Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee wa sandekalawe naona pale kati hamna kiungo ndugu arteta bado muoga akili haipo uwanjani ila still you have time to improve otherwise congrats................mzee wa fitina wapi?
Kheeeeeeeeeeeee.......
 
Wazee wa sandekalawe naona pale kati hamna kiungo ndugu arteta bado muoga akili haipo uwanjani ila still you have time to improve otherwise congrats................mzee wa fitina wapi?
Kheeeeeeeeeeeee.......


Tutakuwa powa, bado wachezaji wapya wana adjust na wataweza ku-connect na wengine.
 
Aise ongereni watani...nasikia mmetoka droo?, ni kweli?
 
Dah!!! Majitu hayana huruma!!!
Splash_12_682x400_1375510a.jpg
 
Szczesny ni kipa mzuri, amewatoa sana leo....he's man of the match.
Ndio anawaokoa hata game dhidi ya Udinese alikuwa Man of the match,na ile ya Man pamoja na kupigwa goli 8 alikuwa afadhali
 
Watoto wazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Hasa ka dada susana wanakatungua kinoma hadi huruma
Arsenal-team-v-Borussia-Dortmund_2650761.jpg


Borussia-Dortmund-v-Arsenal-Lukasz-Piszczek-K_2650744.jpg


Mtoto mdogo kakunja sura kama kuli. Akifikisha miaka 28 tu kwisha habari yake
 
Hahaha! mfarisayo acha vurugu bana...khekheeeeee! et kama Kuli.
 
Watoto wazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Hasa ka dada susana wanakatungua kinoma hadi huruma&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;img src=&amp;quot;http://img.skysports.com/11/09/800x600/Arsenal-team-v-Borussia-Dortmund_2650761.jpg&amp;quot; border=&amp;quot;0&amp;quot; alt=&amp;quot;&amp;quot; /&amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;img src=&amp;quot;http://img.skysports.com/11/09/800x600/Borussia-Dortmund-v-Arsenal-Lukasz-Piszczek-K_2650744.jpg&amp;quot; border=&amp;quot;0&amp;quot; alt=&amp;quot;&amp;quot; /&amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Mtoto mdogo kakunja sura kama kuli. Akifikisha miaka 28 tu kwisha habari yake
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Mara watoto wazuri,mara mtoto mdogo kakunja sura,lipi ulitakalo wewe,sura ya kirembo au ukauzu?
 
mnatakiwa mumshukuru RVP na kipa wenu kwa sare na bila kumsahau benouyun..
 
Pamoja na yote lile bao la BD hatuwezi kulaumu, ile ni fluku fulani ivi, hata kipa wa dunia asingeweza kuokowa. Vijana wamejitahidi ukizingatia atmosphere uwanjani, wale mashabiki wao sijui wamekunywa kinywaji gani, vuvuzela mwanzo mwisho?
Tunahitaji Wilshere apone haraka, sijawahi kuona tukipoteza possesions ovyo mfano wa jana, Gervinho amejituma ila nae hatumii akili maamuzi yake ni sawa na Walcott.
 
Beki inajituma sana wachezaji wachache tu wanahitaji ku improve, Walcott na Gervinho wanapoteza sana mpira.

Arteta uzuri wake ana kaba na anajua kujituma. Wilshere akirudi itamsaidia Arteta kuwa more offensive.

kwa ufupi arsenal jana wamepiga mpira ingawa walikuwa away.... timu inatia matumaini... kuna watu walimsema saana arteta .... naona anawaonesha kwamba sivyo kama walivyomfikiria... theo... hawezi kucheza winger ...
 
Kwanini ghafla Peasant kaacha kuwaponda Arsenal.

Anaumwa labda au kaingia chama?
 
Wakuu msijali Song karejea pale kati tunamsubiri Jack then Vermaelen patachimbika tu.
 
mnatakiwa mumshukuru RVP na kipa wenu kwa sare na bila kumsahau benouyun..

Kwani anachezea Mancs au tulimuazima? Wacha kelele kaka umeanza ushabiki lini? Au unataka kumshukuru Etihad? khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
Aise ongereni watani...nasikia mmetoka droo?, ni kweli?


Chijui utachema nini leo lakini ni sawa tu huna aibu wewe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Watoto wazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Hasa ka dada susana wanakatungua kinoma hadi huruma

Mtoto mdogo kakunja sura kama kuli. Akifikisha miaka 28 tu kwisha habari yake

Mashoga wako United huku umeingia choo cha wakubwa khe khe khe khe

Hahaha! mfarisayo acha vurugu bana...khekheeeeee! et kama Kuli.

Anatafuta wakumshughulikia ... .. khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom