Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2023-12-07-14-46-28-109_com.twitter.android-edit.jpg
 
Najua hiyo game Emery na Martinez watajitutumua +form, motivational ya kumfunga City na home ground advantage vs terta ball bila kujali matokeo mechi itakua nzuri, naamn tutaenjoy pira la kukimbizana. Kucheza na watu wakupaki basi mechi inapoa sana. Hii mechi tukipata ata sare sio mbaya tukishinda tutakua tumetisha sana
 
Najua hiyo game Emery na Martinez watajitutumua +form, motivational ya kumfunga City na home ground advantage vs terta ball bila kujali matokeo mechi itakua nzuri, naamn tutaenjoy pira la kukimbizana. Kucheza na watu wakupaki basi mechi inapoa sana. Hii mechi tukipata ata sare sio mbaya tukishinda tutakua tumetisha sana
Tutakachowafanya wale mabwana wadogo Jumamosi watqenda kusimulia...tunapenda watu wanaofunguka na kukimbia ndo tucheze nao maana spaces zinakuwepo za kutosha....
 
Mechi yetu ngumu msimu huu itakuwa anfield tarehe 23 dhidi ya Liverpool, ingekuwa mechi rahisi endapo tungekuwa na vitasa kama Timber na Tomiyasu. Yaani unaenda na Timber, Gabriel, Saliba na Tomiyasu back four, hapo hakuna striker wao angeonekana.
 
Mechi yetu ngumu msimu huu itakuwa anfield tarehe 23 dhidi ya Liverpool, ingekuwa mechi rahisi endapo tungekuwa na vitasa kama Timber na Tomiyasu. Yaani unaenda na Timber, Gabriel, Saliba na Tomiyasu back four, hapo hakuna striker wao angeonekana.
Hii game Ina pressure kubwa Ila standards za arsenal na Liverpool ni vitu viwili tofauti
Arsenal tuna kasumba ya kuumizwa na waamuzi, tofauti na hapo ni FIMBO tu
 
Kilichomkuta city ndio kitaenda kumkuta liverpunda

Soma kwa sauti 👆
 
Najua hiyo game Emery na Martinez watajitutumua +form, motivational ya kumfunga City na home ground advantage vs terta ball bila kujali matokeo mechi itakua nzuri, naamn tutaenjoy pira la kukimbizana. Kucheza na watu wakupaki basi mechi inapoa sana. Hii mechi tukipata ata sare sio mbaya tukishinda tutakua tumetisha sana
Mechinhaijaanza wahuni mmerusha taulo.Hakuna sare Jumamosi. Utachagua moja.
1. Villa ashinde.
2. Kondoo zifungwe
 
Mara ya mwisho Villa anakula FIMBO 4 akiwa nyumbani kwake kocha ni Unai, kikosi chetu ndio kilikua hivyo

Villa kiburi Cha kipumbavu ndio kitawaangamiza, wakubali tu kukaa nyuma tuwe tunawafanyia msako taratibu taratibu
Screenshot_20231207-202846.jpg
 
Commentator kasema "Trippier has been Everton's best player in the second half".
Tuiombee Everton ushindi hapa maana kupokonywa points 10 siyo mchezo. Ukizingatia City hawajaadhibiwa vyovyote na hearing yao iko 2024 huko.
 
Commentator kasema "Trippier has been Everton's best player in the second half".
Tuiombee Everton ushindi hapa maana kupokonywa points 10 siyo mchezo. Ukizingatia City hawajaadhibiwa vyovyote na hearing yao iko 2024 huko.
🤣🤣🤣...nawashangaa sana watu wanaokujaga kutujazia nzi hmu....yle jamaa yetu wa Nyukesto alisema walianza na mechi ngumu ligi kuu vp tumpe mda bdo au tumuite yy ndo folse hoper kwa kusubiri meli uwanja wa ndege🤠🤠🤠
 
Mbabe wa Arsenal kwa goli la mchongo naona dakika ya 97 ameshakandwa bao 3 bila dhidi ya Everton.

Alafu kuna watu humu huwa wanakuja na kuwapamba eti hao Newcastle eti watachukua Ubingwa.

Ubingwa huo wa nyokoo
 
🤣🤣🤣...nawashangaa sana watu wanaokujaga kutujazia nzi hmu....yle jamaa yetu wa Nyukesto alisema walianza na mechi ngumu ligi kuu vp tumpe mda bdo au tumuite yy ndo folse hoper kwa kusubiri meli uwanja wa ndege🤠🤠🤠
Huyo jamaa wetu tuanze kumuandalia ndama aliyenona tu maana ni mwana mpotevu na atarudi tu kundini hivi punde.
 
Huku spurs nao naona wametoka kuongoza 1-0 sasa wako nyuma 2-1 dhidi ya west ham. Bado robo saa. Tuone itakuwaje hapa.
 
Back
Top Bottom