Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelkenge wametoa droo ya 4-4 na city kwa mpira wa kushawishi kabisa kuwa ni wazuri kuliko nyie washika manati mlioshinda goli 1-0 kwa pira la kubabatiza na bado hawajihisi kuwa mabingwa. Arsenal mmebahatisha ushindi mwembamba wa bahati nasibu dhidi ya city mkaanza kelele kuwa mwaka wenu huu. Mbaya zaidi tangu msimu uanze baada ya MW 1 hamjawahi kukaa kileleni lakini mnajiona mabingwa wajao.
Punguzeni matarajio msije kufa kwa presha hopers.
Manjesta mpo kundi na wafuga ng'ombe wa Scandinavia, Copenhagen na wacheza movies kina Atur Bey ,

Cha ajabu mnashika mkia

Mngewekwa kundi na kina Sevilla ,Lens na PSV simngetoka na point 0
20231112_090143.jpg
 
Hamuwezi kumfunga city timu inaruhusu Sana nafasi

Nyie miaka 8 mnafukuzana na pep mmeambulia 1,

Subiri sisi tuanze kumpika ,vijana washakomaa
Nyie mara ya mwisho kupata EPL kombe ilikuwa lini?
Lini mliambulia kikombe hicho?akiyanani
Nacheka kama mazuri
Toka mwanangu anazaliwa,amemaliza chuo mwaka huu,Arse8 hawana EPL.


Subiri uone tunavyomchakaza huyo Pep unayemuogopa...kumbukeni hatuna mababu kwenye timu,,,Kuna vijana wahuni wanafyatuka kama mashine.
 
Arsene Wenger has told Aaron Ramsdale to stay put at Arsenal, as he believes the England goalkeeper will get another chance to prove himself under Mikel Arteta.

Arsene Wenger says he’s a big fan of the Arsenal number one but admits he doesn’t know if he’s better than David Raya just yet.

Arsene Wenger on Aaron Ramsdale: “Personally, I like [Aaron] Ramsdale. If I was in his position I would not give up because I believe he has a chance to get back into the team.”
Ashasema kila baada ya dakika kadhaa kichaa kinampanda kichwani🤣
Nyie mnamlazimisha asigive up 😂😂😂😂😂
 
Ramsdale ndio maana ataendelea kula mkeka

Aaron Ramsdale: "If you ask me to concentrate on a game of football for 90 minutes? I'm finished. I can't do it."

"That's why I get involved with the fans and I'll sing along with the songs. If someone is giving me abuse, i'll turn round and give them a bit back."

"I've had my 2-3 minutes of madness in my head and then straight back to the football.... I've got my 10/15 minutes of pure concentration again."

"Next thing you know, half time is around." (Budweiser)
Kuna goli alitunguliwaga...tulikuwa tunashambuliwa ghafla kuna kama kamnyama kakawa kanapita nyuma ya goli...Rambo akageuka kukaangalia halafu akarudi tena mchezoni...kilichofata ni goli baada ya hapo🤠🤠🤠...jamaa ni golie mzuri sema huwa ana wenge flani hvi hasahasa tukikutana na timu zinazopiga msako
 
A
Chelkenge wametoa droo ya 4-4 na city kwa mpira wa kushawishi kabisa kuwa ni wazuri kuliko nyie washika manati mlioshinda goli 1-0 kwa pira la kubabatiza na bado hawajihisi kuwa mabingwa. Arsenal mmebahatisha ushindi mwembamba wa bahati nasibu dhidi ya city mkaanza kelele kuwa mwaka wenu huu. Mbaya zaidi tangu msimu uanze baada ya MW 1 hamjawahi kukaa kileleni lakini mnajiona mabingwa wajao.
Punguzeni matarajio msije kufa kwa presha hopers.
Ww walivyokutembelea hao mabroo pale kwny matofali ya kuchoma nn kilitokea🤠🤠🤠....mashabiki wa Manunu na Chelkenge mnapata wapi nguvu ya kukaza nzi hmu wakati nyny wte ni pipa na mfuniko
 
Nyie mara ya mwisho kupata EPL kombe ilikuwa lini?
Lini mliambulia kikombe hicho?akiyanani
Nacheka kama mazuri
Toka mwanangu anazaliwa,amemaliza chuo mwaka huu,Arse8 hawana EPL.


Subiri uone tunavyomchakaza huyo Pep unayemuogopa...kumbukeni hatuna mababu kwenye timu,,,Kuna vijana wahuni wanafyatuka kama mashine.
Nyie mmekaa miaka 30,

Kwasasa tupo kishindani haswa

Sare itapendeza ,ila sijui Kama mtaipata
 
Nyie mmekaa miaka 30,

Kwasasa tupo kishindani haswa

Sare itapendeza ,ila sijui Kama mtaipata
Nimeuliza nyie mlichukua lini?

Sisi tumechukua 2020.
Hiyo miaka 30 sasa ni yako,,,

Hebu onyesha kikombe Chenu kuanzia mwaka 2015 hadi sasa
 
A town, nina ndoto za kuishi A town .. karibu sana mjini uone tunavyowagonga
Mjini ndio makazi ,nipo A town kikaz, hiyo mechi nitakuwa town ,

Moja ya ajenda zetu ilikuwa kumpiga city tukafanikiwa mara 2, nyingine kushinda away kwa Everton, tumefanikiwa ,

Imebaki, kubeba point uwanjani kwenu
 
Back
Top Bottom