Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna fan wa aseno wanatutia aibu sana😂😂😂😂😂

Nyie pambanenni kivyenu
Lakini eti Kuna mtu anategemea nyumbu imvushe dhidi ya ushindani wa Liverpool

Akiyanani maajabu hayaishi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna fan wa aseno wanatutia aibu sana

Nyie pambanenni kivyenu
Lakini eti Kuna mtu anategemea nyumbu imvushe dhidi ya ushindani wa Liverpool

Akiyanani maajabu hayaishi
Nyumbu anakuja kukuvuta mkia

Mark my words

Nitakukumbusha tu , Liverpool bado hamna elite team
 
“Nilipofika Arsenal nilikuwa na umri wa miaka 17, nikasaini mkataba wangu wa kwanza na mshahara wa Euro 15,000 (Sh40 milioni) kwa wiki. Hivyo nikataka kufanya vitu kama wanavyofanya mastaa wakubwa wa Arsenal. Nikasaini dili la kuchukua gari kama la Thierry Henry aina ya Lincoln Navigator. Baada ya miezi miwili nikalirudisha, linakunywa mafuta kama wazimu. Nikawaambia chukueni gari lenu nipeni Toyota,”


kauli ya kiungo wa zamani wa Arsenal, Alex Song.
 
Katika wachezaji ambao tusiombe waumie mmoja wapo ni Rice.. Hii mashine ikiumia tutateseka sana!

IMG_0976.jpg
 
Kuelekea mechi na Astonvilla

Astonvilla hataweza kubishana na Arsenal kwenye umiliki wa mpira

Wanajaza viungo wengi kuwin 50/50 na kufanya transition

Wanacheza 4-4-2 isiyo na mawinga asilia ,wanamtumia MaGinn na Zaniolo au Tielemans Kama mawinga ,Kati Yupo kamara na Luiz ,so Wana viungo wanne ,

Tunaendaje na tutarajie Nini ?

Tunahitaji viungo wakufika Sana na kupora mipira iwe ya chini au hewani,


Kai- Rice -odegaard na Jesus tunawahitaji kuanza sababu wanaweza purukushani,


MARTINELL na Saka wataleta shida hivo lazima MacGinn na Tielemans watakuwa wanarudi nyuma kusaidia kuwakaba

Hapo Sasa ndipo tutahitaji huduma ya Ødegaard ambaye anatokea chini kusambaza mipira mingi kwenye half space


Kai ,Jesus na Rice kazi Yao kuwin 50/50 na kusonga mbele
Well said mkuu

Comment hii ina-justify Villa kufa tatu kavu
 
Unajua lini mlichukua EPL lakini?
Unajua lini ulimfunga liver?

Yaani aseno bana ni wazee wa matumaini hewa
Kwni nyinyi mmetufunga lini mara ya mwsho....mwaka jana si mlituchangia point 4 kwny lile kapu letu🤠🤠🤠...mwaka huu mtatupa sita kabisa
 
Back
Top Bottom