Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unataka kumpa mamacita hiyo GD yote kwa kweli? Acha ashinde 1-0 tu. 😀😀
Mm hata ashinde 15...sina shida naye maana najua hawezi kumaliza juu yetu...huo ubavu msimu huu Hana 🤠🤠...kwhyo Manunu liwakute jambo ziti kwakwli hii weekend
 
Uncle Thomas pia alikuepo
20240228_202842.jpg
 
Tuwaache manyumbu wapambane na hali yao. Wakishinda watampunguza spidi kidogo mamacita. Wakifungwa wataanza kupotezwa mdogo mdogo kwenye kupambania top 4 na top 6. Waamue wenyewe wanataka nini 😄😄
Kipindi kile tuliwabeba mkawa top of the table lakini hamkutoa shukrani na dharau dhidi yetu zikaanza. Sasa hivi jipambanieni wenyewe tuone kama mtabahatika kukalia tawi kwa mara nyingine tena.
 
Kipindi kile tuliwabeba mkawa top of the table lakini hamkutoa shukrani na dharau dhidi yetu zikaanza. Sasa hivi jipambanieni wenyewe tuone kama mtabahatika kukalia tawi kwa mara nyingine tena.
Mnajipambania wenyewe aisee....sisi habari za kusaidiana hatutaki🤠🤠...tunawatakia Kila heri hyo siku...ila mjitahidi sana msije mkala wiki...maana nyny akili zenu mnazijua wenyewe
 
Nasubiriiii nione arteta atafanya maajabu gani ila mpaka sasa asilimia ya kupigwa kwa kai ni 75% kwa 25% .

Ukifananisha mudryk na kai naona kabisa arsenal kwa kai kapigwa,kwanza hela yote hilo kwa lipi alilofanya chelsea unanunua flop player kwa 65 pia bado mshara anakula £ 331000 per week.
Kai misimu yote kwa chelsea hajawahiii kufika goal 10 au assists 10 per season na wala asijifiche kwenye ubovu wa chelsea last season, kinachompaisha ni goal la uefa na world club cup.

Mudryk ndo kwanza hata game 20 akiwa chelsea hajafikisha then unasema ni flop kweli? Mudryk pesa anayolipwa ni £97000 per week.
Kuna kipindi tuliambiwa mchezaji ataenda kuharibu atmosphere ya wachezaji pale arsenal kwa kulipwa au ku demand mshahara mkubwa bora aache sijuii kwa haivertz ni tofauti au ndo ni yale yale tumemkosa now tumponde “ sitaki mbichi hizi”
Ndiyo ndiyo mzee Mudi
 
Hawa Arsenyau wana nongwa na wivu sana kikubwa ni kuwazoea tu, hata Martinez wakati wao wanamtaka walikua wanamsifia kwelikweli utadhani hakuna CB bora duniani kuliko Martinez, ila baada ya kusajiliwa na Man Utd wakaanza kumkandia kua kaMartinez ni kafupi sana hakafai kua CB, mara sisi tulikua tunamtaka aje kua backup sio starter, wengine wakadai ametokea farmers league Epl atakua ni flop.
Mashabiki wa Arsenyo ni wana wivu kuliko hata dada zao.
Ndiyo bwana Martinez
 
Kipindi kile tuliwabeba mkawa top of the table lakini hamkutoa shukrani na dharau dhidi yetu zikaanza. Sasa hivi jipambanieni wenyewe tuone kama mtabahatika kukalia tawi kwa mara nyingine tena.
Msiwe hivyo guys. Msiwe na kinyongo 😁😁. Tupigieni huyo mamacita hata 4-0 mkitaka. Wanaofuata watawarudisha kwenye -ve GD.
 
Mikel Arteta on Thomas Partey:

“Thomas had a session before the last game, now he’s done two or three consecutive sessions so he should be part of the squad on Monday [to face Sheffield United]."
 
Back
Top Bottom