HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Ukweli mtupuMsimu huu salama yetu ni kushinda mechi kwa magoli mengi tu, maana PGMOL na VAR zao ni kama tuna ugomvi nao
Ukweli mtupuMsimu huu salama yetu ni kushinda mechi kwa magoli mengi tu, maana PGMOL na VAR zao ni kama tuna ugomvi nao
🤠🤠🤣... mazoezi ya Brentford pia uliangalia na kututishia ila Kiko wapiNaangalia mazoezi ya fc porto hapa Aisee kazi mnayo
Ata mzigo ukianguka katio sio mbaya sanaSo inakuaje?
Inakua hivi.
Acha liva ashinde.
City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.
Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.

️Hii mechi imekaa vibaya kwa wte na imebeba muelekeo wao wte.... Liverpool akishinda itampa kujiamini sana na hairakuwa rahisi kwao kudondosha points tena maana Kila mechi watakayocheza watakuwa Wana refer hii kwmba tulisha mfunga mbabe hvyo hakuna wa kutuzuia...na hii kitu mentally ni kubwa sana....kwa City wao pia wataamini kwmba kama tumeshinda kwny uwanja mgumu wa Anfield then officially tunaweza kwnda kwny run yetu mpk mwsho ya kutokudondosha points tena...kwhyo imekaa kimtego kwa wte...hata kwa Arsenal pia....City matokeo atakayoyapata leo akija kucheza na sisi atakuwa ameyabeba kwny akili yakeSo inakuaje?
Inakua hivi.
Acha liva ashinde.
City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.
Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Arsenal walifuatilia kila mahojiano aliyofanya Toney na waandishi wa habari, walimfuatiilia kila hatua na mwisho wakaamua yasijirudie yale ya Auba.
Uongozi ukagoma ila Arteta hakukubali, mwisho bodi ikashinda na kutupilia mbali mipango ya kumsajili.
#coyg️
Ndio maana naomba hii game ianguke Kati tuHii mechi imekaa vibaya kwa wte na imebeba muelekeo wao wte.... Liverpool akishinda itampa kujiamini sana na hairakuwa rahisi kwao kudondosha points tena maana Kila mechi watakayocheza watakuwa Wana refer hii kwmba tulisha mfunga mbabe hvyo hakuna wa kutuzuia...na hii kitu mentally ni kubwa sana....kwa City wao pia wataamini kwmba kama tumeshinda kwny uwanja mgumu wa Anfield then officially tunaweza kwnda kwny run yetu mpk mwsho ya kutokudondosha points tena...kwhyo imekaa kimtego kwa wte...hata kwa Arsenal pia....City matokeo atakayoyapata leo akija kucheza na sisi atakuwa ameyabeba kwny akili yake
OkNdio maana naomba hii game ianguke Kati tu
Hapa alikuwa anamuambia nn hyu mhuni🤠🤠...maana jana kuna kipindi niliona yy na Big Gabi wakitukanana baada ya kuangushana chiniJapo jana kazuiwa vizuri na Saliba, ila namba hazidanganyi. Toney ana threat, anajua kuwepo eneo sahihi (Positioning), ana shot accuracy nzuri, mzuri hewani, n.k.
Namuona aki fit kwenye mfumo wetu.
Kama anaweza kuipambania timu kama Brentford mpaka kufikia kugombana na kina Gabriel, imagine what he'll do when he play for us.
Just remember, he's an Arsenal fan.View attachment 2930100
Future wife wa mtu huyu aisee
Ndiye kashinda duels nyingi kwenye mechi ya jana.Japo jana kazuiwa vizuri na Saliba, ila namba hazidanganyi. Toney ana threat, anajua kuwepo eneo sahihi (Positioning), ana shot accuracy nzuri, mzuri hewani, n.k.
Namuona aki fit kwenye mfumo wetu.
Kama anaweza kuipambania timu kama Brentford mpaka kufikia kugombana na kina Gabriel, imagine what he'll do when he play for us.
Just remember, he's an Arsenal fan.View attachment 2930100
Wanafanyaje?Naangalia mazoezi ya fc porto hapa Aisee kazi mnayo
Hatari sana mkuuFuture wife wa mtu huyu aisee
Ana Ego halafu tabia nje za uwanja si nzuri,Tatizo la jamaa ni Ego ama nn....maana mm naona ni mpambanaji kwlikwli...haya mengine yanaweza kurekebishika