


Wewe ndo umefumuliwa.Shame on You.Mtaita maji mma leo ,mnadhani ligi ya wakulima hii
Mnaanza kujipangia kwamba tunabeba epl
Epl ya nioko ,ngonja leo kibonde Luton awafumue ,hicho kidomo domo kiisshe na mjue hii ni Epl na si ligi ya wakulima
Uko sahihi Nili wahi ondoka game ambayo Chelsea ana ongoza 2:0.Hawa vijana wa arteta usiondoke kwenye tv kabla ya last sec kumalizika
Wanafanya miracles
Wewe Kenge FC upo?Point 3 mtoe wapi ?
Mmeambiwa Luton ni Fc madongokuinuka au ?
Hii no Operation Heshima kurudi mahala pakeMtaita maji mma leo ,mnadhani ligi ya wakulima hii
Mnaanza kujipangia kwamba tunabeba epl
Epl ya nioko ,ngonja leo kibonde Luton awafumue ,hicho kidomo domo kiisshe na mjue hii ni Epl na si ligi ya wakulima
Yeah gunners, point tatu kibindoniHii game Cha msingi point 3 tu
