Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

So inakuaje?

Inakua hivi.

Acha liva ashinde.

City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.

Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
 
So inakuaje?

Inakua hivi.

Acha liva ashinde.

City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.

Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Ata mzigo ukianguka katio sio mbaya sana
 
Arsenal walifuatilia kila mahojiano aliyofanya Toney na waandishi wa habari, walimfuatiilia kila hatua na mwisho wakaamua yasijirudie yale ya Auba.

Uongozi ukagoma ila Arteta hakukubali, mwisho bodi ikashinda na kutupilia mbali mipango ya kumsajili.

#coyg
 
So inakuaje?

Inakua hivi.

Acha liva ashinde.

City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.

Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Hii mechi imekaa vibaya kwa wte na imebeba muelekeo wao wte.... Liverpool akishinda itampa kujiamini sana na hairakuwa rahisi kwao kudondosha points tena maana Kila mechi watakayocheza watakuwa Wana refer hii kwmba tulisha mfunga mbabe hvyo hakuna wa kutuzuia...na hii kitu mentally ni kubwa sana....kwa City wao pia wataamini kwmba kama tumeshinda kwny uwanja mgumu wa Anfield then officially tunaweza kwnda kwny run yetu mpk mwsho ya kutokudondosha points tena...kwhyo imekaa kimtego kwa wte...hata kwa Arsenal pia....City matokeo atakayoyapata leo akija kucheza na sisi atakuwa ameyabeba kwny akili yake
 
Tatizo la jamaa ni Ego ama nn....maana mm naona ni mpambanaji kwlikwli...haya mengine yanaweza kurekebishika
Arsenal walifuatilia kila mahojiano aliyofanya Toney na waandishi wa habari, walimfuatiilia kila hatua na mwisho wakaamua yasijirudie yale ya Auba.

Uongozi ukagoma ila Arteta hakukubali, mwisho bodi ikashinda na kutupilia mbali mipango ya kumsajili.

#coyg
 
Hii mechi imekaa vibaya kwa wte na imebeba muelekeo wao wte.... Liverpool akishinda itampa kujiamini sana na hairakuwa rahisi kwao kudondosha points tena maana Kila mechi watakayocheza watakuwa Wana refer hii kwmba tulisha mfunga mbabe hvyo hakuna wa kutuzuia...na hii kitu mentally ni kubwa sana....kwa City wao pia wataamini kwmba kama tumeshinda kwny uwanja mgumu wa Anfield then officially tunaweza kwnda kwny run yetu mpk mwsho ya kutokudondosha points tena...kwhyo imekaa kimtego kwa wte...hata kwa Arsenal pia....City matokeo atakayoyapata leo akija kucheza na sisi atakuwa ameyabeba kwny akili yake
Ndio maana naomba hii game ianguke Kati tu
 
Kwa hiyo mkishinda mnakuwaga hivi

 
Japo jana kazuiwa vizuri na Saliba, ila namba hazidanganyi. Toney ana threat, anajua kuwepo eneo sahihi (Positioning), ana shot accuracy nzuri, mzuri hewani, n.k.

Namuona aki fit kwenye mfumo wetu.

Kama anaweza kuipambania timu kama Brentford mpaka kufikia kugombana na kina Gabriel, imagine what he'll do when he play for us.

Just remember, he's an Arsenal fan.
IMG_20240310_094208_356.jpg
 
Japo jana kazuiwa vizuri na Saliba, ila namba hazidanganyi. Toney ana threat, anajua kuwepo eneo sahihi (Positioning), ana shot accuracy nzuri, mzuri hewani, n.k.

Namuona aki fit kwenye mfumo wetu.

Kama anaweza kuipambania timu kama Brentford mpaka kufikia kugombana na kina Gabriel, imagine what he'll do when he play for us.

Just remember, he's an Arsenal fan.View attachment 2930100
Hapa alikuwa anamuambia nn hyu mhuni🤠🤠...maana jana kuna kipindi niliona yy na Big Gabi wakitukanana baada ya kuangushana chini
 
Japo jana kazuiwa vizuri na Saliba, ila namba hazidanganyi. Toney ana threat, anajua kuwepo eneo sahihi (Positioning), ana shot accuracy nzuri, mzuri hewani, n.k.

Namuona aki fit kwenye mfumo wetu.

Kama anaweza kuipambania timu kama Brentford mpaka kufikia kugombana na kina Gabriel, imagine what he'll do when he play for us.

Just remember, he's an Arsenal fan.View attachment 2930100
Ndiye kashinda duels nyingi kwenye mechi ya jana.

But mpira wa siku hizi umebebwa na takwimu za magoli sa anaonekana ana rate ya 6. Wissa mwenye goli ana 7
 
Tatizo la jamaa ni Ego ama nn....maana mm naona ni mpambanaji kwlikwli...haya mengine yanaweza kurekebishika
Ana Ego halafu tabia nje za uwanja si nzuri,

Nilikuwa namkubali sana aje Arsenal, alifanya interview akajiweka kimtego kuwa anapenda kuja Arsenal,pia ni fan wa Arsenal pia anapenda kucheza Liverpool

Mech vs Liverpool nikaenda kumuangalia alikuwa kama kabeti kabisa

Nilikaa na jamaa mmoja nikamwambia kama Arteta anaangalia hii MECHI hatasajiliwa Arsenal , jion hiyo hiyo nikaanza kuona source mbali mbali kuwa Arsenal hawana mpango na Toney,

Na nguvu kubwa wakahamishia Kwa Yule Victor wa Sporting Lisbon , na maskauti tukaanza kuona wanaenda kila MECHI kumfatilia


Juzi nimeona Tena kwenye chanzo nakiamini ,Arsenal hawamtaki Tena Toney,

Jana pia nimeona Tena .


Ukizingatia ana miaka 27,


Chelsea nao nasikia hawamtaki ,

Sitashangaa akishuka Bei had £45m
 
Back
Top Bottom