Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wajuaji wengi sana ,mtu analaumu Kai ,wakati Kai Leo kawanyanyasa sana VVD NA KONATE , KONATE kala umeme Kwa sababu ya Kai ,

Kai kawin mipira mingi sana ya juu ,

Siku hizi nimepunguza kuja humu nabishana bori na kina ambangile ,
Na ukiangalia wote wanao laumu Flano ka like post zao! Flano akilike post yako lazima urudie kuisoma tena na ufirie kwa kina. Mtu anamlaumu kocha wakati mpira unaendelea, tunashinda anaanza kumlaumu Partey. Inabidi ucheke.
 
In my side naona draw vs City Etihad kwetu ni ushindi sababu bado magiant hawajakutana for example Manchester City anaenda Anfield,Liverpool anaenda Old Trafford so anything can happen
Pale Old Trafford wewe ukiona unahitaji points 3, nenda tu pale ukajichukulie. Wanazigawa pale kama biskuti za mabasi ya kaskazini.
 
Jurgen Klopp kakubali walizidiwa

: “Arsenal deserve the three points, there is no doubt about that. They scored three and we had one shot on target, so that's obviously the one stat that shows the most.View attachment 2894695
Vijana wako vizuri,kikosi cha Arsenal sasa hivi kinatisha,ila yale masihara yao ya kucheza pasi golini kwao huwa siyapendi sana...
 


Takehiro Tomiyasu has now agreed to sign a new contract at the Emirates Stadium. The agreement is now in place, everything is ready, and an announcement is imminent.
It’s just time to complete the paperwork, but Tomiyasu is going to be the next important player to sign a new deal at Arsenal, following on from others like Martin Odegaard, Bukayo Saka and William Saliba in recent months.

(@FabrizioRomano )
 
kumbe upo
 
Kukosekana kwa jesus arteta amekuwa sahihi kumpanga Kai . Kwa sababu hakuna mchezaji mwingine yoyote angeeeza ku battle na kina Van .. kwenye mipira yote ya juu
Na hii ina expose weakness ya Arteta, kwahiyo 65M kwa ajili ya kushinda mipira ya hewani tu?

Trossard kaingia na instant impact, ni mara Mia LCM achieve Zinchenko huko LB achieve Kiwior. Huyu Havertz is bullshit.
 
Joginho ni holding mzuri Sana

Rice na joginho wapo dimba la chini. Hapo kiungo kinakua solid sana

Dimba la juu yupo odegard
Domination of midfielders,

lazima uwaweke joginho na Rice

Accelerated wings

Saka na martinel, hakuna timu inapenda iwakute wapo form

Sasa hivi Nina kazi ya kushabikia na kazi ya kufundisha soka
 
Kai aliimaliza game kwa kusababisha wawe pungufu


Sub niliyopendekeza imelipa, Trossad


Arteta ni technician mzuri Sana, ndio maana pep alimvuta afanye nae kazi, Respect that

Kai vs Trossard, Neli vs Trossard.
Unacheza na liverpoll beki Konate na VVD wote futi sita zaidi, option ya Trossard inafeli mara moja kuanza. Utahitaji mtu atakaehold mipira mirefu na kushindana nao physique, Kai ametick.

Nelli vs Trossard. Liverpool wana Trent na mbele yake ni Nunez/Jota, utahitaji mtu atakaewapunguza kwenda mbele kwa speed yake pia awe anakaba, Martinelli anawin mbele ya Trossard.

Unaongoza mbili utahitaji mtu anaehold mipira na accuracy ya goli ni Trossard supersub.
Unategemea Liverpool kipindi cha pili watarudi na moto kama kawaida yao, toa Zinny weka beki halisi Kiwior.

Jana Arteta tactical alimzidi Klop
 
Good morning Gunners

Game Nzuri ya Jana
Jorginho, &Rice Pivot kitu sijawahi ona Kama kile walitisha Sana

Saliba mistake ila lawama wanatupiwa wengine
Ukweli wilo alizingua ile goal luckly uwanjani Wana umoja.. awe Makini Sasa maana tutanza kuwa Maadui wenyewe kwenye lango letu

Kai had a good game against Liverpool defenders
Vvd and konate couldn't handle him kwa presha alizokuwa anawapa ,ila jana link up yake na wenzie Yani Huoni pengo la Jesus

Saka pocket Gomez Alikuwa hapandi kabisa

Martinel pocket TAA couldn't Link na wenzake, mchezo ulikuwa mzuri Sana
Benjamin White Jana alikua na game poa Sana Diaz hakufurukuta kabisa

Kiwior hakutaka masiara kabisa

Raya with distribution Ni monster...

Second half tupia mipira mirefu Kai chukua Mali . Kuna ka Haram ball kalitembea
Trossard always anakupa chochote akiingia uwanjani

Hii momentum tutaenda kushinda mechi nyingi Sana.

Tomiyasu is back
Timber on the way
Partey on the way

ARSENAL FOREVER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…