Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ana Ego halafu tabia nje za uwanja si nzuri,

Nilikuwa namkubali sana aje Arsenal, alifanya interview akajiweka kimtego kuwa anapenda kuja Arsenal,pia ni fan wa Arsenal pia anapenda kucheza Liverpool

Mech vs Liverpool nikaenda kumuangalia alikuwa kama kabeti kabisa

Nilikaa na jamaa mmoja nikamwambia kama Arteta anaangalia hii MECHI hatasajiliwa Arsenal , jion hiyo hiyo nikaanza kuona source mbali mbali kuwa Arsenal hawana mpango na Toney,

Na nguvu kubwa wakahamishia Kwa Yule Victor wa Sporting Lisbon , na maskauti tukaanza kuona wanaenda kila MECHI kumfatilia


Juzi nimeona Tena kwenye chanzo nakiamini ,Arsenal hawamtaki Tena Toney,

Jana pia nimeona Tena .


Ukizingatia ana miaka 27,


Chelsea nao nasikia hawamtaki ,

Sitashangaa akishuka Bei had £45m
Ok...Mungu amsaidie apate timu kubwa yyte...jamaa ana kitu ila ndo hvyo sometimes Tabia zinawaangusha sana watu
 
Sasa mtihani wa mwisho ni Porto. Tumalizane nae mapema tusepe zetu Dubai kufanya mambo yetu ya kimila. Tukirudi 5-0, 6-0 zinaendelea kama kawa
 
So inakuaje?

Inakua hivi.

Acha liva ashinde.

City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.

Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Remember Liverpool tumeisha malizana naye, it is better City ashinde, tutamalizana naye. I am sure full fit first 11 ya Arsenal, tunapata point kwa city
 
Yes. Kuna hatari hiyo
Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu🤠🤠🤠
 
Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu🤠🤠🤠
Cha muhimu ni kutengenezA nafasi nyingi za kufunga, kitu ambacho hatukufanya game ya mwisho. Cha pili ni kumzuia porto asipate chance. Cha tatu ni kufunga kwa chances zetu.

Kuwa nyumbani kunaweza kusaidia sana pia
 
Porto kwenye swala la 'duels' kila wakiguswa ilikua ni kujidondosha kupooza mchezo na kupoteza mda ni the same na kilichotokea jana
Ila wajue tu iyo jumanne ni kuanzia 4+ goals
 
Back
Top Bottom