Kuelekea mechi na Astonvilla
Astonvilla hataweza kubishana na Arsenal kwenye umiliki wa mpira
Wanajaza viungo wengi kuwin 50/50 na kufanya transition
Wanacheza 4-4-2 isiyo na mawinga asilia ,wanamtumia MaGinn na Zaniolo au Tielemans Kama mawinga ,Kati Yupo kamara na Luiz ,so Wana viungo wanne ,
Tunaendaje na tutarajie Nini ?
Tunahitaji viungo wakufika Sana na kupora mipira iwe ya chini au hewani,
Kai- Rice -odegaard na Jesus tunawahitaji kuanza sababu wanaweza purukushani,
MARTINELL na Saka wataleta shida hivo lazima MacGinn na Tielemans watakuwa wanarudi nyuma kusaidia kuwakaba
Hapo Sasa ndipo tutahitaji huduma ya Ødegaard ambaye anatokea chini kusambaza mipira mingi kwenye half space
Kai ,Jesus na Rice kazi Yao kuwin 50/50 na kusonga mbele