Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
sasa mbona mashabiki wanaondoka? kwani ars tumemkera nani
Wanaenda kunywa chai
sasa mbona mashabiki wanaondoka? kwani ars tumemkera nani
Walikuwa na matokeo yao mfukoni Hawa ndugu zetu wa West Ham🤠🤠🤠....hii statement tunayotoa leo na hiki kikosi kilichokosa baadhi ya majembe yetu litakuwa ni fundisho zuri sanasasa mbona mashabiki wanaondoka? kwani ars tumemkera nani
Usilinganishe level zenu chelkenge & manyumbu na arsenal the gunnersUnaota ukiwa wapi?
Moyes amechonga sanaMoyes atajuta leo
Ndiyo tabia ya Arsenal inayoniboa hii. Leo tunatakiwa tuwapige hata nane hawa ila ndiyo hivyo, second half tunapoaga sanaUtashangaa second half wachezaji wanaenda kurelax. Hizi ndo game za kutanuwa GD. Game kama hizi Liverpool wanakupiga hata 10