Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Na mtakomaWaingereza hawa ukiwaendekeza wanakuharibia timu.
Kama huyu anajiona kama club ni yake, yeye nani asikae benchi.
Yani asidake kipa mzuri adake yeye kisa alikua sehemu ya project.. Hii sio shida yetu fans, he has to improve his game.
Benchi hakai
Na akidaka lazima apate dakika 2,3 za kupooza njaa kikipanda kichaa
BREAKING:
wao wanazani ni kina Antony hao eeh