Wale wanaopenda kufunguka na kushambulia...tupo hapa🤠🤠🤠....hawana beki wa kuzuia tusifunge....wataamua wao kupaki basi au tupishane....wakitaka tupishane Sasa....hapo ndo patakuwa pazuri....timu za kutusumbua sisi nilishasema ni 3 tu.... Brighton...City na Liverkuku...Hawa wengine ni watoto wadogo...sisi sio Manunu🤠🤠🤠...mpk wachezaji wanamfundisha mwalimu namna ya kukaa na wachezaji kwa amani....Leo hatulali mpk tujue hatma yenu nyny pipa na mfuniko mkichezaNext stop A Villa at Villa Park, hapa ndio wataita maji mma kubabeeeki![]()
Halafu kiwanja Chao kidogo, kumbe pale cheza long balls tuLiva kasuluhu na Luton.
Game inayofuata Luton alicheza na nyumbu.
Nyumbu akashinda 1
Luton kampiga Palace.
Ila kapigwa na Brentford.
Next match ya Luton ni dhidi ya City.
Luton akicheza na timu zinazokupa mpira na kufocus kufunga anapata tabu. Palace hakuliona hili akadondosha points zote, liva akasubiri hadi dakika ya 95 ili kupata point moja.
Timu imefanya poa. Imestep up ilipotakiwa kufanya hivyo.
Raya ajali kaziniNaona rate ya 8 zime tawala, Raya ndo kazingua![]()
Acha wateseke mkuu.ni kama mtu anayesubri mali za urithi haachi kuombea misibaChuki zimekua juu hadi zimeshusha standards.
Zamani ilikua tunatishiwa Spurs, Brighton na wengine wa top 4.
Siku hizi unaona pimbi anakuambia msijisahau Villa mmemuacha points chache tu. Next game villa anaburuzwa hadi anaomba draw dk za lala salama.
Mara anatokea pimbi mwingine anakuambia jiandaeni na villa next week. Utadhani itakua mara ya kwanza kuwafunga hao.
Nacheka sana nikiona vilio
Jana ameubonda kisawa sawaKai Havertz vs Luton Town
• 90 mins played
• 52 touches
• 23 passes completed
• 6 passes into final third
• 10 duels won
• 6 recoveries
• 5 shots
• 4 chances created
• 1 goal
Arteta is working magic on our German machineView attachment 2834308
alidrawa na Liverpool wa pili kwenye league ...



Ndio raha ya Epl ,hata kibonde akikuamulia kazi ,anakutoa Manundu usipokaa fresh 


Hahaaaakwema kaka




, mjipange kwa Aston Villa , lasivyo mtajuta Bielsa anakuambia katika mchezaji mgumu kumpata ni namba 8 yeye anaiita hiyo namba 'The Modric' anakaba kama 6 anashambulia kama 10.
Angalia Odegaard akipata mpira miguu yake inavyochangamka . . . Anavyofosi kwenda mbele . . .
Juzi tu hapo Liva kaongozwa na Fulham akashinda 4 kwa 3 dakika zikiwa zimeenda wakawasifia Liva.
Arsenal kashinda kwa magoli hayo hayo dhidi ya timu ambayo liva aliacha points mbili eti wanasema tunabahatisha.
Lieni tu




Kaka wazoee tu ,standard wametuwekea iwe WIN tu hawataki hata tutoe sareBielsa anakuambia katika mchezaji mgumu kumpata ni namba 8 yeye anaiita hiyo namba 'The Modric' anakaba kama 6 anashambulia kama 10.
Angalia Odegaard akipata mpira miguu yake inavyochangamka . . . Anavyofosi kwenda mbele . . .
Juzi tu hapo Liva kaongozwa na Fulham akashinda 4 kwa 3 dakika zikiwa zimeenda wakawasifia Liva.
Arsenal kashinda kwa magoli hayo hayo dhidi ya timu ambayo liva aliacha points mbili eti wanasema tunabahatisha.
Lieni tu