Halafu kichekesho ni kwamba huyu mtu timu ya kwanza kuitaja ni Arsenal. Naamini unajua kiingerezaAnother false hope . Mshakua mabingwa nini wanetu.
Everybody know arsenal will never win any title msimu huu even arteta anajua sema ndo ivyo tu ubishi wenu .
.
. Any Newcastle fan anaelewa kwamba game ya jana ni tulikosa chances nyungi na hizo mistakes mbili za trippier na tumezikubali kiroho safi
PigaPanapouma