Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

N
Lakini pia Luton walikua wanacheza aggressive sana, attack and defend as unit

Jpil city anaenda pale pale tulipotoa chukua 3 points tatu kibabe
Ngoja nitizame na game ya city, hawa luton ndio game yao ya kwanza nimeitizama msimu huu
 
Jamaa wapo vzr kwenye attacking tu ndio inawaweka mjini

Injuries moja kwenye kiungo,Ligi kwao imeishia hapo maana viungo wao Ni Szobo na macAllister ambao bado wanaruhusu Sana backline Yao kufikiwa

Backline Yao Wana konate ,matip na vvd hao ndio wakuaminika

Sasa matip nimeona nje miezi 9 kapata ACL, konate injury prone

Salah anaenda afcon anazikosa mechi muhimu zikiwepo 2 za Arsenal .
Subiri mje
Utaelewa vizuri
 
Rice huwezi kukuta anakupa Rate chini ya 7+ kila mechi anakupa 7+

For me ni best DM in the world

Mpaka Sasa DM lakin Hana hata kadi
Halafu product yetu hii ya Cobham , uongozi wa Chelsea walivyo wapumbavu wakamtoa kwa mkopo na kumuuza
 
Mnaanzaga hivihivi
Ila mwisho pumzi inakata

Mwaka jana tuliwaombea mema mkashindwa
Mwaka huu kombe tunalibeba wenyewe
 
Caicedo na Rice Ni mbingu na ardhi

Huwa nacheka Sana Caicedo kufananishwa na Rice ,

Di zerbi alimfanya awe Bora ,Pale Brighton Kuna reject nyingi Lakini zinaonekana Bora sababu ya Di zerbi

Arsenal kidogo tuingie kichwa kichwa , Caicedo sio DM
Caicedo hawezi kukaba bila kufanya foul. Jana kulikua na space kubwa uwanjani lakini alikua anashindwa kushambulia space.

Sio yule Caicedo tuliemuona Brighton.
 
Back
Top Bottom