Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii VAR haieleweki.

Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty

Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty

 
Hat
Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu🤠🤠🤠
Sijajua arteta kama amewaza vp ila mechi ya j5 sio ligi n ligi ya mabingwa....
 
Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu
Kama Martinell hayupo mchezaj pekee wa kucheza na kutanua mapana na uwanja na spidi ni Nelson why hamtumii mara kwa mara
 
Hii VAR haieleweki.

Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty

Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty
View attachment 2930439
View attachment 2930440
Yule refa alotuchezesha jana mfatilie akichezesha gemu zetu...mwaka jana na Southampton kule kwao alitufanyia uhuni sana....mi nimeshamkariri na kile kipanki chake
 
Hii VAR haieleweki.

Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty

Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty
View attachment 2930439
View attachment 2930440
Kila siku tunasema humu sisi tunahujumiwa makusudi. Tunapaswa kupaa pale wengine wanapotembea 😀😀.

Kwa hasira ndo maana tukaanza kuongeza shots na kufunga watu hata 5. Hapo unakuta tumenyimwa penalty mbili na mpinzani kapewa magoli yasiyopaswa kuwa magoli.
 
In the tunnel again
 

Attachments

  • FB_IMG_17100821401486086.jpg
    FB_IMG_17100821401486086.jpg
    111.3 KB · Views: 10
Tumebaki juu zile goal tulizokuwa tunawatembezea upako zimetulinda..!
 

Attachments

  • IMG_20231126_221041.jpg
    IMG_20231126_221041.jpg
    165.6 KB · Views: 8
Back
Top Bottom