Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa hapa tulipo tutakosea tukiamini kwamba Timber akipona tu ataanza kikosi cha kwanza. Kiwior tangu awekwe kama traditional LB amezidi kuimarika, nafikiri haitakua rahisi kwa Timber/ Tomiyasu.

Hii ni habari mbaya ndiyo ila siyo kwetu hii ni habari mbaya kwa wapinzani. Kama timu ina squad depth ya kutosha ni faida.

So tukae pembeni tuone ushindani wa namba utavyokua
Saliba ataliwa anapumzika...tunamtumia sana...mbadala wa Saliba atakuwa kijana Timber🤠🤠🤠...
 
Yule nyumbu wa nyukesto labirinth kapotelea wapi? Au ni Flano anabadili ID tu na kujiquote?
20240205_072323.jpg
 
Tumshukuru sana Fabregas kwa kutokuchoka kumtengenezea jamaa nafasi 😃😄
Ni kweli, useme yeye Mwenyewe Adebayo alikuwa anazingua 😜

Miaka yote Arsenal imekuwa wazuri kutengeneza nafasi za Mabao ila Forward line zetu huwa haziwi serious

Ila now Arteta ametafuta Mwarobaini, unafungwa na Mawinga hadi Mabeki 🤗
 
Ni kweli, useme yeye Mwenyewe Adebayo alikuwa anazingua 😜

Miaka yote Arsenal imekuwa wazuri kutengeneza nafasi za Mabao ila Forward line zetu huwa haziwi serious

Ila now Arteta ametafuta Mwarobaini, unafungwa na Mawinga hadi Mabeki 🤗
Beki asiyefunga atamzingua kipa kwenye corner kicks kama Ben White 😁. Porto walimshtukia mapema wakamdhibiti haswa.

Kwa kweli uchezaji wetu unaruhusu wafungaji tofauti tofauti. Sasa ni kila mchezaji aongeze mwenyewe muda mazoezini kufanyia kazi mashuti na umaliziaji wake. Tukiwa serious zaidi kwenye finishing watakufa vibaya wengi sana.
 
A week before game na Sheffield United. Vijana warudishwe Dubai kama vipi.
 
Sisi tunawa motivate tu kwa kuwapumulia mgongoni kwny mkuu🤠🤠...lile kombe la jana ndo la mwanzo na mwsho kwenu msimu huu...hayo mengine myasahau...bado Van Dijk ateguke...jana Gravenberch tumemuunga kwny list
Hawa nao wanataka epl Arsenali bhana
 
Back
Top Bottom