Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu hawezi ona hi😀😂
View attachment 2916266
🤣🤣🤣 GD haziwezi kuwasaidia kuchukua kombe Kima nyie, miaka yote hua mnahangaika na mambo madogo madogo yasiyoweza kuwasaidia kupata kombe lolote la maana, mwaka juzi mlikua mnatupigia kelele humu kuhusu clean sheets, halafu mwisho wa msimu Man United asie na clean sheet na Arsenyau mwenye clean shit nyingi wote tukaenda kucheza Europa.
Msimu ulioisha mkatupigia tena kelele humu kuhusu GD lakini baada ya msimu kumalizika wote tukajikuta tupo top4 tena Man Utd aliekua na -GD akapata walau kombe huku arsenyani mwenye GD35+ akimaliza msimu mikono mitupu😁😁😁
Msimu huu pia mmeanza na ngonjera hizohizo za GD, tukiwaita Arsenyani mnaona tunawaonea wakati akili zenu zinaonyesha bado mpo kwenye stage ya kwanza kabisa ya evolution.
Kuna muhenga mmoja aliwahi kusema kama binadamu wa kwanza alikua nyani basi binaadamu huyo alikua ni shabiki wa Arsenyani maana mpaka leo hii bado mna mentality za binaadamu wa kwanza😂😂😂
 

Attachments

  • 1697910285213.jpg
    1697910285213.jpg
    268.1 KB · Views: 11
🤣🤣🤣Binafsi sijawa kuishabikia Arsenyo hata kiuongo uongo tokea kuumbwa kwa dunia, fatilia comments za Labyrinth 84 miaka miwili nyuma utaona jamaa alikua ni arsenyau kindakindaki.
Kingine huyu jamaa Labyrinth 84 anajua sana kuchambua mpira na hua anatembea sana na facts ndio maana mpaka Masingeli kampiga marufuku kumquote maana kwa hoja na facts Masingeli hamuwezi, tofauti na mimi ambae kazi yangu kubwa hua ni kuleta porojo tu za kuwabeza na kuwakera Kima za humu😂😂😂
Angekuwa na hzo sifa hyo mbabaishaji unayejaribu kumpamba asingeangukia kushangilia kikundi cha wafanya Fujo aisee...ni muhuni tu asiyeelewa nn maana ya bolu....alikuja kuanza kutuletea vi data uchwara vyake vya kumfananisha Saka na Gordon sijui...mara Almiron na Martinelli...mara Bruno na viungo wetu wakatili....nikaona kwli hyu jamaa ni empty set
 
1. Watkins
2. Toney or
3. Osimhen to Arsenal next season?
I would go for Toney, he is a perfect match to our playing style
1: Kwaajili ya short term plan nitamchukua Ollie Watkins, kwa sasa ana miaka 28, hivyo anaweza kutumika kwa misimu mitatu kisha ntakua tayari nimekuza kijana wangu wa long term project

2: Nitachagua kati ya Goncalo Ramos au Ferguson wa Brighton. Naamini kwa factor ya umri na uwezo wanaweza kuwa sehemu ya project yangu kwa muda mrefu sana na matokeo makubwa nitapata.

Nipo tayari kurekebishwa.
 
Watkins. Ila bila 100 na zaidi simuoni akija.

Tusihangaike na striker wa gharama sana. Tutafute kijana mpambanaji, mwenye speed na nguvu aina ya Alexis Sanchez na Luis Suarez kutoka South America huko. Tumpate mapema ili aanza pre-season na ikibidi tusagure ulaya tupate aliyeanza timu za ulaya tayari ili mambo ya permit yasisumbue.

Halafu tutafute winga hatari mithili ya Saka, na kiungo mithili ya Partey.

Kama Partey atatuaga June, naona Jorginho atabaki kwa mwaka mmoja. Atasaidia kumuingiza mdogo ndogo kiungo mpya kwenye mfumo.
Mawazo yangu kwenye dirisha kubwa tuongeze hawa ;

CB-De ligt au Hato.
Midfielder-De Jong au Zubimendi.
Winger-Neto.
Striker-Mniletee yeyote tu
Lakini kwa akili yangu mlete (Ollie Watkins au Goncalo Ramos).

Kisha Toa kwa mkopo msimu mzima wakakomae zaidi;
Albert Sambi Lokonga.
Emily Smith-Rowe.

Kisha UZA hawa ;
Eddie nketiah.
Nelson.
Ramsdale.
Elneyn.
Marquinhos.
Partey.

Naamini kazi itakua Safi sana.
 
Mawazo yangu kwenye dirisha kubwa tuongeze hawa ;

CB-De ligt au Hato.
Midfielder-De Jong au Zubimendi.
Winger-Neto.
Striker-Mniletee yeyote tu
Lakini kwa akili yangu mlete (Ollie Watkins au Goncalo Ramos).

Kisha Toa kwa mkopo msimu mzima wakakomae zaidi;
Albert Sambi Lokonga.
Emily Smith-Rowe.

Kisha UZA hawa ;
Eddie nketiah.
Nelson.
Ramsdale.
Elneyn.
Marquinhos.
Partey.

Naamini kazi itakua Safi sana.
Wazo zuri. Napenda Ramsdale abaki ila ni ngumu sana kuwa na makipa wazuri sana wawili kwenye team moja.

Lokonga naona hata tukimuuza ili tusiharibu career yake. Sioni tukimhitaji kama tulivyomhitaji Saliba hata kama alienda mara mbili kwa mkopo. Smith Rowe sawa tumtoe kwa mkopo. Elneny na Partey nadhani mikataba yao inaisha mwaka huu.

Hato simjui, nitamtafuta youtube.
 
Wazo zuri. Napenda Ramsdale abaki ila ni ngumu sana kuwa na makipa wazuri sana wawili kwenye team moja.

Lokonga naona hata tukimuuza ili tusiharibu career yake. Sioni tukimhitaji kama tulivyomhitaji Saliba hata kama alienda mara mbili kwa mkopo. Smith Rowe sawa tumtoe kwa mkopo. Elneny na Partey nadhani mikataba yao inaisha mwaka huu.

Hato simjui, nitamtafuta youtube.
Emile Smith Rowe abaki...ni silaha nzuri kuwa nayo...yule mtoto anajua Bolu....Lokonga apite hv👉👉...
 
Kuifunga Liverpool ndo ubingwa wenu
Tumesema sana humu kuwa tupo pamoja nanyi katika kusapotiana kumyang'anya ubingwa Kipara. Tukiukosa sie basi muupate nyie ila asiupate kipara. Sasa nyie mnatujia na maneno mbofu mbofu. Tutawachenchia...ohoooo...
 
Huyo kenge wenu Saliba hapa hatokuja kuingia. Maaanzaje kumlinganisha beki la dunia VVD na huyo one sizon wanda wenu saliba?
View attachment 2918412
VVD ni chuma mkuu, hakuna asiyejua hilo. Kwa sasa umri unampa mkono na Saliba bado kijana sana kwa hiyo akiendelea kuimarika, anaweza kumfikia na kumpita . VVD tangu akiwa southampton kila timu kubwa ilikuwa inamtolea macho ni vile tu hawakutaka kulipa 75m kwa beki. Klopp alifanya la maana sana kumnasa huyu mwamba.
 
Back
Top Bottom