Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi kuna mtu aliyeona mijusi milia ni wakumi? Points 10 nyuma ya Sp*rs aliye nafasi ya 5. Sitaki hata kusema sisi tumewaacha kwa ngapi hao wapuuzi.
 
So inakuaje?

Inakua hivi.

Acha liva ashinde.

City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.

Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Kaka umekuwa mbele ya muda kuona madhara aiseee kipara akiwa juu tu ni kosa hilo,jamaaa utamfukuzaaaa mpaka anavaa medali 😂😂😂😂....kwa vita ya pale juu mtu hatari ni siti kwakuwa anaweza kupambana na adui mpaka dk za mwishoni.
Liva hatari yake inaletwa na upepo alionao sasa hivi....
Mechi ya manisiti na asenali hiyo shughuli ya pale etihad itakuwa ya moto sanaaa🏌🏿‍♀️
 
Hii VAR haieleweki.

Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty

Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty

 
Hat
Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu🤠🤠🤠
Sijajua arteta kama amewaza vp ila mechi ya j5 sio ligi n ligi ya mabingwa....
 
Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu
Kama Martinell hayupo mchezaj pekee wa kucheza na kutanua mapana na uwanja na spidi ni Nelson why hamtumii mara kwa mara
 
Hii VAR haieleweki.

Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty

Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty
View attachment 2930439
View attachment 2930440
Yule refa alotuchezesha jana mfatilie akichezesha gemu zetu...mwaka jana na Southampton kule kwao alitufanyia uhuni sana....mi nimeshamkariri na kile kipanki chake
 
Hii VAR haieleweki.

Two videos, matukio yanayofanana, maamuzi tofauti!!!!
One Man City vs Man Utd, decision penalty

Lingine Arsenal vs Brentford, no penalty
View attachment 2930439
View attachment 2930440
Kila siku tunasema humu sisi tunahujumiwa makusudi. Tunapaswa kupaa pale wengine wanapotembea 😀😀.

Kwa hasira ndo maana tukaanza kuongeza shots na kufunga watu hata 5. Hapo unakuta tumenyimwa penalty mbili na mpinzani kapewa magoli yasiyopaswa kuwa magoli.
 
In the tunnel again
 

Attachments

  • FB_IMG_17100821401486086.jpg
    FB_IMG_17100821401486086.jpg
    111.3 KB · Views: 9
Back
Top Bottom