Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Sure, tunacheza mpira wa taratibu no quick passing of the ball. Tunahitaji mabadiliko
 
Nyie Aseno ni zaidi ya mbwa. Mnacheza na kibonde afu mnanichania mkeka? Hamtakuja kushinda kombe lolote lile la maana; nawalaani. Mtaishia tu kushinda makombe ya Emirates cup wapuuzi nyie!
Arsenal mtaishia hivi hivi kila mwaka.....mbwa nyie!
 
N
Kuna mdau humu alituambia Real Madrid and Manchester City pekee ndio washindani wa Arsenal kwenye Champions league au alikuwa anatania ?
Nafikiri yalikuwa maoni yake binafsi kulingana anavyoilewa asenali,ila binafsi asenali sijawahi kumtarajia awe bora sana kama wanavyoiona baadhi ya mashabiki.

Mfano kuna wengine walifurahia kuona Christmas asenali yupo juu wakajua ndio itadumu😂,asenali ni mtego 😂😂😂
 
Maoni yangu ni haya na hayatendelea kubadilika kama die hard fans mnaamini Arsenal atabeba EPL or champions league trophy
under Arteta na kina Saka basi kutakuwa na tatizo la akili somewhere HAPPY NEW YEAR GUYS!
Sasa ni wakati rasmi muanze mbio za kuiskaka top four. Habari za ubingwa waachieni wenye pumzi zao za kufukuzia ubingwa.
 
Kocha mbwa kabisa umbwa mkubwa.
 
Well said.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…