Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta on Declan Rice:

"It's always difficult to come back to your old club. The fans were really good to him [Declan Rice].

"When he went to take the corner they clapped him so it's great to see that kind of reception. He loves this club so much and I know what it meant to him to play today."

Westham tuwaongezee pesa kwa kweli
IMG-20240211-WA0046.jpg
 
Naona tutangulize pole zetu za dhati kabisa kwa kila kima atakayepata bahati mbaya ya kukatiza katika anga zetu mpaka msimu uishe.
Tahadhari aambayo imetolewa, ukicheza na arsenal usijaribu kutaka kupishana. Chonde chonde utakutwa dhahama

Westham walishaanza kutozea, ameingia kichwa kichwa sasa hivi wwnakanda miguu huko.
Tena Bila Sheria za FIFA kipindi cha pili wasingerudi wale
 
Kuna kitu kinanitatiza. Rice ni mrefu, namtaka awe ndani ya box anagombania mipira iliyokufa. Lakini anapiga mipira iliyokufa na delivery yake ni nzuri na tunapata mabao kutokana nayo. 🤔🤔
Hii ishu nimeona kuna shabiki kaisemea Reddit.

Sasa changamoto ni hiyo.

Akipiga anadeliver vizuri asipopiga uwepo wake ni advantage kwenye box. Mwisho tukakubaliana aendelee kupiga
 
Hii ishu nimeona kuna shabiki kaisemea Reddit.

Sasa changamoto ni hiyo.

Akipiga anadeliver vizuri asipopiga uwepo wake ni advantage kwenye box. Mwisho tukakubaliana aendelee kupiga
Yea. Aendelee tu kupiga huku wengine wakiendelea kujiimarisha katika upigaji.
Kwenye umaliziaji kuna Havertz, kiwior, Saliba, Gabriel na White na Partey.
Kina Saka, Martinelli na Trossard, especially Trossard, Odegaard na Partey wanafaa kuwa wale players wanaozagaa nje ya box kushoot loose balls.

Nataka kusema Nwaneri ni mdogo/mfupi kwa sasa. Kabla ya kuwaza tuachane naye tutafute mtu mwenye build ya Rice, acha tuendelee kumuangalia. Anaweza kuwa Cazorla mwingine. Au Foden
 
Yea. Aendelee tu kupiga huku wengine wakiendelea kujiimarisha katika upigaji.
Kwenye umaliziaji kuna Havertz, kiwior, Saliba, Gabriel na White na Partey.
Kina Saka, Martinelli na Trossard, especially Trossard, Odegaard na Partey wanafaa kuwa wale players wanaozagaa nje ya box kushoot loose balls.

Nataka kusema Nwaneri ni mdogo/mfupi kwa sasa. Kabla ya kuwaza tuachane naye tutafute mtu mwenye build ya Rice, acha tuendelee kumuangalia. Anaweza kuwa Cazorla mwingine. Au Foden
Kuachana ukiwa unamaanisha kumuuza au tuache aendelee kukua taratibu huku tukiwa tunampa mechi chache sana....fafanua
 
Back
Top Bottom