasahv ukifungua EPL table standing unakutana na tembo yupo juu pale🤠ğŸ¤Nyinyi hua inajulika kabisa na vivid examples zipo za kutosha.
Hizi hapa ni mechi zenu 10 za mwisho za ligi msimu ulioisha 2022/2023 ambapo mliongoza ligi kwa siku 258 halafu hizi mechi za mwisho zikawatoa kwenye reli. View attachment 2931776
Ww weka takwimu zte ila ndo hvyo sasahv ukifungua EPL table standing unakutana na tembo yupo juu pale![]()



Tembo ameshakaa pale juu zaidi ya siku 258 na akaondoka mitupu bila kubeba hata kombe la mbuzi, hivyo tembo kukaa juu ya mti ni sawa tu na nyau kukaa juu ya kochi, baba mwenye nyumba akirudi anashuka na kwenda kujificha jikoni

Hamia City kakaMimi kama shabiki sina imani na hii timu yangu kabisaaaaaa.
Turudiane game ya FA au vpWao wanaamini mechi zte za Nyumbani kwao wanashinda🤠🤠...halafu sisi za Nyumbani kwetu wanatupangia zipo tutadundwa...Hawa waungwana Hawa🤠🤠...natamani kwny hzi zilizobaki za kwetu na wao wangekuepo tucheze nao tena tuwatwange maana Wana mdomomdomo sana hawa
Mimi kama shabiki sina imani na hii timu yangu kabisaaaaaa.



Kesho hio dhidi Fc Porto ndio wataelewa unaposema huna imani na timu yako unamaanisha nini, hawa wote wanaokubeza leo kesho watakuunga mkono tu wala usibishane nao leo humu


Fresh tu...maana Press conference ya Klopp kabla ya mechi ya Ligi pale Emirates alisema kabisa kwny FA cup tumeshinda ila Arsenal alitu dominate...Sasa kama mchawi wenu alijuwa kwmba mlishinda kienyeji na mechi ya pili akapigwa Kabali ya mbao kashindwa kurusha hata ngumi moja ndo uje ww shabiki maandazi hmu ndani kutuvimbia🤠🤠...nyny ni wepesi sana...mkikabwa msipewe nafasi ya Counter huwa mnarukaruka tu uwanjani maana hamna mbinu mbadalaTurudiane game ya FA au vp
Kesho 3+...Pepe ajiandae... Brentford tulikuwa tunafanya mazoeziKesho hio dhidi Fc Porto ndio wataelewa unaposema huna imani na timu yako unamaanisha nini, hawa wote wanaokubeza leo kesho watakuunga mkono tu wala usibishane nao leo humu
![]()
Hamia City kaka
Kesho 3+...Pepe ajiandae... Brentford tulikuwa tunafanya mazoezi


Sio kama nakutisha hapana bali nakukumbusha tu huko Ureno kuna timu inafanana kila kitu na Arsenyo inaitwa Benfica, wiki iliyoisha hio Arsenyo ya Ureno imegongwa goli 5 - 0 na Fc porto, wenyewe Arsenyau hua mnaita kono la nyani






Mashabiki lialia ndio hawa kina verifaidi yuzaKabisa ahamie hata Liver pia sio mbaya...huku atuachie sisi mashabiki lialia








Msimu uliopita ilikua mechi dhidi ya Brentford tunapigwa au tunasuluhu kisha City anampiga liva.
Halafu tunaanza hesabu za City akipigwa na fulani na liva na fulani tunakua wa kwanza.
Sasa ishu yaja. Tumepona ule ugonjwa? Nipo dilemma, ile mechi nilisema tunahitaji 7 goals tukashinda 5. Zilikua dalili nzuri actually.


ndugu yangu Castr na wewe mdogo mdogo naona unaanza kuingia kwenye mfumo wa kina Masingeli


Kesho tunataka tuone kule kujiangushaangusha kwao kutawafukisha wapi...5 walizowapiga wenzao sisi kwetu limekuwa jambo la kawaida sana...kesho karibuni Imarate mje kuona soka safi na kono la nyani likipatikanaSio kama nakutisha hapana bali nakukumbusha tu huko Ureno kuna timu inafanana kila kitu na Arsenyo inaitwa Benfica, wiki iliyoisha hio Arsenyo ya Ureno imegongwa goli 5 - 0 na Fc porto, wenyewe Arsenyau hua mnaita kono la nyani
Ingawa Mufti ameshatangaza kua kesho waislamu tunaanza mfungo wa Ramadhani, ila kwa jinsi ninavyowajua mashabiki wa Arsenyau matusi yatakua mengi humu bila hata kuheshimu kua watu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani![]()
Eti kaiweka nyumbu katikati ili tusijue kua kaiwekaSio 4 kwenye mechi 10 mna game 7 zote ngumu City, Spurs, Utd, Chelsea Villa, Brighton na Leeds.
Kwenye hizi mechi 7 mna kila dalili ya kupoteza mechi 3 na draw 1.
Arsenyo kuhusu makombe bado mtasubiri sana mpaka mfike phase 7.
Porto siku anampiga mtu 5 kesho sisi tulimpiga mtu ngapi?Kesho tunataka tuone kule kujiangushaangusha kwao kutawafukisha wapi...5 walizowapiga wenzao sisi kwetu limekuwa jambo la kawaida sana...kesho karibuni Imarate mje kuona soka safi na kono la nyani likipatikana
Eti kaiweka nyumbu katikati ili tusijue kua kaiweka
Anaongelea habari ya Tano kama vile ni suala geni wakati sisi hayo ndo mambo yetu...Porto siku anampiga mtu 5 kesho sisi tulimpiga mtu ngapi?