Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Yaani hili Kieran Tierney kupotezwa linaniuma sana.Arteta is good tatizo msimu huu ameanza ujuaji wa ki-guardiola ndio itamcost. Aache experiments za ajabu na ajaribu kupanga wachezaji based on form sio upendeleo na pia afanye rotation za kutosha.
Mfano unamtoa mkopo Tierney huku ukijua Zinchenko na Tomi ni injury prone unategemea nani acheze left back? Usije sema Kiwior maana hapo kati Saliba na Gab hawana backup!! One injury we are done. Same applies to White!!
Nashukuru Tomas aliumia maana alishageuzwa RB ili tu Havertz acheze!! Mara Gab akawekwa benchi mwanzo wa msimu. Akiacha hizi weird experiments na upendeleo he will be the best ever.

