Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Vipi lakini westham matokeo ngap ngap nembu tupe uchambuziii

Wewe ndo ulisema Newcastle ni westham iliyochangamka na tayariii mmekula pakiti moja ya ndomu sasa subiri pakiti 2 ziiishe jumamosi
Kuhusu nyukesto kua westham yenye hela huo siyo uongo. Yaani pamoja na hela zote kocha wa kuiepeleka nyukesto kwenye level za elites hawezi kua Howe kwa 100%.

Hata wachezaji mlionao wengi ni wa kufanya nao warm up wakati mnasubiri kwenda level za elites.

Westham katufunga Arsenal chama kubwa 3. Tumechana sana mikeka ya watu wasiojua timu yenye malengo haigombei carabao.
 
Huyo jesus mwenye mapaja mengi ana goli ngapi? Jipe hopes ni kawaida yenu nyinyi tena una bahati hayupo ungekula vinu vya kutosha hio jumamos
Screenshot_20231102-155839.png
 
Kuhusu nyukesto kua westham yenye hela huo siyo uongo. Yaani pamoja na hela zote kocha wa kuiepeleka nyukesto kwenye level za elites hawezi kua Howe kwa 100%.

Hata wachezaji mlionao wengi ni wa kufanya nao warm up wakati mnasubiri kwenda level za elites.

Westham katufunga Arsenal chama kubwa 3. Tumechana sana mikeka ya watu wasiojua timu yenye malengo haigombei carabao.

Hela zipi mkuu? Pesa mnazo nyinyi rice paun 100, haivertz 60 tena with huge salaries, howe hawezi ila Arteta anaweza tusubiri muda ni jibu sahihi.

Kama hawa ndo wachezaji wetu wa warm up sasa hao wenyewe wa kutupekeka huko si ni hatariii zaidiii maana hawa wachezaji wa warmup hakuna hata mchezaji mmoja wa arsenal hii ya kurusha jezi anaewafikia kwa vitu hivi vitatu @ SAVES &CLEAN SHEETS, ASSISTS na mwisho kabisa GOALS .
Kama yupo tuonyeshe kwa upande wa Goals scored hii Newcastle ya eddie howe pia imewazidi pamoja na ratiba ya kibabe iliyokuwa nayo.

Hamgombei carabao mnagombea nini au kuna arsenal mbili tofauti si jana tu arteta kasema carabao ni muhimu kama ligi au sizitakii mbichi hizi mpaka kufika may itakuwa bado tupo phase 4 makombe ni mpaka phase 7
 
Nyny mnaorefusha shingo Kila siku kwani mna nn....zaidi ya kurukaruka tu
Hela zipi mkuu? Pesa mnazo nyinyi rice paun 100, haivertz 60 tena with huge salaries, howe hawezi ila Arteta anaweza tusubiri muda ni jibu sahihi.

Kama hawa ndo wachezaji wetu wa warm up sasa hao wenyewe wa kutupekeka huko si ni hatariii zaidiii maana hawa wachezaji wa warmup hakuna hata mchezaji mmoja wa arsenal hii ya kurusha jezi anaewafikia kwa vitu hivi vitatu @ SAVES &CLEAN SHEETS, ASSISTS na mwisho kabisa GOALS .
Kama yupo tuonyeshe kwa upande wa Goals scored hii Newcastle ya eddie howe pia imewazidi pamoja na ratiba ya kibabe iliyokuwa nayo.

Hamgombei carabao mnagombea nini au kuna arsenal mbili tofauti si jana tu arteta kasema carabao ni muhimu kama ligi au sizitakii mbichi hizi mpaka kufika may itakuwa bado tupo phase 4 makombe ni mpaka phase 7
 
Ana goli moja na katuweka pale nafasi ya 2...nyny mko ya ngapi mkuu

goli mmoja na assist ngapi ?? Nimekuonea huruma tu nimemchukua gordon ila bado kamzidi kila kitu si assist si goals. Nafasi ya 2 ukimaliza hio nafasi unapewa kombe gani still hio nafasi si yako subiri december muda wa kushikana mashati ndo utasema vizuriii hapa bado haujasema ila utasema tu huko MAY.

Striker wako mkali ana goli 1 kazidiwa kila kitu na striker butu wa Newcastle, alichomzidi wilson ni dakika za kucheza tu jesus kacheza dakika nyingi
IMG_1954.jpg

IMG_1955.jpg

Maneno kidogo data nyingi leta na zako za Gabriel ku overlapping & overloading : mpaka hapa unachakuongea nikakusikiliza kweliii au huo ujasiri unapata wapi mkuu.
 
Hela zipi mkuu? Pesa mnazo nyinyi rice paun 100, haivertz 60 tena with huge salaries, howe hawezi ila Arteta anaweza tusubiri muda ni jibu sahihi.

Kama hawa ndo wachezaji wetu wa warm up sasa hao wenyewe wa kutupekeka huko si ni hatariii zaidiii maana hawa wachezaji wa warmup hakuna hata mchezaji mmoja wa arsenal hii ya kurusha jezi anaewafikia kwa vitu hivi vitatu @ SAVES &CLEAN SHEETS, ASSISTS na mwisho kabisa GOALS .
Kama yupo tuonyeshe kwa upande wa Goals scored hii Newcastle ya eddie howe pia imewazidi pamoja na ratiba ya kibabe iliyokuwa nayo.

Hamgombei carabao mnagombea nini au kuna arsenal mbili tofauti si jana tu arteta kasema carabao ni muhimu kama ligi au sizitakii mbichi hizi mpaka kufika may itakuwa bado tupo phase 4 makombe ni mpaka phase 7
Ushaanza kuandika kishabiki.

Sisi tulimkosa Guimaraes akaja kwenu kwa ajili ya nini? Isak akaja kwenu badala ya Arsenal kwa ajili ya nini?

Endelea na watu wengine wanaotaka miyeyusho
 
Arteta kaanza na viungo wote hawajui kukaba plus vulnerable Zinchenko, halafu tupate matokeo!

Hao viungo hawajawahi kucheza hata siku moja pamoja..

Halafu utasikia mtu anakuambia bora tumuuze Partey january!

Hata alivyoingia Rice unaona kabisa mambo hayaendi, mpira unakuwa recycled at the end tunakua hatuna threat kabisa.
Hivi umesahau kuwa Arteta anachagua kikosi kwa kurusha jezi hewani na anayedaka ndio anayeingia uwanajani kuanza?
Mbona watu vigeugeu ninyi au mnataka abadilishe utaratibu wa kuchagua kikosi kipana alichonacho?
 
Wachezaji gani wanaocheza kila siku mkuu kwani lineup si ile ile tu
1:Nketiah 2:ben white 3: gabriel 4:zincheko haw wote wanacheza kila siku .

2: Aerola, antonio, ward prowse na zouma hawa ni first eleven ya westham na hakucheza jana pia au unaona wewe tu ndo ulipumzisha wachezaji , fabianski ni second goalkeeper westham .
We jamaa una facts, saluti.
 
goli mmoja na assist ngapi ?? Nimekuonea huruma tu nimemchukua gordon ila bado kamzidi kila kitu si assist si goals. Nafasi ya 2 ukimaliza hio nafasi unapewa kombe gani still hio nafasi si yako subiri december muda wa kushikana mashati ndo utasema vizuriii hapa bado haujasema ila utasema tu huko MAY.

Striker wako mkali ana goli 1 kazidiwa kila kitu na striker butu wa Newcastle, alichomzidi wilson ni dakika za kucheza tu jesus kacheza dakika nyingi View attachment 2801464
View attachment 2801465
Maneno kidogo data nyingi leta na zako za Gabriel ku overlapping & overloading : mpaka hapa unachakuongea nikakusikiliza kweliii au huo ujasiri unapata wapi mkuu.
Nimekuuliza baada ya hayo yte mko nafasi ya ngapi...hutaki kujibu unakimbilia kuleta mapicha hmu na data za ajabu ajabu....baada ya Gordon kutupia mko nafasi ya ngapi...tukisema nyny bdo ni wadogo tuna maana kama hzi
 
goli mmoja na assist ngapi ?? Nimekuonea huruma tu nimemchukua gordon ila bado kamzidi kila kitu si assist si goals. Nafasi ya 2 ukimaliza hio nafasi unapewa kombe gani still hio nafasi si yako subiri december muda wa kushikana mashati ndo utasema vizuriii hapa bado haujasema ila utasema tu huko MAY.

Striker wako mkali ana goli 1 kazidiwa kila kitu na striker butu wa Newcastle, alichomzidi wilson ni dakika za kucheza tu jesus kacheza dakika nyingi View attachment 2801464
View attachment 2801465
Maneno kidogo data nyingi leta na zako za Gabriel ku overlapping & overloading : mpaka hapa unachakuongea nikakusikiliza kweliii au huo ujasiri unapata wapi mkuu.
Nimekuuliza baada ya hayo yte mko nafasi ya ngapi...hutaki kujibu unakimbilia kuleta mapicha hmu na data za ajabu ajabu....baada ya Gordon kutupia mko nafasi ya ngapi...tukisema nyny bdo ni wadogo tuna maana kama hzi
 
Back
Top Bottom