hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Halafu kiwanja Chao kidogo, kumbe pale cheza long balls tuLiva kasuluhu na Luton.
Game inayofuata Luton alicheza na nyumbu.
Nyumbu akashinda 1
Luton kampiga Palace.
Ila kapigwa na Brentford.
Next match ya Luton ni dhidi ya City.
Luton akicheza na timu zinazokupa mpira na kufocus kufunga anapata tabu. Palace hakuliona hili akadondosha points zote, liva akasubiri hadi dakika ya 95 ili kupata point moja.
Timu imefanya poa. Imestep up ilipotakiwa kufanya hivyo.



VS "Steve G successor"






Brentford FC - scores 3 points.
Wolverhampton Wanderers FC.