Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumebaki juu zile goal tulizokuwa tunawatembezea upako zimetulinda..!
 

Attachments

  • IMG_20231126_221041.jpg
    IMG_20231126_221041.jpg
    165.6 KB · Views: 7
Doak kacheza foul Kwenye box lakini refa kapeta ni wazi arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani lakini hamtofanikiwa.
 
Liverpool wamerudi kwenye Default Mode
Ushabiki mwingine wa kimaandazi. Kwamba mancity imekua westaham? Au Everton? Hamuangalii mpira au mnapigaga makelele tu huko vibanda umiza...Leo mabingwa wamecheza ulitegemea mmoja afungwe goli 5 au ndio ajulikane anajua mpira Sana..
 
Ushabiki mwingine wa kimaandazi. Kwamba mancity imekua westaham? Au Everton? Hamuangalii mpira au mnapigaga makelele tu huko vibanda umiza...Leo mabingwa wamecheza ulitegemea mmoja afungwe goli 5 au ndio ajulikane anajua mpira Sana..
Mabingwa huwa mechi zao za Nyumbani kubwa wanazitumia vzuri...Man U..Arsenal.an City zte una draw unategemea nn
 
Ushabiki mwingine wa kimaandazi. Kwamba mancity imekua westaham? Au Everton? Hamuangalii mpira au mnapigaga makelele tu huko vibanda umiza...Leo mabingwa wamecheza ulitegemea mmoja afungwe goli 5 au ndio ajulikane anajua mpira Sana..
Kunya boga..
 
Back
Top Bottom