Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna kila dalili Arsenali ananunua mechi

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Nadhani tumezoea kuonewa na kupunjwa na PGMOL so tumeadopt scattergun approach. Sasa tunajaribu kufanga magoli mengi ili hata tukikataliwa machache au wapinzani wakibebwa na kutufunga (kumbuka Newcastle) bado tushinde mechi 😀😀😀
 
Kale kamezidi kuweka mguu Kila sehemu...kuna mechi ukishaona umetangulia migoli mingi kuna mipira ya hatari huingii hovyohovyo...kenyewe kanaenda tu...katakaa nje mwezi sasa
Yuko overcommitted. Ila najaribu kutokuwa na wasiwasi. Mechi ijayo atakuwepo. Mwache apumzike kidogo kwanza
 
Arsenal now have FIVE players with 10+ goal contributions in the Premier League this season, more than any other team.

Bukayo Saka (21) — 13G + 8A
Martin Ødegaard (12) — 6G + 6A
Declan Rice (10) — 5G + 5A
Gabriel Martinelli (10) — 6G + 4A
Kai Havertz (10) — 7G + 3A

COOKING.
 
Arsenal now have FIVE players with 10+ goal contributions in the Premier League this season, more than any other team.

Bukayo Saka (21) — 13G + 8A
Martin Ødegaard (12) — 6G + 6A
Declan Rice (10) — 5G + 5A
Gabriel Martinelli (10) — 6G + 4A
Kai Havertz (10) — 7G + 3A

COOKING.
Msimu jana tulifunga magoli 88. Tuliruhusu 43, GD tukamaliza na 45.

Msimu huu tumefunga 68. Tumerusu 23. GD yetu ni 45, na bado mechi 11 zimebaki.

Je tutavuka magoli 88 na kufunga na tutaboresha GD yetu iwe ya kutisha zaidi.? Dalili zinaonyesha itakuwa hivyo. Tungoje tuone.
 
Arsenal
FB_IMG_17095945055359065.jpg
 
Commentator kasema '5 goals and no one has scored twice'.

Nakumbuka Labyrinth alikuwa anawalinganisha kina Wilson, Isak na Gordon na kina Jesus, Saka na Martinelli. Jesus hajacheza mechi kadhaa lakini mpaka sasa tuna magoli 66 au 67, wao wana 57.

Mpaka sasa sisi ndiyo tumefunga magoli mengi zaidi kwenye ligi, huku tukiwa ndiyo timu iliyofungwa magoli machache kwenye ligi, 23. Necastle wameruhusu magoli 45 mpaka sasa, magoli 6 zaidi ya Man United.

Commentator pia kasema premierl league record ya magoli mengi kwenye first half ni 5. Sisi ni team ya 14 kufanya hivyo. 6 haijawahi kufikiwa ila anadhani kama wachezaji wetu wangelijua hili wangetafuta la 6.
Labyrinth 84 is just a bitter, angry and fvcked up ex.

Let him/ her go
 
Sisi wajinga sana mkuu. Tumeshapoteza mechi 4 so far. Ni ngumu kushinda ligi ukishapoteza mechi zaidi ya 3.

Naona ni muhimu kuendeleza hii momentum. Tukishinda ligi, safi ila tusiposhinda basi tusizidiwe zaidi ya points 2. Hii ikiweza kutuhamasisha kama ilivyowahamasisha 'Invincibles' basi tunaweza kuwa na msimu mzuri next season.

Kwa sasa tuendelee kupambana tuone hii ngoma itaishaje.
Upo sahihi na haupo sahihi pia.

Wa kwanza kapoteza 2 wa pili kapoteza 3 wa tatu kapoteza 4 ila ukiangalia points ni tunahitaji wa juu wasuluhu tu then sisi tushinde.

Changamoto ya zile loss zetu ni kufanya mzigo wetu kua mgumu zaidi ila siyo kwamba all is lost
 
Back
Top Bottom