arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Saliba ataliwa anapumzika...tunamtumia sana...mbadala wa Saliba atakuwa kijana Timber🤠🤠🤠...Kwa hapa tulipo tutakosea tukiamini kwamba Timber akipona tu ataanza kikosi cha kwanza. Kiwior tangu awekwe kama traditional LB amezidi kuimarika, nafikiri haitakua rahisi kwa Timber/ Tomiyasu.
Hii ni habari mbaya ndiyo ila siyo kwetu hii ni habari mbaya kwa wapinzani. Kama timu ina squad depth ya kutosha ni faida.
So tukae pembeni tuone ushindani wa namba utavyokua
