Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wahuni kama wamechomoa hii ya leo, mi binafsi nishakata tamaa. Na ratiba yetu ilivyo ya kinoko. I'm out
 
Tatizo lenu Arsenal mna dharau sana, leo hii tungewapeleka nafasi ya pili ila tunamuachia City ashinde ili kuwakomoa washika manati wa London.
 
Back
Top Bottom