Kaka umekuwa mbele ya muda kuona madhara aiseee kipara akiwa juu tu ni kosa hilo,jamaaa utamfukuzaaaa mpaka anavaa medali 😂😂😂😂....kwa vita ya pale juu mtu hatari ni siti kwakuwa anaweza kupambana na adui mpaka dk za mwishoni.So inakuaje?
Inakua hivi.
Acha liva ashinde.
City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.
Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Sijajua arteta kama amewaza vp ila mechi ya j5 sio ligi n ligi ya mabingwa....Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu🤠🤠🤠
Kama Martinell hayupo mchezaj pekee wa kucheza na kutanua mapana na uwanja na spidi ni Nelson why hamtumii mara kwa maraMnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu![]()
Trossard is more technical than Nelson.Kama Martinell hayupo mchezaj pekee wa kucheza na kutanua mapana na uwanja na spidi ni Nelson why hamtumii mara kwa mara
Yule refa alotuchezesha jana mfatilie akichezesha gemu zetu...mwaka jana na Southampton kule kwao alitufanyia uhuni sana....mi nimeshamkariri na kile kipanki chakeHii VAR haieleweki.
Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty
Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty
View attachment 2930439
View attachment 2930440
adriz njoo uone Mongolian finest kabadilisha Avatar 😃😆🤣Kevin hart acha kupanic
Kila siku tunasema humu sisi tunahujumiwa makusudi. Tunapaswa kupaa pale wengine wanapotembea 😀😀.Hii VAR haieleweki.
Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty
Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty
View attachment 2930439
View attachment 2930440
Dogo tulia. Vipi mechi ya leo baadaye City na liver maoni yako.adriz njoo uone Mongolian finest kabadilisha Avatar 😃😆🤣
Suluhu itakuwa unyama Sana😆🔥Dogo tulia. Vipi mechi ya leo baadaye City na liver maoni yako.
Msimu huu visasi vyote vitalipwa.
FC Porto, karibuni kwenye uwanja wa malipo!
We are where we wanted to be
Muuane tu, City tutamchinjia pale pale kwakeOnly 1 hour and half remain remain murudi mulipotoka
Usije ukaweka ile mickey mouse cup yenu 😂Baada ya visasi mwisho wa Msimu kila Mtu aweke Mezani Trophy yake aliyoshinda.
Hujui unalo andika, worst scenario ni kurudi nafasi ya pili siyo ya 3 tenaOnly 1 hour and half remain remain murudi mulipotoka