Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Amekuwa na bahati mbaya ya majeruhi...sio kwmba haelewani na kocha...ni sawa na Vieira tu...wte Wana potential ila majeraha yamewarudisha nyuma tu....
Yaaan ule pale kuna wachambuzi wa wingereza walikuwa Wanasema arteta anatumia kama kisingizio ila dogo alikuwa asha recovery kitambo, lakin pia kipind arsenal walikuwa wanapoteza game ya mwisho ilionekana Rowe akipeana hai kwa furah ili trend Sana mitandaoni so sizan kama arteta atafuraia kitendo kama icho
 
Sasa unamtaja isak tena huoni aibu mkuu. Hio arsenal nzima hakuna mchezaji kama isak kama unabisha tuweke statistics hapa .

Huyo wilson mwenyewe alicheza dakika chache kuzidi jesus kamzidi mbaliii na pale Newcastle ni second striker sio main striker.

Kitu pekee unachoweza kupiga kelele nacho ni kukaa nafasi isiyo yako hapo juu.

Unapoongelea wachezaji wa Newcastle unaongelea best players nan anamweka trippier nje pale arsenal, nan anamweka bruno nje pale arsenal? Nan anamweka isak nje pale arsenal? Nan anamweka pope nje pale arsenal?
.
 
Hio westham wewe umeifunga lini? Imekutoa carabao . Hao hao farmers league ulikufa kwa timu inashika nafasi ya 8 huko.

Arsenal nyinyi ni false hopers na kama unataka kuamini hili tusubiri muda ndo utasema vizuriii.
Game na Newcastle humu mwanangu gordon alifanya humu matusi yawe mengi sana ila ndo ivyo mshasahau kama mtakavyosahau ubingwa.
.
 
Wewe ndo hata sijuiii unaongea nini kipindi kipi icho arsenal imecheza bila saka sijuii odergard sijuii martineli .
Newcastle ina zaidi ya 12 injuries player wewe unataja injuries za game moja moja.

Hao wachezaji unaowataja sijui martineli sijui saka wote hao nitajie mchezaji alimyezidi tu gordon magoli achana na isak na wilson.

Timu nzima Hamna mchezaji mwenye goal nyingi kumshinda gordon tu.

Ndo nilichokuambia arsenal kitu pekee unachojivunia ni kukaa hio nafaso uliyopo ambayo technicaly unapasha joto tu kiti cha watu hapo.
.
 
Tulikua tunaongelea player comparison sasa unaleta habari za total goals tena

Anyway arsenal mpaka sasa mna goal scored 33 na mmefungwa 14

Newcastle tuna goals 32 then conceded goals 17.
Naona kwenye individual players umeamua kukimbia
Lete tena
 
Kuna mwenzako humu humu alikataza nisiwe na mquote inamletea trauma, alikua analeta maneno matupu then mimi naleta ushahidi mezani mwisho wa siku akawaka matusi kibao .

Nikuulize mpaka sasa tunavyoongea saka kamzidi nini gordon ? Kitu pekee saka alichomzidi gordon ni dakika za kucheza tu View attachment 2837080
Vitu pekee saka kamzidi gordon ni dakika za kucheza na error leading to goal.

Nitajie saka kamzidi nini gordon mpaka tunavyoongea hapa
 
Huyo Mwehu wa Newcastle mnayepigizana nae kelele anawapotezea muda aisee

Alidai wao wana timu Bora ,mbona UCL wanshika mkia kwenye Ligi wanachezea vipigo


Sasa kelele zake zinatokea wapi,?

Wiki Hii wanaenda kupigwa na AC Milan hawaend hata UCL ,ili kelele ziishe humu
.
 
Star boy
IMG-20240227-WA0077.jpg
 
Martin Ødegaard on “who makes team better”

“I’ll say Thomas Partey, he gives me and the other players a lot of freedom…”
.
.
Arteta ; “we play better with Thomas Partey”
.
.
.
Fully fit Thomas Partey walks straight into the starting X

Maji wataita mma
IMG-20240220-WA0043.jpg
 
Martin Ødegaard on “who makes team better”

“I’ll say Thomas Partey, he gives me and the other players a lot of freedom…”
.
.
Arteta ; “we play better with Thomas Partey”
.
.
.
Fully fit Thomas Partey walks straight into the starting X

Maji wataita mmaView attachment 2918575
Huyu jamaa 🙁🙁 Ghanaian Santi Cazorla
 
Back
Top Bottom