Bukayo Saka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 303
- 469
n kingine nimeona bukayo na jesus wanaka na mpira na kupga vyenga mwishowe wanapoteza alafu ilikua ni outside opponents boxKai Leo ameupiga mwigi mno mno mno. Ukipata muda angalia highlight kwa utulivu Kai vs luton, Kenge watagundua tumewapiga baadae sana
Washambulia na viungo wote wamehusukika kwenye goals
Kitu kibaya ni kwamba bado hatupo formView attachment 2834251
Sioni hili likitokea kwa hivi KaribuniRaya’s bad goal keeping could give chance to Ramsdale against Villa
Kwa kiasi kikubwa hasa kipindi cha kwanza Gaby Jesus alikuwa anasaidia sana kwa Arsenal kusogea juu kwa
Luton wanastahili pongezi kwa mpango wao : walitumia faida ya udogo wa pitch kwa kubana zaidi space na kutumia counter attacks plus mipira iliyokufa kupata chochote kitu .
Kipindi cha pili ni kama vile ilikuwa nani atafunga magoli mengi zaidi ya mwenzake , mmoja anatumia ufundi wa kuweka mali chini ( Arsenal ) mwingine anatumia ufundi wa mipira mirefu na iliyokufa ( Luton ) : mwisho Arsenal wakawapa Luton ladha ya dawa yao wenyewe . Heartbreaking
nafikiri Ramsdale atakuwa na matumaini nafasi yake bado ipo 
Wamekiwasha sana, wanaanzia kukabia kwetu alafu hawachoki, hao wanaosema hivyo hawajaangalia gemu, wamecheki livescore.game ilikua balaa nashangaa wanaokuja uku wanasema tunashangalia ushindi kwa luton... lutona anapiga blocks kila attempt tuliokuwa tunafanya ila mtu anasma ni timu ndogo
Ben white apewe pongezi zake, kwenye maamuzi yupo haraka sana.PESA HIYOOOOO .!
Unalipa Pauni Milioni 105 kwa mchezaji kama huyu , sio wengine mnalipa 100 hovyo hovyo tu .!
Size ya pitch ya uwanja wa Luton ni changamoto aisee hasa kwa passing game
Kwa kiasi kikubwa hasa kipindi cha kwanza Gaby Jesus alikuwa anasaidia sana kwa Arsenal kusogea juu kwa
1: Kushuka chini , kupokea mpira na kusogea nao juu ( carries )
2: Kushambulia space baina ya outside CBs wa Luton na wingbacks wao
Luton wanastahili pongezi kwa mpango wao : walitumia faida ya udogo wa pitch kwa kubana zaidi space na kutumia counter attacks plus mipira iliyokufa kupata chochote kitu .
Kipindi cha pili ni kama vile ilikuwa nani atafunga magoli mengi zaidi ya mwenzake , mmoja anatumia ufundi wa kuweka mali chini ( Arsenal ) mwingine anatumia ufundi wa mipira mirefu na iliyokufa ( Luton ) : mwisho Arsenal wakawapa Luton ladha ya dawa yao wenyewe . Heartbreaking
NOTE
1: Yule Fullback wa kushoto wa Luton : Doughty ana mwaga maji huyo
2: Ross Barkley kama alikamia vile , kaubonda
3: Kai Havertz anakuja bhana , kajipata tayari
4: Bukayo Saka ni hatari , anafanya vitu kwa level ya juu sana
5: Gaby Jesus kuna muda anakuwa Yes kuna muda No
6: David Rayanafikiri Ramsdale atakuwa na matumaini nafasi yake bado ipo
7: DECLAN RICE , DECLAN UBWABWA ... PESA .! What a player . Tangu atue Arsenal sikumbuki mechi gani alicheza vibaya . Arsenal waongeze zingine £20M kwa West Ham
8; Kafungwa Luton lakini wanachukia wengine .
FT: Luton 3-4 Arsenal
AMBANGILE
Naona rate ya 8 zime tawala, Raya ndo kazingua😂😂🤣Kai Leo ameupiga mwigi mno mno mno. Ukipata muda angalia highlight kwa utulivu Kai vs luton, Kenge watagundua tumewapiga baadae sana
Washambulia na viungo wote wamehusukika kwenye goals
Kitu kibaya ni kwamba bado hatupo formView attachment 2834251
Dah kumbe nawe nusu albino Ume liona Hilo😄😂🤣Ben white apewe pongezi zake, kwenye maamuzi yupo haraka sana.
Ndio kapiga kazi haswa, odegaard kuna muda muoga muogaDah kumbe nawe nusu albino Ume liona Hilo😄😂🤣
Vipi una onaje kwa rangi yako, tuku peleke ulaya ukawe kivutio🤣😂😄Ndio kapiga kazi haswa, odegaard kuna muda muoga muoga
Kivutio kwani me ndege?Vipi una onaje kwa rangi yako, tuku peleke ulaya ukawe kivutio🤣😂😄
We huji shangai mi rangi minhi Kama kasuku😂🤣🤒Kivutio kwani me ndege?
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal lose another key piece as Takehiro Tomiyasu is now injured…Next stop A Villa at Villa Park, hapa ndio wataita maji mma kubabeeekiAsenyeto mnajambishwa na Luton Halafu mnajitapa kuwa mtabeba kombe , labda mbebe ndoo za ulanzi na gongo





Tuongee bolu tafadhaliWe huji shangai mi rangi minhi Kama kasuku😂🤣🤒