Kuhusu nyukesto kua westham yenye hela huo siyo uongo. Yaani pamoja na hela zote kocha wa kuiepeleka nyukesto kwenye level za elites hawezi kua Howe kwa 100%.Vipi lakini westham matokeo ngap ngap nembu tupe uchambuziii
Wewe ndo ulisema Newcastle ni westham iliyochangamka na tayariii mmekula pakiti moja ya ndomu sasa subiri pakiti 2 ziiishe jumamosi
Hata wachezaji mlionao wengi ni wa kufanya nao warm up wakati mnasubiri kwenda level za elites.
Westham katufunga Arsenal chama kubwa 3. Tumechana sana mikeka ya watu wasiojua timu yenye malengo haigombei carabao.


