Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,143
Kiko wapiKama Klopp alivyosindikiza Liverpool from 15/16 to 18/19, yaani 4 years, then 19/20 akabeba ndoo. Basi na sisi ndo hivyo hivyo. Kaa kwa kutulia
#tukutanewembley
Lazima tuwe hivyo leo. Kesho tukishapoa tutakuwa waelewa zaidi.Arsenal wala hamna tatizo kubwa. Mnahitaji a top striker. Basi. Everything else inakua solved.
Hamuwezi kosa 5 BIG CHANCES halafu mkaanza kulia lia we need squad overhaul. Acheni ku over react qummmmamaqe
Labyrinth kile ni kichwa nakikubali kinajua sana football, tulishawaambia humu hio homosexual football bila ya mentality ya makombe haitawasaidia kitu, nyinyi na Brighton hamna tofauti wote ni mid table team.Yaani hata Labyrinth atatoka huko handakini alipojificha kuja kutawala hili jukwaa la Ze Ganaz.
Nadhani b4 halland city alibeba akiwatumia Bernado kdb na Foden kama false 9 sababu Gabriel Alikuwa gari ya mkaaHakuna team imechukua premiership bila kuwa na clinical finisher. Anzia Chelsea enzi za Diego costa. Njoo Liverpool wakati wanachukua ubingwa Mane, Bobby na Mwamedi wote walikua clinical.
Man city kabla ya Haaland walichukua ubingwa hili kwa sehemu kubwa ni down to Pep masterpiece. Inter Milan? Lautaro, Napoli? Victor Osimhen, Bayern walivyompoteza Lewando wakaanza ku struggle...ubingwa wa ligi kwao sio guaranteed tena kama before..
Clinical finishers, hawa ndo wanakupa ubingwa. Sasa Nketiah na Gabiwao ni good squad players tu. Not out and out frontmen.
Solve hilo and Arsenal wata win league. Hampo mbali na ubingwa kama wengi wanavyo overreact hapa qummmmmmamaqe
Upo sahihiLEICESTER wanachukua Ubingwa walijikuta Nafasi ambayo hawakuitegemea, Ukiangalia Mzunguko wa Pili ilikuwa ni suala la Mwalimu zaidi. ARTETA Mwalimu mzuri lakini bado ni Mwanafunzi aliye kazini, Hawezi jua Kupambana na Pressure kwake Binafsi na kwa Wachezaji wake. {Na ana "EGO" kuamini anajua kumbe bado sana}
Game Nyingi kwa sasa Timu zikicheza na Arsenal zimeamua kuiheshimu na zinawadhuru sana kupitia Utumiaji nafasi, Jana unamaliza na Nafasi za Wazi zaidi ya 5 bila Goli halafu unawaza Ubingwa! Haaland ama Salah washatoka hiyo hatua, Ukitaka Ubingwa nenda nao Jino kwa Jino, Kuwa na ST/CF uhakika ambao kuwapata January ni Bahati nasibu. KDB akirudi kwa CITY ni kama Sajili Mpya.
ARSENAL imekuwa inafungwa aina ya Magoli yanafanana sana karibuni, Imekuwa kama Mbinu ya walimu wa Timu nyingine. Mnafungwa sana Mipira ya Kutenga, Kona, Faulo, kitu ambacho Mlikuwa hamna kabisa msimu ulopita!
KUN AGUERO ndo Msimu alikuwa anaingia toka zaidi kwenye timu sababu ya Majeraha. CITY ina Mtaji wa Kikosi kipana, ARSENAL akiumia Jesus kunakuwa na "EXPERIMENT" nyingi za CF/ST.Nadhani b4 halland city alibeba akiwatumia Bernado kdb na Foden kama false 9 sababu Gabriel Alikuwa gari ya mkaa
Mkuu ni wewe kweli au kuna mtu anachezea simu yako?Arteta abadani can never ever atabeba EPL and Champions leaguenakaataa NAKATAAA NAKATAA atacheza sext football️ but kupata final results kama Guardiola hawezi yupo msimu wa 4 au 5 in a row but Arsenal ni ile ile refer alikaa 284 days number 1 na akashindwa beba EPL trophy
Unachosema ni kweli kabisa lkn je hao strikers wanapatikana? Kuna muda inabidi utengeneze ulichonacho ili kikupe ubora nadhani cha muhimu ni kwamba hao tulionao wameshindwa kufikia ubora basi watafutwe wengine ili watengenezwe. Hao unao wasema akina Mane, Sara na Bob wameboreshwa na Krop. Sarah alivyotoka fc Basal kuja Chelsea hakuwa na ubora huo mpaka akaondoka kwenda Roma na alikuja liver baada Cortinho kuondoka sawa na Mane alivyokuwa Soton hakuna na ubora huo ila ameboreshwa na Krop. Kwahiyo siyo lazima ukanunue top striker ila unaweza kuchukua mwenye potential kisha ukamboresha ili akidhi mahitaji yakoHakuna team imechukua premiership bila kuwa na clinical finisher. Anzia Chelsea enzi za Diego costa. Njoo Liverpool wakati wanachukua ubingwa Mane, Bobby na Mwamedi wote walikua clinical.
Man city kabla ya Haaland walichukua ubingwa hili kwa sehemu kubwa ni down to Pep masterpiece. Inter Milan? Lautaro, Napoli? Victor Osimhen, Bayern walivyompoteza Lewando wakaanza ku struggle...ubingwa wa ligi kwao sio guaranteed tena kama before..
Clinical finishers, hawa ndo wanakupa ubingwa. Sasa Nketiah na Gabiwao ni good squad players tu. Not out and out frontmen.
Solve hilo and Arsenal wata win league. Hampo mbali na ubingwa kama wengi wanavyo overreact hapa qummmmmmamaqe
Tangu lini mmbwa akalaaniwa na mbetiji mikeka? Hiyo laana nimeifuta rasmi leo 29/12/2023.Nyie Aseno ni zaidi ya mbwa. Mnacheza na kibonde afu mnanichania mkeka? Hamtakuja kushinda kombe lolote lile la maana; nawalaani. Mtaishia tu kushinda makombe ya Emirates cup wapuuzi nyie!
Nikiwa Arsepimbi orijino toka Kimbiji naeleza ukweli goli la kwanza la West Harm ni la Referee na VAR team maana mpira ulishatoka nnje ya uwanja.LEICESTER wanachukua Ubingwa walijikuta Nafasi ambayo hawakuitegemea, Ukiangalia Mzunguko wa Pili ilikuwa ni suala la Mwalimu zaidi. ARTETA Mwalimu mzuri lakini bado ni Mwanafunzi aliye kazini, Hawezi jua Kupambana na Pressure kwake Binafsi na kwa Wachezaji wake. {Na ana "EGO" kuamini anajua kumbe bado sana}
Game Nyingi kwa sasa Timu zikicheza na Arsenal zimeamua kuiheshimu na zinawadhuru sana kupitia Utumiaji nafasi, Jana unamaliza na Nafasi za Wazi zaidi ya 5 bila Goli halafu unawaza Ubingwa! Haaland ama Salah washatoka hiyo hatua, Ukitaka Ubingwa nenda nao Jino kwa Jino, Kuwa na ST/CF uhakika ambao kuwapata January ni Bahati nasibu. KDB akirudi kwa CITY ni kama Sajili Mpya.
ARSENAL imekuwa inafungwa aina ya Magoli yanafanana sana karibuni, Imekuwa kama Mbinu ya walimu wa Timu nyingine. Mnafungwa sana Mipira ya Kutenga, Kona, Faulo, kitu ambacho Mlikuwa hamna kabisa msimu ulopita!
Tupige spana tu mwana Gunner mwenzetuArteta abadani can never ever atabeba EPL and Champions leaguenakaataa NAKATAAA NAKATAA atacheza sext football️ but kupata final results kama Guardiola hawezi yupo msimu wa 4 au 5 in a row but Arsenal ni ile ile refer alikaa 284 days number 1 na akashindwa beba EPL trophy
Liver ilianza kurudi kwenye form chini ya kocha Roggers mpaka alipokuja kuichukua krop 2016/2017 ikiwa tayari imeanza kuwaka lkn bado ilimchukua Krop zaidi ya misimu 4 kuchukua Epl
Arteta kaichukua Arsenal ikiwa hoi taabani
LIVERPOOL ipi Imeanza Rudi wakati wa RODGRES? Ni Moja ya Walimu Pekee wa Liverpool ambao hawajawahi shinda taji lolote na Timu.Kwahiyo siyo lazima ukanunue top striker ila unaweza kuchukua mwenye potential kisha ukamboresha ili akidhi mahitaji yako
Kitu unachoshindwa kujua ni kwamba arsenal sio bora kuliko city na liverkuku kama mnavyoaminishana humu. Kuwa kwenu juu msimu huu ni kupoteza form kwa city na liverkuku na bahati mbaya kwenu the two giants are awake now. Mnajipa false hopes kuhusu ubora ila nyie na man utd mko level moja tu sema kiasi mmeboreka ukilinganisha na misimu ya nyuma.Hatuko mbali kiasi icho 2 points na anaeongoza ligi, na tunamatumaini ya wachezaji kwenye maeneo muhimu yatakaua ni kama maingizo mapya, kama hatuko vizuri kama last season basi ndo maana nilikubaliana na kauli ya jamaa kua tujitaidi tusiwe mbali kwa idadi kubwa ya point na atakaekua juu,,
So huyu mmbwa ndiye Mwacity au Arsepimbi?maajabu ya arsenal wanasema wapo one form hafu city kapoteana lakini je wajua? man city akishinda kiporo chake anapanda mpka nafasi ya 2 na timu iliyo kwenye form inakuwa ya 3View attachment 2856132