Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,125
Hii game tumefanya mpira kuwa kitu rahisi sana.
Zimefika na naona kama zitazidiMoyes amechonga sana
Leo apigwe 6-0
Bado Astonvilla na Newcastle pale Emirates
Leo players wamejua fans tunataka nini hawajarelax waongeze dozi mwishoni mwa season GD huwa ni muhimu sanaUtashangaa second half wachezaji wanaenda kurelax. Hizi ndo game za kutanuwa GD. Game kama hizi Liverpool wanakupiga hata 10
Me sijatosheka kabisa Bado Nina hasiraLeo players wamejua fans tunataka nini hawajarelax waongeze dozi mwishoni mwa season GD huwa ni muhimu sana
Hata wewe unaona kama tunewahurumia wakati tulitakiwa kuboresha GD? Yaani City na Liverpool wanapenda kupiga magoli mengi na ni wagumu kuwashika. Nadhani kuna wakati tuliachwa kama magoli 10 hivi. Kupunguza mpaka 1 (bado City ana game) si haba ila nadhani tutafikiri hii ni fursa tumepoteza.Me sijatosheka kabisa Bado Nina hasira
Burnley next watakuja na maguvu yao hao sasa pia ni pa kutafuta GD nzuriMe sijatosheka kabisa Bado Nina hasira
Kuna msela mmoja alikuwa anatupiga mikwara kwmba mechi ijayo mnacheza na West Ham....tunaomba aje atueleze ndo West Ham Hawa alokuwa anawazungumzia au kuna wengine🤠🤠🤠🤠....bdo Aston Villa na NewcastleHata wewe unaona kama tunewahurumia wakati tulitakiwa kuboresha GD? Yaani City na Liverpool wanapenda kupiga magoli mengi na ni wagumu kuwashika. Nadhani kuna wakati tuliachwa kama magoli 10 hivi. Kupunguza mpaka 1 (bado City ana game) si haba ila nadhani tutafikiri hii ni fursa tumepoteza.
ok Kwa leo tusherekee tu tulichokipata tukiomba timu iwe imeelewa na kuendelea kwa moto huu katika mechi zilizobaki.
Leo mmeokota pochi ya mzunguWangemaliza wachezaji walioanza tungekua tunaongea goli 8 kwenda juu!
Umewahi kuona ile Traffic anaita magari ya upande mmoja tu ? Basi ndio kilichotokea leo pale London Stadium , Arsenal utasema wapo tizi vile , mpira unatembea , movements tamu sana , pasi za uhakika , halafu umaliziaji mzuri ( imagine zinapigwa shots takribani 25 ) .!
Hii ni aina ya mechi ambayo David Moyes atataka kuisahau haraka sana na vijana wake , maana walitawaliwa kila eneo kwa kila kitu , hawakumpa tabu hata David Raya . Hiki ni kitu ambacho Arsenal anaweza kukufanyia ukiingia kichwa kichwa .
Position na majukumu ya Trossard yaliwapa tabu sana Zouma na Aguerd , kama beki wa kati unatamani ukabiliane na mshambuliaji ambaye mtakuwa mnagusana lakini Trossard hakuwapa hiyo nafasi , alikuwa anacheza zaidi mbele yao na nyuma ya kiungo cha West Ham na kuwalazimisha mabeki wa kati wa West Ham waanze kukabia juu na ndio sherehe iliponoga hapo
Baada ya hapo ilikuwa ni ishu ya kwamba Arsenal watafunga mangapi na muda gani .! 
small details