nAomba unitumie na ya Newcastle, then naomba unieleweshe. Ujue tunajifunza kupitia nyie mnaojua.Unaelewa kwanza nini maana yake, au unalopoka sababu umekuja humu kulopoka?
nAomba unitumie na ya Newcastle, then naomba unieleweshe. Ujue tunajifunza kupitia nyie mnaojua.Unaelewa kwanza nini maana yake, au unalopoka sababu umekuja humu kulopoka?

Hiki ni kipindi cha makocha kufukuzwa kazi, kipindi cha mvua, uwanjani mvua zinanyesha na mpira hautembei, kwa ligi ya EPL utakuta camera zinamtafuta kocha muda wote, hakuna kujificha, waandishi wa habari wenyewe wanoko yani kocha akienda post match conference wanauliza maswali flani ya kichokozi, nakumbuka Unai Emery aliulizwa unaona kuna improvement yoyote kwenye mechi 50 ulizokuwa hapa Arsenal. ilikuwa mechi dhidi ya Leicester city hapo tumekufa (2-0) afu anajibu 'we need time' amelowana kinyama![]()
Huyo ngumbaru hawezi kuelewa chochoteUnaelewa kwanza nini maana yake, au unalopoka sababu umekuja humu kulopoka?
Mchele umenunuliwa kwa 105 ndo itakuja kuwa hao kuku wengine...tajiri alompita hela Mr Kroenke pale England ni mmiliki wa Nyukesto na Man City tu...hao wengine ni kuku tu🤠🤠🤠...hata hyu mbabaishaji wenu wa Chelsea yy ni Mido Man tu pale Hana hela...Waache kuwauzia waharabu wanaotoa mijihela waje wawauzie nyie kondoo mmezoea wachezaji wa afu tatu. halafu mnajidanganya kuwa eti wanaogopa kuwauzia wachezaji, Kwa lipi hasa?? kwamba mnaweza kuchukua ubingwa au?? Aisee nyie ni kondoo.
Alitakiwa awe amefukuzwa Hadi Sasa, Ni vile hawajui wamfukuzie wapiEverton ya sean Dyche lazima wafe naye, akishituka Galatasary hawa hapa na walishambonda 1st leg OT, akitoka hapo Newcastle wale pale, paka boxing day mashabiki utaona mabango juu.
Sie tupo chin ya banking ya marekan mbona tushasemaMchele umenunuliwa kwa 105 ndo itakuja kuwa hao kuku wengine...tajiri alompita hela Mr Kroenke pale England ni mmiliki wa Nyukesto na Man City tu...hao wengine ni kuku tu...hata hyu mbabaishaji wenu wa Chelsea yy ni Mido Man tu pale Hana hela...



Wan bissakaMARTINELL ukimuona uwanjani unajua anapenda michuano ya UCL ,
My fovourite player pale Arsenal
Napenda historia yake had anafika Arsenal
Kufeli trial 4 anarudi Brazil, then anapata nafasi yakuja Arsenal
Siku akichafukwa beki lazima uite maji MMA
View attachment 2812934View attachment 2812935
Sema tuna unyama mwingi sana kwenye field tilt
Hili mbona liko waziKwani hata nyie mna madhara gani? hata mkiachwa muongoze ligi nyie ni loosers. Acheni kudanganyana eti city ataogopa kuwauzia mchezaji.
City anamuwaza liva kuliko tot na nyie kondoo, shuuubamit
wao wanazani ni kina Antony hao eehHyu Khvicha wa Napoli ni mtu sana hyu jamaa....wakubwa watapita naye ila hela yake itakuwa ndefu kweliWe’re so incredibly lucky to have these two.
Bear in mind, Gabriel Martinelli has missed two games in the Champions League this season & Bukayo Saka has missed one.
| @ChampionsLeagueView attachment 2813124
Sure, kwenye press utaona anavyotetemeka, kama Emery kipindi tunacheza Mpira hauna philosophy cha msingi ni matokeo tu, Ten hag kwake goli 1 dhidi ya Luton lina maana kubwa kurudisha imani ya mashabiki, sahiv ushindi ni ushindi tu...Mr Goodebening alitutesa sana kwakwli...pira papatupapatu...yaani kinachotokea leo Manunu ndo kilichotokea kwetu kipindi kile
