Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,243
- 76,792
So inakuaje?
Inakua hivi.
Acha liva ashinde.
City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.
Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.
Inakua hivi.
Acha liva ashinde.
City bado hatujafikia hatua ya kusema tunaweza kumfunga comfortably, wakati kwa Liva naona its easier. Pia liva ameshinda mechi zaidi ya 2 dakika za lala salama mpaka magoli mengine yamezua controversies.
Kwa maoni yangu ni bora liva ashinde ila siyo city.