Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Binafsi natamani tushinde EPL ili ku attract superstars kama Leao au Mbappe wataofanya tushinde UEFA kirahisi. Inaonekana kama ndoto vile, si ndio?
Kama mipango ndio hio basi January inabidi lifungwe busta tena😆😆😆 ila kuwategemea kina joginyo na kai iwe kama ziada tu
 
Leandro Trossard kwenye nafasi gani anajisikia vizuri zaidi akicheza:

“Hilo ni swali gumu. Sijali sana kucheza nafasi zote za juu, naona sawa. Ikiwa ni winga wa kushoto, kama tisa wa uongo, hata kama kiungo mshambuliaji, sina jibu la moja kwa moja kwa hilo.


“Nikiwa mtoto nilicheza kama nambari kumi, kama kiungo mshambuliaji au kama mshambuliaji pia.

“Siku zote huwa najitahidi kuwa kwenye eneo la hatari na katika nafasi nzuri za kufunga mabao na kwa ubora tulionao Arssnal, najua lazima niwepo, hasa nikicheza winga ya kushoto, nahitaji kuwa pale, kwa mfano. , Bukayo Saka yuko na mpira upande wa kulia, kwa hivyo nafuata silika yangu huko, kujiweka katika nafasi sahihi za kufunga mabao."
20231112_144223.jpg
 
Nipo mbona tangu asubuhi

Ramsdale tupo naye hapa home, anatusaidia kubadili bulb...
Msitake aconcetrate dakika zote mchezoni
Hii arsenal NDOO Ushindi wa mpinzani ni draw

Kama una magonjwa ya presha nakutaadhalisha mapema. Kaa mbali na Arsenal hii
Ushauri natoaga kwa pesa, Ila wewe nimekupa bure
 
Hii arsenal NDOO Ushindi wa mpinzani ni draw

Kama una magonjwa ya presha nakutaadhalisha mapema. Kaa mbali na Arsenal hii
Ushauri natoaga kwa pesa, Ila wewe nimekupa bure
Ndoo ama kondoo? 😂
Kama msimu ulopita mlishindwa kubeba ndio, basi nyie mtaambulia kondoo labda 🤣
 
Back
Top Bottom