Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Waingereza hawa ukiwaendekeza wanakuharibia timu.

Kama huyu anajiona kama club ni yake, yeye nani asikae benchi.

Yani asidake kipa mzuri adake yeye kisa alikua sehemu ya project.. Hii sio shida yetu fans, he has to improve his game.
Na mtakoma
Benchi hakai
Na akidaka lazima apate dakika 2,3 za kupooza njaa kikipanda kichaa
 

Attachments

  • JamiiForums1421145641.jpeg
    JamiiForums1421145641.jpeg
    55.2 KB · Views: 7
Huyu Reece James huo ulimi na alivyoinama huyu hajaleave group kweli?
View attachment 2814007
Nina mashaka na zile blichi anazoweka.. wachezaji wa Chelsea wanafikirisha sana na vibuno vyao!

Na sasa hivi hao wenye vibuno wakiweka kambi hotel wanachanganywa na lile group la marasi wakiongozwa na Disasi, Oguchukwu na Chukwemeka.
 
Toney is Arsenal's No1 striker target but Brentford want at least £60m and the figure could move closer to £100m if there is a bidding war.‌ That may now be put on the back burner until next summer because of the midfield issue.‌

[@johncrossmirror]
 
BREAKING:

Brazil’s first XI in training for the game against Colombia features:

Gabriel Magalhães starting at LCB, and Gabriel Martinelli STARTING at CF.

Reports, @geglobo.
 
Kocha wa Ufaransa anasema Saliba hua hajiulizi ikiwa atacheza weekend akiwa Arsenal hali hua tofauti akiwa France, hivyo kisaikolojia hayupo sawa.
Wadau wametafsiri kwamba Didier anasema hawezi kumpanga Saliba kwakua he is too good kwenye klabu yake.
Wengine wamehoji best defender kwenye EPL amekua kwenye kikosi cha msimu ligue 1 na EPL unashindwaje kumpa namba?
Wengine wamesema bora asicheze ili asiumie
 
Kocha wa Ufaransa anasema Saliba hua hajiulizi ikiwa atacheza weekend akiwa Arsenal hali hua tofauti akiwa France, hivyo kisaikolojia hayupo sawa.
Wadau wametafsiri kwamba Didier anasema hawezi kumpanga Saliba kwakua he is too good kwenye klabu yake.
Wengine wamehoji best defender kwenye EPL amekua kwenye kikosi cha msimu ligue 1 na EPL unashindwaje kumpa namba?
Wengine wamesema bora asicheze ili asiumie
Bora asicheze
 
Saka kakosa mechi 1

Martinelli 2


kinachowakocost makocha wa timu tunazokutana nazo UEFA, hawajifunzi kwa makocha wa EPL basi wajifunze hata kwa Pep hawa kina Saka na Nell wanakabwaje?
Wanakabwa na wachezaji wawili hadi watatu wao wanazani ni kina Antony hao eeh
View attachment 2813127
ila kwel aisee maana hao madogo Epl unakuta wanakabwa na kijiji, ukijichangaya ukawaacha et na beki mmja ndo unajikuta unadababisha kona 7 pekeako au magoli ya kutosha
 
Hamuwezi kumfunga city timu inaruhusu Sana nafasi

Nyie miaka 8 mnafukuzana na pep mmeambulia 1,

Subiri sisi tuanze kumpika ,vijana washakomaa
Klopp alimpigia simu Arteta akamuambia 'kijana naomba upambane nae huyu jini kipara, mimi mwendo nimeumaliza.'
 
Back
Top Bottom