Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiki ni kipindi cha makocha kufukuzwa kazi, kipindi cha mvua, uwanjani mvua zinanyesha na mpira hautembei, kwa ligi ya EPL utakuta camera zinamtafuta kocha muda wote, hakuna kujificha, waandishi wa habari wenyewe wanoko yani kocha akienda post match conference wanauliza maswali flani ya kichokozi, nakumbuka Unai Emery aliulizwa unaona kuna improvement yoyote kwenye mechi 50 ulizokuwa hapa Arsenal. ilikuwa mechi dhidi ya Leicester city hapo tumekufa (2-0) afu anajibu 'we need time' amelowana kinyama
 
🤣🤣🤣...Mr Goodebening alitutesa sana kwakwli...pira papatupapatu...yaani kinachotokea leo Manunu ndo kilichotokea kwetu kipindi kile
Hiki ni kipindi cha makocha kufukuzwa kazi, kipindi cha mvua, uwanjani mvua zinanyesha na mpira hautembei, kwa ligi ya EPL utakuta camera zinamtafuta kocha muda wote, hakuna kujificha, waandishi wa habari wenyewe wanoko yani kocha akienda post match conference wanauliza maswali flani ya kichokozi, nakumbuka Unai Emery aliulizwa unaona kuna improvement yoyote kwenye mechi 50 ulizokuwa hapa Arsenal. ilikuwa mechi dhidi ya Leicester city hapo tumekufa (2-0) afu anajibu 'we need time' amelowana kinyama
 
Waache kuwauzia waharabu wanaotoa mijihela waje wawauzie nyie kondoo mmezoea wachezaji wa afu tatu. halafu mnajidanganya kuwa eti wanaogopa kuwauzia wachezaji, Kwa lipi hasa?? kwamba mnaweza kuchukua ubingwa au?? Aisee nyie ni kondoo.
Mchele umenunuliwa kwa 105 ndo itakuja kuwa hao kuku wengine...tajiri alompita hela Mr Kroenke pale England ni mmiliki wa Nyukesto na Man City tu...hao wengine ni kuku tu🤠🤠🤠...hata hyu mbabaishaji wenu wa Chelsea yy ni Mido Man tu pale Hana hela...
 
Everton ya sean Dyche lazima wafe naye, akishituka Galatasary hawa hapa na walishambonda 1st leg OT, akitoka hapo Newcastle wale pale, paka boxing day mashabiki utaona mabango juu.
Alitakiwa awe amefukuzwa Hadi Sasa, Ni vile hawajui wamfukuzie wapi

UCL anaburuza mkia

Kwenye Ligi soon ataànza kugombea kucheza europa
 
MARTINELL ukimuona uwanjani unajua anapenda michuano ya UCL ,

My fovourite player pale Arsenal

Napenda historia yake had anafika Arsenal

Kufeli trial 4 anarudi Brazil, then anapata nafasi yakuja Arsenal


Siku akichafukwa beki lazima uite maji MMA


20231113_210729.jpg
20231113_202032.jpg
 
Mchele umenunuliwa kwa 105 ndo itakuja kuwa hao kuku wengine...tajiri alompita hela Mr Kroenke pale England ni mmiliki wa Nyukesto na Man City tu...hao wengine ni kuku tu...hata hyu mbabaishaji wenu wa Chelsea yy ni Mido Man tu pale Hana hela...
Sie tupo chin ya banking ya marekan mbona tushasema
 
EXCLUSIVE from @SamiMokbel81_DM:

Martin Ødegaard missed the game against Sevilla and Burnley due to a concussion after getting hit in the face by a ball in London Colney.
 
Aaron Ramsdale's father says his son has lost his smile at Arsenal after being dropped by Mikel Arteta | @Football_LDN

Questions remain over the decision but Nick Ramsdale tells @HighburySquad that fans need to support David Raya.
 
Brazil team doctor says they hope Gabriel Jesus will be ready for Brazil game against Argentina on 22nd November.

He is currently with the Brazilian national team
 
We’re so incredibly lucky to have these two.

Bear in mind, Gabriel Martinelli has missed two games in the Champions League this season & Bukayo Saka has missed one.

| @ChampionsLeague
20231113_210729.jpg
 
Kwani hata nyie mna madhara gani? hata mkiachwa muongoze ligi nyie ni loosers. Acheni kudanganyana eti city ataogopa kuwauzia mchezaji.

City anamuwaza liva kuliko tot na nyie kondoo, shuuubamit
Hili mbona liko wazi
Sema hawa kenge ndio furaha yao kudanganyana.
 
Saka kakosa mechi 1

Martinelli 2


kinachowakocost makocha wa timu tunazokutana nazo UEFA, hawajifunzi kwa makocha wa EPL basi wajifunze hata kwa Pep hawa kina Saka na Nell wanakabwaje?
Wanakabwa na wachezaji wawili hadi watatu wao wanazani ni kina Antony hao eeh
20231113_210729.jpg
 
...Mr Goodebening alitutesa sana kwakwli...pira papatupapatu...yaani kinachotokea leo Manunu ndo kilichotokea kwetu kipindi kile
Sure, kwenye press utaona anavyotetemeka, kama Emery kipindi tunacheza Mpira hauna philosophy cha msingi ni matokeo tu, Ten hag kwake goli 1 dhidi ya Luton lina maana kubwa kurudisha imani ya mashabiki, sahiv ushindi ni ushindi tu
 
Back
Top Bottom