Ana Ego halafu tabia nje za uwanja si nzuri,
Nilikuwa namkubali sana aje Arsenal, alifanya interview akajiweka kimtego kuwa anapenda kuja Arsenal,pia ni fan wa Arsenal pia anapenda kucheza Liverpool
Mech vs Liverpool nikaenda kumuangalia alikuwa kama kabeti kabisa
Nilikaa na jamaa mmoja nikamwambia kama Arteta anaangalia hii MECHI hatasajiliwa Arsenal , jion hiyo hiyo nikaanza kuona source mbali mbali kuwa Arsenal hawana mpango na Toney,
Na nguvu kubwa wakahamishia Kwa Yule Victor wa Sporting Lisbon , na maskauti tukaanza kuona wanaenda kila MECHI kumfatilia
Juzi nimeona Tena kwenye chanzo nakiamini ,Arsenal hawamtaki Tena Toney,
Jana pia nimeona Tena .
Ukizingatia ana miaka 27,
Chelsea nao nasikia hawamtaki ,
Sitashangaa akishuka Bei had £45m