Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Oh kumbe!Mjini ndio makazi ,nipo A town kikaz, hiyo mechi nitakuwa town ,
Moja ya ajenda zetu ilikuwa kumpiga city tukafanikiwa mara 2, nyingine kushinda away kwa Everton, tumefanikiwa ,
Imebaki, kubeba point uwanjani kwenu
Nipe deal hizo za A town Mkuu,, Mimi napishana nazo sana wakati ni mji ninaoupenda sana.
Sisi ajenda zenu hatuzijui
Tunachotaka sisi ni kuona kikombe


Arsenal are ready to hijack Newcastle’s move for Ruben Neves. Arsenal’s sporting director Edu is known to be a long-term admirer of former Wolves star Neves.
