mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Unaweza kuta ni Saint Anne ameamua kuvaa jezi ya arsenal
Unaweza kuta ni Saint Anne ameamua kuvaa jezi ya arsenal
Ok...Mungu amsaidie apate timu kubwa yyte...jamaa ana kitu ila ndo hvyo sometimes Tabia zinawaangusha sana watuAna Ego halafu tabia nje za uwanja si nzuri,
Nilikuwa namkubali sana aje Arsenal, alifanya interview akajiweka kimtego kuwa anapenda kuja Arsenal,pia ni fan wa Arsenal pia anapenda kucheza Liverpool
Mech vs Liverpool nikaenda kumuangalia alikuwa kama kabeti kabisa
Nilikaa na jamaa mmoja nikamwambia kama Arteta anaangalia hii MECHI hatasajiliwa Arsenal , jion hiyo hiyo nikaanza kuona source mbali mbali kuwa Arsenal hawana mpango na Toney,
Na nguvu kubwa wakahamishia Kwa Yule Victor wa Sporting Lisbon , na maskauti tukaanza kuona wanaenda kila MECHI kumfatilia
Juzi nimeona Tena kwenye chanzo nakiamini ,Arsenal hawamtaki Tena Toney,
Jana pia nimeona Tena .
Ukizingatia ana miaka 27,
Chelsea nao nasikia hawamtaki ,
Sitashangaa akishuka Bei had £45m
Wangekuwa hawana uwezo wasingekuwa kileleni sasahv...hyo ni mchambuzi uchwara kama wengi tu tunaowajua
Mkuu hadi umeamua kuweka jina id ya montserrat huenda umeshawahi kufika visiwa hivi vya carrebean. Ila ina milima yenye active volcanoes.We are where we wanted to be
Porto akitutoa msimu utaharibika kabisa, tutapata psychological demage kubwa.Sasa mtihani wa mwisho ni Porto. Tumalizane nae mapema tusepe zetu Dubai kufanya mambo yetu ya kimila. Tukirudi 5-0, 6-0 zinaendelea kama kawa
Yeah nilifika mara mojaMkuu hadi umeamua kuweka jina id ya montserrat huenda umeshawahi kufika visiwa hivi vya carrebean. Ila ina milima yenye active volcanoes.
Naamini Porto walifuatilia kwa umakini mechi ya jana, bila shaka watatumia same tacticsPorto akitutoa msimu utaharibika kabisa, tutapata psychological demage kubwa.
Remember Liverpool tumeisha malizana naye, it is better City ashinde, tutamalizana naye. I am sure full fit first 11 ya Arsenal, tunapata point kwa citySo inakuaje?
Inakua hivi.
Acha liva ashinde.
City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.
Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Lakini meetings zetu na City hua hazipendezi kuzitazamaRemember Liverpool tumeisha malizana naye, it is better City ashinde, tutamalizana naye. I am sure full fit first 11 ya Arsenal, tunapata point kwa city
Those are history, Arteta has invented new technics to leave them baffled everytime we face themLakini meetings zetu na City hua hazipendezi kuzitazama
Hua mna moyo mgumuRemember Liverpool tumeisha malizana naye, it is better City ashinde, tutamalizana naye. I am sure full fit first 11 ya Arsenal, tunapata point kwa city
Yes. Kuna hatari hiyoPorto akitutoa msimu utaharibika kabisa, tutapata psychological demage kubwa.
We unafikiri 8 wins in a row zinaokotwa barabarani? Kaokote na wewe uwe na moyo mgumuHua mna moyo mgumu
Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu🤠🤠🤠Yes. Kuna hatari hiyo
Cha muhimu ni kutengenezA nafasi nyingi za kufunga, kitu ambacho hatukufanya game ya mwisho. Cha pili ni kumzuia porto asipate chance. Cha tatu ni kufunga kwa chances zetu.Mnachowaza tyri Mikel ameshakiwaza zamani...atakua alikuwa anajua kina Pepe watakuwa wameangalia mechi ya jana...na lazima atakuwa tyri ana majibu ya namna ya kuweza ku control hyo Hali....jana weakness yetu ilikuwa kipa na j4 Raya anarudi langoni...hopefully Martinelli atakuwa fit for this match na Jesus itakuwa kete yetu ya Siri dhidi Yao....bado tabu ipo palepale....waje tuwauliza maswali magumu🤠🤠🤠