Bendtner naye vipi huko??Adebayor kashapiga goli huko
Belo......Hii ingefaa uiweke kwenye jukwaa la Tottenham ama la Man City maana hatuhusu sisi huyo.......Tushamsahau kitambo sana...Adebayor kashapiga goli huko
Walcott hata beki mmoja kumpita unashindwa. Jamaa hana skills kabisa.
Mpira umeisha pointi tatu kibindoni...
Ndio mmeanza ligi hivi,kazi mnayo