Tutakachowafanya wale mabwana wadogo Jumamosi watqenda kusimulia...tunapenda watu wanaofunguka na kukimbia ndo tucheze nao maana spaces zinakuwepo za kutosha....Najua hiyo game Emery na Martinez watajitutumua +form, motivational ya kumfunga City na home ground advantage vs terta ball bila kujali matokeo mechi itakua nzuri, naamn tutaenjoy pira la kukimbizana. Kucheza na watu wakupaki basi mechi inapoa sana. Hii mechi tukipata ata sare sio mbaya tukishinda tutakua tumetisha sana
Hii game Ina pressure kubwa Ila standards za arsenal na Liverpool ni vitu viwili tofautiMechi yetu ngumu msimu huu itakuwa anfield tarehe 23 dhidi ya Liverpool, ingekuwa mechi rahisi endapo tungekuwa na vitasa kama Timber na Tomiyasu. Yaani unaenda na Timber, Gabriel, Saliba na Tomiyasu back four, hapo hakuna striker wao angeonekana.
Mechinhaijaanza wahuni mmerusha taulo.Hakuna sare Jumamosi. Utachagua moja.Najua hiyo game Emery na Martinez watajitutumua +form, motivational ya kumfunga City na home ground advantage vs terta ball bila kujali matokeo mechi itakua nzuri, naamn tutaenjoy pira la kukimbizana. Kucheza na watu wakupaki basi mechi inapoa sana. Hii mechi tukipata ata sare sio mbaya tukishinda tutakua tumetisha sana
Watoto wadogo sana waleMechinhaijaanza wahuni mmerusha taulo.Hakuna sare Jumamosi. Utachagua moja.
1. Villa ashinde.
2. Kondoo zifungwe
🤣🤣🤣...nawashangaa sana watu wanaokujaga kutujazia nzi hmu....yle jamaa yetu wa Nyukesto alisema walianza na mechi ngumu ligi kuu vp tumpe mda bdo au tumuite yy ndo folse hoper kwa kusubiri meli uwanja wa ndege🤠🤠🤠Commentator kasema "Trippier has been Everton's best player in the second half".
Tuiombee Everton ushindi hapa maana kupokonywa points 10 siyo mchezo. Ukizingatia City hawajaadhibiwa vyovyote na hearing yao iko 2024 huko.
Huyo jamaa wetu tuanze kumuandalia ndama aliyenona tu maana ni mwana mpotevu na atarudi tu kundini hivi punde.🤣🤣🤣...nawashangaa sana watu wanaokujaga kutujazia nzi hmu....yle jamaa yetu wa Nyukesto alisema walianza na mechi ngumu ligi kuu vp tumpe mda bdo au tumuite yy ndo folse hoper kwa kusubiri meli uwanja wa ndege🤠🤠🤠
Kila mtu abaki kwny matatizo yake...kadi za uanachama zimeshaisha....abaki hukohuko kwa kina sijui Gordon sijui godauniHuyo jamaa yetu tuanze kumuandalia ndama aliyenona tu maana ni mwana mpotevu na atarudi tu kundini hivi punde.
Akikosa kuingia top 4 atarejea tu hata kwa kuhonga. Tukibeba ko.be ndiyo kabisa atakana kwamba aliwahi kuhamaKila mtu abaki kwny matatizo yake...kadi za uanachama zimeshaisha....abaki hukohuko kwa kina sijui Gordon sijui godauni
Mnaona kama kazi mliyotutuma tuliishindwa kwa hiyo mmeamua kuifanya wenyewe?Mnaanzaga hivihivi
Ila mwisho pumzi inakata
Mwaka jana tuliwaombea mema mkashindwa
Mwaka huu kombe tunalibeba wenyewe