Ebana gemu tumeshinda,.ila kazi bado tunayo kwenye defensive midfielder na playmaker.
Duh nilitegemea cricket score... Mmechezaje?
City wanatisha mjomba.....One nil to us..... L'Poolz wamepigwa kimoko....Man City ni watu kupokezana H'Trick.... Leo Dzeko.... Kesho KUN Aguero..... Jamaa wanatisha......
<br />Leo nafasi zilipatikana mbele sema umaliziaji mbovu.
hongereni kwa ushindi wapinzani. nasikia huyo kipa wa Swansea yuko kwenye shopping list ya Wenger.
<br />Next match against Borussa dotmund..hii sina wasiwasi fundi gervinho, song watakuwepo.
Duhh wakuu hongereni sana.............pamoja na ushindi wa kuchechemea.........walau utatuliza majonzi yaliyopita............
Ndio mmeanza ligi hivi,kazi mnayo
One nil to us..... L'Poolz wamepigwa kimoko....Man City ni watu kupokezana H'Trick.... Leo Dzeko.... Kesho KUN Aguero..... Jamaa wanatisha......
The goal was kinda cricket.
<br /><font color="#0000cd"><font size="4"><span style="font-family: century gothic">Aaaaaaaaaaaah kwa mpira ule mliocheza na Swansea sijui.............. subiri baadae mzee wa fitina atakuja kujitetea hapa</span></font></font>