HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Marasi wenyewe wanaijeria aka matapeli wakuu wa dunia. Utakuta wako hapo darajani wanaanda long con ya kupiga hela za Boehly na kuoa wanawake wa kizungu. Mpira kwao ni by the way tu.Nina mashaka na zile blichi anazoweka.. wachezaji wa Chelsea wanafikirisha sana na vibuno vyao!
Na sasa hivi hao wenye vibuno wakiweka kambi hotel wanachanganywa na lile group la marasi wakiongozwa na Disasi, Oguchukwu na Chukwemeka.
Expectation is that Arsenal striker Gabriel Jesus won't play against Colombia (9pm kick-off on Thursday night in Brazil),