Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Mimi naona tatizo lenu ni kiungo, hawawezi kuhold mpira na ku-maintain possession. Mbele van Persie yuko poa.
Kazi tunayo sana, mpaka tukija kutulia i hope bado kutakuwa na mwanga mbele.