Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
🤣🤣🤣 GD haziwezi kuwasaidia kuchukua kombe Kima nyie, miaka yote hua mnahangaika na mambo madogo madogo yasiyoweza kuwasaidia kupata kombe lolote la maana, mwaka juzi mlikua mnatupigia kelele humu kuhusu clean sheets, halafu mwisho wa msimu Man United asie na clean sheet na Arsenyau mwenye clean shit nyingi wote tukaenda kucheza Europa.Nyumbu hawezi ona hi😀😂
View attachment 2916266
Msimu ulioisha mkatupigia tena kelele humu kuhusu GD lakini baada ya msimu kumalizika wote tukajikuta tupo top4 tena Man Utd aliekua na -GD akapata walau kombe huku arsenyani mwenye GD35+ akimaliza msimu mikono mitupu😁😁😁
Msimu huu pia mmeanza na ngonjera hizohizo za GD, tukiwaita Arsenyani mnaona tunawaonea wakati akili zenu zinaonyesha bado mpo kwenye stage ya kwanza kabisa ya evolution.
Kuna muhenga mmoja aliwahi kusema kama binadamu wa kwanza alikua nyani basi binaadamu huyo alikua ni shabiki wa Arsenyani maana mpaka leo hii bado mna mentality za binaadamu wa kwanza😂😂😂

;