Hahahaaah!! Pole sana Bala, huku wamechukua muda mrefu tunatumia jenereta, hadi kero...Damn you Tanesco na Ngeleja.......
Aaaaargh......Jamaa washachukua chao
Salama mkuu......Welcome backHodi hodi naingia.....
Mkuu Bala za miaka? Wazima wenzangu wana Gunners?
Mimi niko home.....Itabidi nifuatilie matokeo hapa hapa jamvini...Hahahaaah!! Pole sana Bala, huku wamechukua muda mrefu tunatumia jenereta, hadi kero...
Mimi niko home.....Itabidi nifuatilie matokeo hapa hapa jamvini...
Yanga tumetoa sare na leo tena.........Inaumaaaa
Van Persie.......dah!!
Hapa kuna dalili za goli lingine.
SANTOS is a bit short because He has not had competion since the COPA AMERICA.He is practising well though.Na haya ndio matatizo ya AW......Santos yuko bench.....Labda anasoma mchezo
Dakika 15 za mwisho amlete Park.