Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

..kwa hiyo wanawapa updates kila baada ya muda siyo au ni speculations za watu? kwa hiyo hizo 2 ni confirmed? Arteta na Benayoun?@ Richard

Mkuu hakuna wasiwasi Benayoun amesajiliwa kwa loan kwa mwaka mmoja na kwa lengo la kuwa permanent baada ya hapo.

Mikael Arteta bado wanazungumza.
 
Wakuu,

Mnatambua kuwa Arsenal ina wachezaji ambao ni manahodha kwenye timu zao za taifa?

Ni hawa:
Benayoun=Israel captain.
Park=Korea captain.
Rosicky=Czech captain.
Vermaelen=Belgian captain.
Ramsey=Wales captain.
Arshavin=Russia captain.
 
mikel-arteta-007.jpg



Mikael Arteta amesaini mkataba na Arsenal na inasemwa ni paundi milioni 10.
 
huyu babu huyu!!!! ansante sana MAN UTD kwa kile kichapo... kimesaidiaa baana !!! i was waiting the whole summer kwa usajili kama huu... sio kina chembilerlin & jenkisom.. duh!
 
Yossi Benayoun amejiunga na klabu Arsenal kwa mkopo akitokea chelsea.
 
Arteta sijui kama tutampata..moyes amekuwa mgumu..on other hand asante sana furgerson na manure kwa ujumla..haya yote yasingetokea.
 
transfer window has officially been closed- Is Arteta in?

Mda umeisha tunasubiri confirmation ya Arteta kama alifanikiwa kuweka wino.

Alisaini 1 hour before dead line si unajua Gunners wanafuata protocal hawawaambii wapiga majungu na wanolo, watajua in about 30 minutes . Kwa sababu confirmation ya paper work kuwa lodged inatoka FA kwenda kwa club husika.
 
Alisaini 1 hour before dead line si unajua Gunners wanafuata protocal hawawaambii wapiga majungu na wanolo, watajua in about 30 minutes . Kwa sababu confirmation ya paper work kuwa lodged inatoka FA kwenda kwa club husika.


yeh mkuu imekuwa confirmed pia na skynews hapa

#skysources - Arsenal have signed Mikel Arteta from Everton #ssn #deadlineday

tunaanza ligue officially! na SWANSWEA on10th .... 😛eace: Gooners till i die !!.......



attachment.php

 
Wakuu hakika ni furaha kuona Arsene Wenger amefanya usajili wa wachezaji watano muhimu kama nilivyokuwa nafikiri angefanya.

Arsenal ilikuwa very week team na kama ingecheza tena ile timu na Swansea ingefungwa vibaya tena.

Baada ya ile mechi ilibidi wachezaji wote wale tuwaondoe kwenye mstari wa mbele wa mashambulizi na wote wamenyang'anywa silaha zao na zimewekwa kwenye ghala.

Sasa tuangalie yajayo na tunaanza na Swansea Emirates jumamosi tarehe 10 September.

Goodnight everyone.
 
Let the party start.........AW ni soo!!! lazima tutafute mnyonge tulipe kisasi....10 bila will be fair........
 
Back
Top Bottom