Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ana ego,, au wewe ndiio una ego juu ya Arsenal na Arteta,!?

Mbona mnajitungia vitu from no where,!?
 
Nyie Aseno ni zaidi ya mbwa. Mnacheza na kibonde afu mnanichania mkeka? Hamtakuja kushinda kombe lolote lile la maana; nawalaani. Mtaishia tu kushinda makombe ya Emirates cup wapuuzi nyie!
Eet laana
,,,wewe nani uipe timu yetu Laana,

Tuliko toka na tunako kwenda ni bora zaidi.. kinacho wa uma na mnaumia nijinsi tuna oneshe mwanga wa kuja kuchukua vyote..
 
Mhuni hamis77 kajifukia baada ya timu kupoteana ili aje ajibu hoja za watu humu. Najua atakuja na turufu moja ya kujilinda kwamba King Kai ndio sababu ya wao kushindwa kuchukua alama 3 maana kwa uwepo wake mngecheza aerial balls nyingi,angefanya pressing na kusaidia overloading maeneo ya pembeni na kufanya movements kudanyanya difendaz wa Hammers watoke katikati.

Mwisho mzuri katika football kwa fan yeyote yule ni matokeo mazuri na wala sio possession kubwa au kupiga chenga nyingi pamoja na takwimu uchwara za touches in opponents box,ni vitu jamaa anatumia sana kuwajaza wanae humu ndani.
 
What a christmas present from The Hammers to all football fans around the world!
 
Unajua mpira kaka, Kuna kima umu hazijui bolu Kama Lina matokeo matatu..

Sisi tunajua team yetu ime struggle for how long, na ndio Kwanzaa msimu wa pili arsenal imeludi kweny reli.
 
Wewe Hamis a.k.a AaronArsenal naona umefufua id yako ya zamani baada ya kudhalilika na utoto unaoujaza hapa jukwaani.

Mchezaji akicheza mechi 3 tu unajua kabisa huyu anajua na amekamilika au la. Sasa akina GJ, ode na zin kila siku wanarukaruka tu.
 
Mkuu ni wewe kweli au kuna mtu anachezea simu yako?
Yuko wapi hamis77 Castr na HENRY14
Mkuu computerarsenal ni mtu ambae amenyooka ndio maana hata mashabiki wenzake wa Arsenyo hua wanamuona kama msaliti.
Huyu jamaa sio wale bendera hufata upepo kila anachosema Masingeli na chawa wake basi na wao lazima wasapoti, computerarsenal timu ikifanya vizuri lazima asifie na ikizingua atakosoa, huyu jamaa ni mtu huru ambae hakubali akili yake kushikiliwa na watu ambao humu wanajiona wao ndio wana hati miliki ya timu.
 
Eet laana
,,,wewe nani uipe timu yetu Laana,

Tuliko toka na tunako kwenda ni bora zaidi.. kinacho wa uma na mnaumia nijinsi tuna oneshe mwanga wa kuja kuchukua vyote..
Huo "mwanga" umeuonyesha tangu lini? Utaishia hivyo hivyo na tamaa zako za fisi ukidhani mkono utadindoka ule hadi njaa za makombe zitakuua
 
Kwa nafasi aliyokaa Arteta last season katika 1st position for 284 days na Trophy
hakubeba ingekuwa Klopp au Guardiola kombe angebeba na season hii ni yale yale kama ya last season position ambayo anatakiwa kukaa akishinda anaikosa so nothing new kwa Arsenal ya sasa tupo na tutakumbushana kocha una miaka 5 still unajenga timu ambayo ikitaka position nzuri unakosa ni mazoea na tushazoea

Kuna sentence unasema tujadili nini kirekebishike kwani kilichotokea jana na last season refer 10 games za mwisho utofauti wake ni nini sasa?
 
🫡🫡🫡🫡
 
Tomiyasu could leave this window, most likely destination Napoli. The deal will materialize if a good offer is received
 

Arteta ana ego,, au wewe ndiio una ego juu ya Arsenal na Arteta,!?

Mbona mnajitungia vitu from no where,!?
HILI Ndo Tatizo kubwa Mpo nalo Mashabiki wengi wa ARSENAL humu ndani, Mtu akitoa hoja Hamji na Hoja kwa sababu amesema ambacho hamjapenda ila zinakuwa Porojo na Kejeli. Kuna hatua inafikaga Mnatoa Mpaka MATUSI!

Chatta g DEL BOSQUE, LUIS ARAGONES, hawa ilikuwa kizazi cha mwisho wa walimu wa Kispain wenye Umri ulosogea, BENITEZ alifanya Mapinduzi wakaanza aminiana na Umri mdogo, tizama PEP Mpaka leo jamaa ni Mbaguzi haswa, ENRIQUE anaamini ni Bora haswa, Xavi karibuni tu hapa alitaka aminisha Dunia kwamba kina GAVI na PEDRI ni zaidi ya Frenkie De Jong. Ni mengi juu yao wao watizame wanaamini Mpira upo kwao!

ARTETA ni kiburi, Huwezi amini aina ya Mchezaji kama Nketiah na Nielsen kama Plan B na wakati huo unataka Shindana, Kuna namna amemwacha Balogun kirahisi sana lakini angeweza wapa Mengi tofauti na Nketiah.

Kundi kubwa hapa halisemi Mna timu Mbovu, ila wanaamini bado ina mapungufu kadhaa kuwa Tishio na kuna wachezaji wengi wa kawaida ambao hao mnashindania nao Ubingwa wanaeza wasiingie kwenye Kikosi chao bora cha kwanza. Ila wewe na wengine wa aina yako huwa hamtaki amini kuhusu Hilo, na anayetoa Maoni ya aina Hiyo mnamwita Mamluki ama na Chuki!
 
🫡🫡🫡🫡
Mkuu wewe ni mtu huru, hua tunafurahia comments zako pale unapo pongeza timu inapofanya vizuri, tunakuunga mkono pale unapotoa ushauri kuhusu maboresho yanayohitajika kwenye timu, na pia tunasimama na wewe pale unapoamua kukosoa kwenye yale makosa yote yanayoonekana iwe ni kocha, wachezaji au management.
Hiki unachokifanya ndio maana halisi ya uhuru wa maoni, humu kuna watu wanataka mashabiki wote wawe kama maroboti (mtazamo mmoja) kitu ambacho hakiwezekani.
 
Wewe Hamis a.k.a AaronArsenal naona umefufua id yako ya zamani baada ya kudhalilika na utoto unaoujaza hapa jukwaani.

Mchezaji akicheza mechi 3 tu unajua kabisa huyu anajua na amekamilika au la. Sasa akina GJ, ode na zin kila siku wanarukaruka tu.
Unaona sasa ulivyomkalili Hamis, kwani una ugonvi nae!!?? Kuhusu Id hii kuwa ni ya Hamis hilo nakupuuza kwa kuwa halina maana. Kwahiyo kwa hoja yako ni kwamba ukimtizama mchezaji kwa mechi 3 tu tayari unajua huyu ni complete au sio complete. Je unaweza ukatusaidia vigezo vigezo vya kimpira unavyotumia kwa hizo mechi 3 kuthibitisha?
 
Naitunza hii comment, sisi tunapenda watu wenye mihemko kama wewe, na kazi yetu huwa kuwakumbusha ujuha wenu.
Itunze vizuri.
Msimu uliopita kulikuwa na progress kiasi kwamba nilianza kuamini timu inaenda mahali pazuri only tukarudi tulikotoka kwenye michezo nane ya mwisho.

Tangu msimu uliopita uishe nikawa nimeshaelewa arteta ni average coach ambaye hawezi kufika popote. Hana mentality ya ubingwa na hana mbinu za kupigania makombe makubwa.

He must be fired immediately, Arsenal yake ilifikia peak last year, sasa hivi inashuka tu.
 
Labyrinth kile ni kichwa nakikubali kinajua sana football, tulishawaambia humu hio homosexual football bila ya mentality ya makombe haitawasaidia kitu, nyinyi na Brighton hamna tofauti wote ni mid table team.
Ni wanafki kama nyie ndio mnamuingiza mkenge Labyrinth. Mnamjaza bichwa halafu anaanza kuleta habari za mijusi milia kuwa bora humu. Matokeo yake ni kelele zake huwa hazidumu humu na anajipigisha ban.

Halafu "homosexual football" ndiyo kitu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…