Nasubiriiii nione arteta atafanya maajabu gani ila mpaka sasa asilimia ya kupigwa kwa kai ni 75% kwa 25% .
Ukifananisha mudryk na kai naona kabisa arsenal kwa kai kapigwa,kwanza hela yote hilo kwa lipi alilofanya chelsea unanunua flop player kwa 65

pia bado mshara anakula £ 331000 per week.
Kai misimu yote kwa chelsea hajawahiii kufika goal 10 au assists 10 per season na wala asijifiche kwenye ubovu wa chelsea last season, kinachompaisha ni goal la uefa na world club cup.
Mudryk ndo kwanza hata game 20 akiwa chelsea hajafikisha then unasema ni flop kweli? Mudryk pesa anayolipwa ni £97000 per week.
Kuna kipindi tuliambiwa mchezaji ataenda kuharibu atmosphere ya wachezaji pale arsenal kwa kulipwa au ku demand mshahara mkubwa bora aache sijuii kwa haivertz ni tofauti au ndo ni yale yale tumemkosa now tumponde “ sitaki mbichi hizi”