Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbona hamjadili kufunga goli baada ya dakika za nyongeza kuisha?
Ikitokea kwa Nyumbu au City mnapiga kelele kweli kweli.
Ile jana kiasi chake ilikuwa mbeleko toka FA/refarii
 
Kwa Luton mnapigana hivyo,ndio mnaongelea kubeba EPL msimu huu kweli?
 
Kuna ngonjera nilikuwa naisikia wanasema anayeongoza anatuzidi point 6
20231206_145014.jpg
 
Natabiri kutatokea ufananisho wa goli lililokataliwa leo kwa City na lililokubaliwa kwa Arsenal
 
Nyumbu na kenge ni clowns wawili wanapigana hawana maana.

Mechi nzuri ni ya Villa na City nahisi City ana uchungu anavyodrop points so anajihami. Hii inawapa Villa control nzuri ya mechi, shida umaliziaji
 
Hii milioni 100 ya Caicedo ina mashaka. Ni bora hatujajaa kwenye mikono ya matapeli!
 
Beating kenge is not for everyone.
Chelsea hii mbovu ndio mlipata shida kuokota point 3 za bure kabisa halafu mnatarajia ubingwa!
 
Back
Top Bottom