Haya kakojoe ulale Sasa🤠🤠🤠...kesho uwahi namba shulePoint 3 mtoe wapi ?
Mmeambiwa Luton ni Fc madongokuinuka au ?
Mmebahatisha na ushindi wenu wa kuungaunga papatu papatu dhidi ya vibonde kama LutonWewe Kenge FC upo?
uyu rice kuna muda nafsi inaniambia ile 100 tuliwapiga westham he worth more than 100Asante Rice umeleta Amani kwenye Jukwaa letu
Unaemuona mkali wako tuambie, tutamshughulikia tuMmebahatisha na ushindi wenu wa kuungaunga papatu papatu dhidi ya vibonde kama Luton
Ninyi ubingwa sahau
Yaani huoni aibu kushinda kwa papatu papatu dhidi ya Luton ?Haya kakojoe ulale Sasa...kesho uwahi namba shule
Kuna jamaa kamind sana hapa anapunguza maumivu na kisungura ni shabiki wa man utd.Kuna watu wameumia kuliko Luton wenyewe.
Raya ameanza kuzinguaRaya’s bad goal keeping could give chance to Ramsdale against Villa
umeangalia mechi ???? kuanzia dakika ya 80 luton anawashiwa moto kazi alikua ana block... zimeongezwa dakika sita comentator akasema ivy "six minutes may be a litt for gunners but for Luton, it feels like a year ". akasema it's been 38 years since arsenal visit that stadium na ni 40 years toka tuwin home kwa Luton.......Mmebahatisha na ushindi wenu wa kuungaunga papatu papatu dhidi ya vibonde kama Luton
Ninyi ubingwa sahau
alidrawa na Liverpool wa pili kwenye league ...Yaani huoni aibu kushinda kwa papatu papatu dhidi ya Luton ?
Siku mbaya kazini tuRaya’s bad goal keeping could give chance to Ramsdale against Villa
Sikupingi mkuu, rice uwezo wake ni mkubwauyu rice kuna muda nafsi inaniambia ile 100 tuliwapiga westham he worth more than 100
sure leo hakua kwenye ubora even goli la barkley me nimeona ilikua easy move sana... second corner the same thingRaya’s bad goal keeping could give chance to Ramsdale against Villa
game ilikua balaa nashangaa wanaokuja uku wanasema tunashangalia ushindi kwa luton... lutona anapiga blocks kila attempt tuliokuwa tunafanya ila mtu anasma ni timu ndogoKuna jamaa kamind sana hapa anapunguza maumivu na kisungura ni shabiki wa man utd.
Game ilikuwa ya kibabe sana, luton wamecheza vizuri sana.
Point 3 mtoe wapi ?
Mmeambiwa Luton ni Fc madongokuinuka au ?

kwema kakaKesho tutaona nyny mtakavyoshinda kirahisi mkuu 🤠🤠🤠...hatutaki mpira ukiisha muanze kumtukana PochetinoYaani huoni aibu kushinda kwa papatu papatu dhidi ya Luton ?