Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wenzio wameshaanza kumlalamikia refa kabla hata ya game kuanza, Eddie Howe amesema leo Arsenyo akipata hata on target moja anajiuzulu ukocha, mechi ya leo ninachokiona Arsenyani anaenda kuongeza idadi ya majeruhi.
Wale wabeba vyuma wa Newcastle watawavunja viuno hawa watoto mayai Arsenyetoz

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila nilichogundua Masingeli ni plastic fan wa Arsenyau, anaonekana humu timu inapofanya vizuri tu, yaani jamaa ni kama vile anawadangia[emoji23][emoji23][emoji23]
Akiona pochi limejaa hakauki humu ila akianza kusikia vi coins vinagongana mfukoni anakula zake kona anashinda kwenye jukwaa la mapishi au jukwaa la urembo. View attachment 2915239
Arsenyetoz ni plastic fans , wakila vipigo wanakimbia hiki kijiwe Chao , wakishinda mechi mbili tatu sasa , utasikia kila aina ya mbwembwe humu ,utadhani ni timu flani ya Galacticos

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe ni chuma 3 tu sio kono la nyani?
Porto tuliambiwa atapigwa si chini ya goli 5 halafu baada ya game kuisha tukawa tunajiuliza hizo goli 5 bila ya shot on target hata moja zimeingiaje ingiaje mpaka leo bado hatuelewi.
Newcastle ameshatema bungo, Chuma 2 tayari
 
Hiki kikosi Cha leo, ilibidi ndio tuingie nacho game ya Porto
Trossad na Kai kwa pamoja, huku una odegard. Unatengeneza mazingira ya rice kuzidiwa nguvu

Either aanze Trossad au Kai. Sio wote kwa pamoja

Next game partey in the building
Kwaio dima itakua na Rice jorginho/partey odegard
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe ni chuma 3 tu sio kono la nyani?
Porto tuliambiwa atapigwa si chini ya goli 5 halafu baada ya game kuisha tukawa tunajiuliza hizo goli 5 bila ya shot on target hata moja zimeingiaje ingiaje mpaka leo bado hatuelewi.
Kuanzia chuma 3
Walimu walipata kazi Sana aisee[emoji119]
 
Newcastle ameshatema bungo, Chuma 2 tayari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Masingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.
Daaaahhh ila hawa Newcastle walianza ligi kwa mbwembwe sana sijui hata kitu gani kimewakuta, ukiachana na ile nafasi aliyoipoteza Almiron sijui hata kama wamepata attempt nyingine.
Dakika 45 attempt moja, On target 0 hawa sio nyukesto ninaowajua mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom