Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,896
- 1,698
Na ukuona havertz alivosukumwaMmebebwa kondoo nyie, niotee nini? Hukuona mtu akiunawa ndani ya box?


Na ukuona havertz alivosukumwaMmebebwa kondoo nyie, niotee nini? Hukuona mtu akiunawa ndani ya box?


Wewe utakua unaumwa sio bureKiwior yupo lakini anapangwa Zinchenko, Arteta hajifunzi hata siku moja. Alituchoma kwenye sare ya 2-2 msimu uliopita na karudia jana.
Timu yangu ina wachezaji wawili tu, Rice na Saliba. Wengine ni squad players wachache na takataka nyingi.
Kinachoitajika ni arteta kutengeneza mfumo wa kumsaidia Zinny upande ule kama jana ilivyokua kwa Liverpool walivyokua wametengeneza muundo wa kumsaidia TAA upande wake,Kiwior yupo lakini anapangwa Zinchenko, Arteta hajifunzi hata siku moja. Alituchoma kwenye sare ya 2-2 msimu uliopita na karudia jana.
Timu yangu ina wachezaji wawili tu, Rice na Saliba. Wengine ni squad players wachache na takataka nyingi.
2nd half Salah hakuonekana Tena, na Zinny akaja KatiKinachoitajika ni arteta kutengeneza mfumo wa kumsaidia Zinny upande ule kama jana ilivyokua kwa Liverpool walivyokua wametengeneza muundo wa kumsaidia TAA upande wake,
Yan wachezaji jana wamepambana saana lakini bado huoni iyo hali hadi useme unawachezaji wawili tu kikosi huku sasa ni kuumwa na kuwakosea wachezaj heshima
Kuna mawili...hujui Bolu au ww ni mamluki🤠🤠...ukitaka mfano WA squad player nenda kaangalie vikosi vya kwanza vya Manunu na Chelkenge tena wale wengi wao walitakiwa wawe waokota mipira....na wasiwasi ww ni Manunu au Chelkenge unayejaribu kudandia treni la Ashbaton GroveKiwior yupo lakini anapangwa Zinchenko, Arteta hajifunzi hata siku moja. Alituchoma kwenye sare ya 2-2 msimu uliopita na karudia jana.
Timu yangu ina wachezaji wawili tu, Rice na Saliba. Wengine ni squad players wachache na takataka nyingi.
kwny hyo fixture ya ligi kuu...kuna jambo litawakuta Hawa ndugu zetu....kitawaramba kabisa naona🤠🤠🤠...tupo hapaFA cup Ni Emirates , mechi ambayo Partey na Tomiyasu watakuwa wamerudi, Salah atakosa pia mechi ya round ya 2 Emirates 4Feb ,labda Egypt watoke hatua za makundi
Mo Salah ataenda AFCON baada ya mechi Yao na Newcastle
Hizi Ni mechi Salah atakazokosaView attachment 2851352
Defender mzuri siku zte huwa anakaba mguu wa hatari wa mshambuliaji....kwny ile kesi ilitakiwa amlazikishe Salah aende kulia maana ile ndo weker foot kwake...ila yule Mmatumbi huwa hajifunzi....hta game ya FA cup na West Ham alituchomesha hvyohvyo....Timber na Tomiyasu wakiwa fiti...atafutiwe sehemu nyingine ya kucheza....hata Forward wamuweke naona kipaji kwny hlo eneo kipo🤠🤠🤠Yule Zinchenko ana UPUUZI sana,lile goli la Salah angekuwa beki aliyekamilika Salah asingeweza kufunga,badala ya kumkabia kulekule juu kanamkabia kwa macho kakimruhusu aingie ndani,pia kuna mipira kama miwili kalichomesha kijingajinga tu tukakoswakoswa,na yeye mwenyewe Zin alishasema hapendi kukaba🤷
Jana tumecheza vizuri sana, ni vile watu wanataka ushindi tu.Kinachoitajika ni arteta kutengeneza mfumo wa kumsaidia Zinny upande ule kama jana ilivyokua kwa Liverpool walivyokua wametengeneza muundo wa kumsaidia TAA upande wake,
Yan wachezaji jana wamepambana saana lakini bado huoni iyo hali hadi useme unawachezaji wawili tu kikosi huku sasa ni kuumwa na kuwakosea wachezaj heshima
Defender mzuri siku zte huwa anakaba mguu wa hatari wa mshambuliaji....kwny ile kesi ilitakiwa amlazikishe Salah aende kulia maana ile ndo weker foot kwake...ila yule Mmatumbi huwa hajifunzi....hta game ya FA cup na West Ham alituchomesha hvyohvyo....Timber na Tomiyasu wakiwa fiti...atafutiwe sehemu nyingine ya kucheza....hata Forward wamuweke naona kipaji kwny hlo eneo kipo![]()
Nakuabaliana na ww kabisa mkuu...lakini kabla ya kwnda kwny game ni lazima uwe na mpango mkakati wa namna ya ku deal na mtu kama hyu....Zinny hakuwa nao....Ile nafasi ya jana mbele ya super Tomiyasu asingepiga au angeenda kulia....maana yle mjapani anatumia miguu yte....tukubali tukatae....Zinny ana defensive weakness kubwa hasa akikutana na winger msumbufu....kuchomesha ni dakika sifuri tu....ila kwny ku invert hakuna mtu anayemfikia pale ArsenalHapa Zinny mtamlaumu bure, mara nyingi mchezaji ‘left footer’ mguu wake wa kulia ni weaker kulinganisha na mguu wa kushoto wa mchezaji ambaye ni ‘right footer’.
Kwa LB anayetumia mguu wa kushoto akikutana na inverted winger kama Salah, Saka, Bailey, Foden nk kwenye mazingira ya 1v1 atateseka tu.
Hawa watu ni ama umuwekee watu wawili au apate LB anayetumia mguu wa kulia kama Tomiyasu ama Timber. Last game vs Liver alipoingia Tomiyasu ule upande, Salah hakuonekana tena.
Tukiacha yote, unamuongelea Salah ambaye anatajwa kuwa one of the greatest player in PL history. Kama unamchukulia Salah poa, tafuta records zake against ‘big six’ uone anacho wafanya, hapo usizungumzie hawa team ndogo ndio balaa kabisa.
LBs wengi kama si wote wa EPL na hata Uefa kwa Salah ‘wanaloa’, huyu jamaa ni msumbufu sana kumdhibiti kiukweli bila kuwa na mkakati maalum.
Jana zinny aliachwa na Salah peke yake (man to man)2nd half Salah hakuonekana Tena, na Zinny akaja Kati
Rice akawa Beki
Huyo jamaa comments Kama hizo sio zakujibu
Watugee NDOO yetu mapemaFA cup Ni Emirates , mechi ambayo Partey na Tomiyasu watakuwa wamerudi, Salah atakosa pia mechi ya round ya 2 Emirates 4Feb ,labda Egypt watoke hatua za makundi
Mo Salah ataenda AFCON baada ya mechi Yao na Newcastle
Hizi Ni mechi Salah atakazokosaView attachment 2851352
Saa 10 mna WolvesAsenyetoz wazee wa mbeleko mmeponea chupuchupu kutafunwa na jogoo jana
Shukuru VAR Kenge ninyi
Uwezo wa Mpira wa zinny Ni mkubwa zaidi kuliko wa Tomiyasu . Na Kama hujui plan zetu nyingi zinaanzia kwa Zinny . Kama unafatilia mechi nyingi anazoanza tomiyasu Ni za mikakati ya kumzuia mtu fulan lakini kuna kitu kinapungua kwenye kushambulia. Watu wanajua Zinny siyo natural Defender lawama za nini sasa. Kwani hukuona Game na city kwa nini alivyoingia Doku na arteta ndo akaamua amuingize TomiyasuNakuabaliana na ww kabisa mkuu...lakini kabla ya kwnda kwny game ni lazima uwe na mpango mkakati wa namna ya ku deal na mtu kama hyu....Zinny hakuwa nao....Ile nafasi ya jana mbele ya super Tomiyasu asingepiga au angeenda kulia....maana yle mjapani anatumia miguu yte....tukubali tukatae....Zinny ana defensive weakness kubwa hasa akikutana na winger msumbufu....kuchomesha ni dakika sifuri tu....ila kwny ku invert hakuna mtu anayemfikia pale Arsenal