Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Sasa hivi Man Utd kufungwa wala sio habari, ila akifungwa bila On target hata moja hio lazima iwe ni breaking news.Mpo vizuri watani zetuView attachment 2915240
Sasa hivi Man Utd kufungwa wala sio habari, ila akifungwa bila On target hata moja hio lazima iwe ni breaking news.Mpo vizuri watani zetuView attachment 2915240
Ata wakitaka Howe ashike filimbiwenzio wameshaanza kumlalamikia refa kabla hata ya game kuanza, Eddie Howe amesema leo Arsenyo akipata hata on target moja anajiuzulu ukocha, mechi ya leo ninachokiona Arsenyani anaenda kuongeza idadi ya majeruhi.
Ata wakitaka Howe ashike filimbi
Isak na Bruno washike vibendera
Wanakufa kuanzia chuma 3



kumbe ni chuma 3 tu sio kono la nyani? Wale wabeba vyuma wa Newcastle watawavunja viuno hawa watoto mayai Arsenyetozwenzio wameshaanza kumlalamikia refa kabla hata ya game kuanza, Eddie Howe amesema leo Arsenyo akipata hata on target moja anajiuzulu ukocha, mechi ya leo ninachokiona Arsenyani anaenda kuongeza idadi ya majeruhi.
Arsenyetoz ni plastic fans , wakila vipigo wanakimbia hiki kijiwe Chao , wakishinda mechi mbili tatu sasa , utasikia kila aina ya mbwembwe humu ,utadhani ni timu flani ya GalacticosIla nilichogundua Masingeli ni plastic fan wa Arsenyau, anaonekana humu timu inapofanya vizuri tu, yaani jamaa ni kama vile anawadangia
Akiona pochi limejaa hakauki humu ila akianza kusikia vi coins vinagongana mfukoni anakula zake kona anashinda kwenye jukwaa la mapishi au jukwaa la urembo. View attachment 2915239
Tunaendelea tuliko ishiA
Newcastle ameshatema bungo, Chuma 2 tayarikumbe ni chuma 3 tu sio kono la nyani?
Porto tuliambiwa atapigwa si chini ya goli 5 halafu baada ya game kuisha tukawa tunajiuliza hizo goli 5 bila ya shot on target hata moja zimeingiaje ingiaje mpaka leo bado hatuelewi.
HAUNA AKILI
Kuanzia chuma 3kumbe ni chuma 3 tu sio kono la nyani?
Porto tuliambiwa atapigwa si chini ya goli 5 halafu baada ya game kuisha tukawa tunajiuliza hizo goli 5 bila ya shot on target hata moja zimeingiaje ingiaje mpaka leo bado hatuelewi.

Newcastle ameshatema bungo, Chuma 2 tayari


Masingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.