Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna kitu kinanitatiza. Rice ni mrefu, namtaka awe ndani ya box anagombania mipira iliyokufa. Lakini anapiga mipira iliyokufa na delivery yake ni nzuri na tunapata mabao kutokana nayo. 🤔🤔
 
Walipoingia wavunja Kuni kina Nketiah ,elneny nikajua hatuongezi Tena goli

Ødegaard kapiga pass 117 Toka waanze kuchukua data 2004 hajawahi tokea mchezaji akapiga pass nyingi hivo ,plus 2 assist,
Hamis , the comedy wa Mkuranga
Ama kwa hakika mganga mliyempata Kule Dubai dawa zake kali ,
Yaani ninyi ndio wa kuwabonda sita Westham ,aiseee

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Tumemgonga kocha wa zamani wa 'ASS-ANAL nje ndani..
Screenshot_20240211_213044_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom