Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The image of Kai Havertz full of personality and enthusiasm that Arsenal fans want to see is here.

4 matches. All 3 goals were scored by Kai at key moments for Arsenal

Brentford FC - scores 3 points.
Lens - scored the opening goal of the match.
Wolverhampton Wanderers FC.
Luton Town Football Club - scored to equalize 3-3 for Arsenal.

Average 67.6 minutes/goal. Since the national team gathering, Kai has returned to Arsenal with a completely different mindset. A Kai with huge confidence, a completely relaxed mentality and precision in every shot.

No longer simply moving without the ball or silently contributing to the game, Kai now directly plays the role of bringing results to Arsenal
 
The image of Kai Havertz full of personality and enthusiasm that Arsenal fans want to see is here.

4 matches. All 3 goals were scored by Kai at key moments for Arsenal

Brentford FC - scores 3 points.
Lens - scored the opening goal of the match.
Wolverhampton Wanderers FC.
Luton Town Football Club - scored to equalize 3-3 for Arsenal.

Average 67.6 minutes/goal. Since the national team gathering, Kai has returned to Arsenal with a completely different mindset. A Kai with huge confidence, a completely relaxed mentality and precision in every shot.

No longer simply moving without the ball or silently contributing to the game, Kai now directly plays the role of bringing results to Arsenal
Kai Jana hadi anadribble, Kuna wengine wanamuona kama mchezaji ambaye hajui chochote kuhusu mpira
 
Lile goli la Kai ndiyo zile runs ambazo anazifanya mara kwa mara. Nafikiri angecheza na Pires angekua on fire kwakua Pires alikua mzuri wa one two.

A fit Partey anaweza onyesha strength ya runs za Kai kutokana na uwezo wa Partey kwenye long balls na thru balls za kuchana defense.
 
Jana Raya alizingua sana, Kai mdogomdogo anakujakuja.

Kuna mtu zile dakika za nyongeza alitaka aondoke, nikamwambia hii arsenal ya sasa subiri hadi filimbi ipigwe ndo useme mpira umeisha
Kai ameanza kunifurahisha. Inaanza kuonekana kama Arteta hakukosea kuendelea kumpa nafasi aimarike hata pale wengine tulipotaka ampumzishe.
 
Kai Haverts ameanza kupata confidence with & without the ball, anajua kujiposition and pia anatengeneza link nzuri na wenzake, mipira ya juu yote yake.

Na pia ameanza kutumia nafasi vizuri hivyo tutegemee mazuri zaidi kwake
 
Bielsa anakuambia katika mchezaji mgumu kumpata ni namba 8 yeye anaiita hiyo namba 'The Modric' anakaba kama 6 anashambulia kama 10.

Angalia Odegaard akipata mpira miguu yake inavyochangamka . . . Anavyofosi kwenda mbele . . .

Juzi tu hapo Liva kaongozwa na Fulham akashinda 4 kwa 3 dakika zikiwa zimeenda wakawasifia Liva.

Arsenal kashinda kwa magoli hayo hayo dhidi ya timu ambayo liva aliacha points mbili eti wanasema tunabahatisha.

Lieni tu
 
Naona haters wanatudiss kushangilia vile, kwamba tunashangilia sana kuwafunga Luton,
nafkir hawajawai kupata msosi usiku wa manane na ilishakua ulale njaa, ata kama msosi ni ugali dagaa lazima mtu ufurahi, usifanye mzaa kuhesabu mabati
point tatu zilikua muhimu zile, alafu ilikua kidogo tu zituponyoke mara ghafla hz hapa achen tufurahi

Sent from my BKK-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Wale watoto jana waliweza kweli kutuzuia wakitumia advantage ya ufinyu wa kiwanja.

Kuanza kwa Kiwior kulisaidia kwenye kuzuia, at the same time yuko more physical lakini ilikua vigumu sana kwenda mbele ndo sababu muda mwingi Ødegaard alikua akishuka chini kuchukua mali kwa GK, jambo ambalo hatujazoea kuliona mara kwa mara.

Alipoingia Zinny, pale kati kukaanza kulainika. Akawa ana invert na hivyo kumpa breather Ødegaard ili aweze kusogea juu. At the end Øde akatoa assist!
 
Ule uwanja kuna mkubwa atadondosha point(s) pale. Liverpool katoa sare, sisi ndio tumepata ushindi kwa tabu. Hao Chelsea na Man Utd wamemfunga Luton wakiwa kwao.

Luton baada ya kupanda daraja wakaambiwa na bodi ya ligi waboreshe kiwanja chao kiwe kwenye hadhi ya PL. Pale ndio wamefanya maboresho.

Kama alivyosema Ambangile udogo wa kiwanja chao ndio unawapa advantage ya kucover spaces kirahisi, na kikosi chao kina watu walio physical, futi 6+, wako vizuri kwenye mipira ya juu.. no way tungeondoka na ushindi jana ila bahati ilikua kwetu.
 
Chuki zimekua juu hadi zimeshusha standards.

Zamani ilikua tunatishiwa Spurs, Brighton na wengine wa top 4.

Siku hizi unaona pimbi anakuambia msijisahau Villa mmemuacha points chache tu. Next game villa anaburuzwa hadi anaomba draw dk za lala salama.

Mara anatokea pimbi mwingine anakuambia jiandaeni na villa next week. Utadhani itakua mara ya kwanza kuwafunga hao.

Nacheka sana nikiona vilio
Siku hizi wapinzani hawataki hata tutoe sare, tukitoa sare utawaona nyumbu na kenge zitakavyojazana humu..

Tunatakiwa tuendelee na ushindi ili kupunguza nzi.
 
Back
Top Bottom