Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna msela mmoja alikuwa anatupiga mikwara kwmba mechi ijayo mnacheza na West Ham....tunaomba aje atueleze ndo West Ham Hawa alokuwa anawazungumzia au kuna wengine🤠🤠🤠🤠....bdo Aston Villa na Newcastle
Nakumbuka siku kadhaa nyuma kina hamis77 na mkorea walisema humu kuwa lazima West Ham watoe maelezo walitufungaje mechi iliyopita.
 
Kuna kitu kinanitatiza. Rice ni mrefu, namtaka awe ndani ya box anagombania mipira iliyokufa. Lakini anapiga mipira iliyokufa na delivery yake ni nzuri na tunapata mabao kutokana nayo. 🤔🤔
 
Walipoingia wavunja Kuni kina Nketiah ,elneny nikajua hatuongezi Tena goli

Ødegaard kapiga pass 117 Toka waanze kuchukua data 2004 hajawahi tokea mchezaji akapiga pass nyingi hivo ,plus 2 assist,
Hamis , the comedy wa Mkuranga
Ama kwa hakika mganga mliyempata Kule Dubai dawa zake kali ,
Yaani ninyi ndio wa kuwabonda sita Westham ,aiseee

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Tumemgonga kocha wa zamani wa 'ASS-ANAL nje ndani..
Screenshot_20240211_213044_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom