Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
How it stands?
ChuraOnly 1 hour and half remain remain murudi mulipotoka
Kalie na liver kuku wenzio😄🤣Doak kacheza foul Kwenye box lakini refa kapeta ni wazi arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani lakini hamtofanikiwa.
Mkuu KingOnly 1 hour and half remain remain murudi mulipotoka
Daaah mnadanganyana sanaTunachukua EPL na UEFA
Tunachukua EPL, tunachukua UEFA, hautaki kabishane na baba yakoDaaah mnadanganyana sana
Draw mmeitafuta wenyewe makasiriko mnatuletea sisi hmu ndani....tuliwaambia mwnye nguvu ashinde mkachagua kugawana mbao...mapovu ya nn Sasa🤠🤠Doak kacheza foul Kwenye box lakini refa kapeta ni wazi arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani lakini hamtofanikiwa.
Micheal oliver ndio tabia zake mzee labda humjui vizuri kangalie mechi ya Nusu fainali ya UEFA kati ya Real madrid na Juve 2018 ndio utajua yule jamaa ni shetani kiasi ganiDoak kacheza foul Kwenye box lakini refa kapeta ni wazi arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani lakini hamtofanikiwa.
Kwa mechi ya ukubwa ule na kwenye dying minutes, kutoa penalty kwa foul ambayo "had a minimal contact" ni ngumu, labda refa awe Tatu MalogoDoak kacheza foul Kwenye box lakini refa kapeta ni wazi arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani lakini hamtofanikiwa.
Ushabiki mwingine wa kimaandazi. Kwamba mancity imekua westaham? Au Everton? Hamuangalii mpira au mnapigaga makelele tu huko vibanda umiza...Leo mabingwa wamecheza ulitegemea mmoja afungwe goli 5 au ndio ajulikane anajua mpira Sana..Liverpool wamerudi kwenye Default Mode
Mabingwa huwa mechi zao za Nyumbani kubwa wanazitumia vzuri...Man U..Arsenal.an City zte una draw unategemea nnUshabiki mwingine wa kimaandazi. Kwamba mancity imekua westaham? Au Everton? Hamuangalii mpira au mnapigaga makelele tu huko vibanda umiza...Leo mabingwa wamecheza ulitegemea mmoja afungwe goli 5 au ndio ajulikane anajua mpira Sana..
Arsenal ndio walimtuma Diaz akose magoli ya wazi? Magoli ya wazi mkose nyie wenyewe uje uilaumu Arsenal.Doak kacheza foul Kwenye box lakini refa kapeta ni wazi arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani lakini hamtofanikiwa.
Kunya boga..Ushabiki mwingine wa kimaandazi. Kwamba mancity imekua westaham? Au Everton? Hamuangalii mpira au mnapigaga makelele tu huko vibanda umiza...Leo mabingwa wamecheza ulitegemea mmoja afungwe goli 5 au ndio ajulikane anajua mpira Sana..
Ushabiki maandazi, maskini wa kutupwa mnakalisha mapumbu kwenye vibanda umiza mkipiga kelele ovyo tu hamuangalii mpira na kufikiri na kuelewa. GTFOH...MFR.Kunya boga..