Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,668
- 2,561
Na ukiangalia wote wanao laumu Flano ka like post zao! Flano akilike post yako lazima urudie kuisoma tena na ufirie kwa kina. Mtu anamlaumu kocha wakati mpira unaendelea, tunashinda anaanza kumlaumu Partey. Inabidi ucheke.Wajuaji wengi sana ,mtu analaumu Kai ,wakati Kai Leo kawanyanyasa sana VVD NA KONATE , KONATE kala umeme Kwa sababu ya Kai ,
Kai kawin mipira mingi sana ya juu ,
Siku hizi nimepunguza kuja humu nabishana bori na kina ambangile ,
LCM mbona wapo kwa 65 M, mfano Camavinga alisajiliwa kwa 31M inakuaje sisi tunanunua garasa ambaye alikua failure Chelsea kwa 65m.Kwenye CF ana LCM?
Leta kadi, tule ubweche.Nipo ndugu yangu japo nilikuwa bize nataka kuoa
Pale Old Trafford wewe ukiona unahitaji points 3, nenda tu pale ukajichukulie. Wanazigawa pale kama biskuti za mabasi ya kaskazini.In my side naona draw vs City Etihad kwetu ni ushindi sababu bado magiant hawajakutana for example Manchester City anaenda Anfield,Liverpool anaenda Old Trafford so anything can happen
Vijana wako vizuri,kikosi cha Arsenal sasa hivi kinatisha,ila yale masihara yao ya kucheza pasi golini kwao huwa siyapendi sana...Jurgen Klopp kakubali walizidiwa
: “Arsenal deserve the three points, there is no doubt about that. They scored three and we had one shot on target, so that's obviously the one stat that shows the most.View attachment 2894695
[emoji2956] kumbe upo[emoji599]
Takehiro Tomiyasu has now agreed to sign a new contract at the Emirates Stadium. The agreement is now in place, everything is ready, and an announcement is imminent.
It’s just time to complete the paperwork, but Tomiyasu is going to be the next important player to sign a new deal at Arsenal, following on from others like Martin Odegaard, Bukayo Saka and William Saliba in recent months.
(@FabrizioRomano )
Hiki kikombe ilikua ngumu liverpunda kukiepukaLiverpunda hiki kikombe lazima akinyweView attachment 2894233
Na hii ina expose weakness ya Arteta, kwahiyo 65M kwa ajili ya kushinda mipira ya hewani tu?Kukosekana kwa jesus arteta amekuwa sahihi kumpanga Kai . Kwa sababu hakuna mchezaji mwingine yoyote angeeeza ku battle na kina Van .. kwenye mipira yote ya juu
Huu ndio ulikua ushauri wangu kwa shangazi wa jf, naona Hadi Sasa hivi anaihudumia ndoa Sasa vizuriUkae kwa kutulia Bibi, leo Mtakufa 2 tu
Hapa nilitoa tahadhari, laiti wangejifanya wanajua press au kutaka kupishana Basi wangepigwa mkonoAta huko kututangulia sidhani, sioni wakicheza mpira wowote leo
Wawe na adabu tu, tutafanya vile itakavyo tupendeza
Mbili kavuLiverpunda anakufa 2 kavu
Akija vibaya au akijaribu kupishana, fedheha itamkuta
Liverpunda walipata shot 1 tu on targetIt will be difficult for liverpundaView attachment 2894092
The whole world was happy, na hajatoka punda yeyote yuleHatoki mtu leo Emirates
Arsenal play today and the whole world is happy [emoji4][emoji7]
[emoji739] Liverpool
[emoji793] 19:30
[emoji471] Premier League
[emoji909] Emirates Stadium
Ready for a massive game [emoji109][emoji123][emoji3590]View attachment 2894090
Artetaliban ball[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Domination of midfielders, [emoji736]Joginho ni holding mzuri Sana
Rice na joginho wapo dimba la chini. Hapo kiungo kinakua solid sana
Dimba la juu yupo odegard
Kai aliimaliza game kwa kusababisha wawe pungufu [emoji120]Game plane klop amezidiwa na Arteta
Kama unafatilia mpira utagundua Arteta ni master plan mzuri Sana
Uhakika [emoji817] liverpunda anakufa hii game
Sub ya trossad kwa Kai, Leo naona Kai amepoa Sana. Na ndio mtu ambae anatakiwa aimalize hii game
#COYG
Good morning Gunners
Game Nzuri ya Jana
Jorginho, &Rice Pivot kitu sijawahi ona Kama kile walitisha Sana
Saliba mistake ila lawama wanatupiwa wengine
Ukweli wilo alizingua ile goal luckly uwanjani Wana umoja.. awe Makini Sasa maana tutanza kuwa Maadui wenyewe kwenye lango letu
Kai had a good game against Liverpool defenders
Vvd and konate couldn't handle him kwa presha alizokuwa anawapa ,ila jana link up yake na wenzie Yani Huoni pengo la Jesus
Saka pocket Gomez Alikuwa hapandi kabisa
Martinel pocket TAA couldn't Link na wenzake, mchezo ulikuwa mzuri Sana
Benjamin White Jana alikua na game poa Sana Diaz hakufurukuta kabisa
Kiwior hakutaka masiara kabisa
Raya with distribution Ni monster...
Second half tupia mipira mirefu Kai chukua Mali . Kuna ka Haram ball kalitembea
Trossard always anakupa chochote akiingia uwanjani
Hii momentum tutaenda kushinda mechi nyingi Sana.
Tomiyasu is back
Timber on the way
Partey on the way
ARSENAL FOREVERView attachment 2894852