Kula chuma hicho."I don't think I have three World Cup winners that can think like this about the Carabao Cup."
Mikel Arteta on reports that Arsenal players are 'unmotivated' by the EFL Cup![]()
Kula chuma hicho."I don't think I have three World Cup winners that can think like this about the Carabao Cup."
Mikel Arteta on reports that Arsenal players are 'unmotivated' by the EFL Cup![]()
Hahahaha endela kufocusLet's focus Jumamos EPL
Ngoja usikiwe, utaletewa takwimu hapa. Na assist kutoka mtu wa nne. Lord Kai fundi. Ameletwa kuwin mipira ya juu tu. Sio kuassist wala kufunga.Tulisema tangu mwanzo KAI NI MZIGO in all matches has played ana goal 1 pekee la penalty ya kupewa hata assist hazizidi 2
Tulisema tangu mwanzo KAI NI MZIGO in all matches has played ana goal 1 pekee la penalty ya kupewa hata assist hazizidi 2


Masingeli anakwambia Kai akiwa uwanjani timu inawin duel zote hivyo Kai ni nguzo imara na ni mhimili mkubwa sana Kwenye mafanikio ya timu.Utaambiwa anawin aerial duelTulisema tangu mwanzo KAI NI MZIGO in all matches has played ana goal 1 pekee la penalty ya kupewa hata assist hazizidi 2
Manjesta kumbe yalikandwa Tena
![]()


Manjesta kakandwa halafu Arsenyau kakunwa.
kama Arsenyau lakini mwisho wa msimu akawa nyuma yako nafasi ya 5&6 wote mkaenda kucheza Europa. 


Sio kwamba hapa umekariri maisha? Je ikitokea tofauti?Manjesta kakandwa halafu Arsenyau kakunwa.
Uzuri wa Manjesta hata akiwa mbovu vipi lakini mwisho wa msimu unamkuta Yuko madakoni Kwa Arsenyau.
Msimu wa 2021-2022 ulikua unamcheka na kumbeza kwelikweli Man Utd kwa kukosa clean shitkama Arsenyau lakini mwisho wa msimu akawa nyuma yako nafasi ya 5&6 wote mkaenda kucheza Europa.
Msimu wa 2022 - 2023 pia ulikua unamkandia Man Utd kwa pira lake la papatupapatu lakini mwisho wa msimu Arsenyau kashika nafasi ya 2 mikono mitupu halafu Man Utd nafasi ya 3 na kombe lake mkononi
Msimu huu pia yatakua ni yaleyale tu, halafu kitu cha kufurahisha zaidi haya yote yanatokea wakati Man Utd yupo kwenye hali mbaya zaidi kiubora wakati Arsenyani wao wao wanajisifu wako kwenye peak ya ubora wao.
Masingeli nakuhakikishia msimu huu Arsenyau akitoboa top4 basi na Utd nae lazima awepo Uefa, na Utd akienda Europa jua Arsenyau hatakuwepo kwenye top4.
Kwa Arsenyau hii hakuna cha tofauti.
Sasa si wewe mwenyewe umetuletea humu hii quote toka kwa Arteta, iweje tena unalalamika kocha anapolaumiwa na mashabiki?Arteta huwa anasema ukipewa nafasi perform, kuna wachezaji wanapewa nafasi na bado hawaonyeshi kiwango.
Anaekuja kupewa lawama ni kocha, ila tujiulize! kweli kocha anastahili lawama kwenye mazingira haya!?
Na watu wanalaumu ooh Arteta hatoi game time kwa wachezaji wengine, Mfano Nelson, Trossard (as long as Martinelli is fit and Saka) sioni hao wakianza watokee bench tu.
Hata Rambo Raya will start all day anytime kwenye EPL na UEFA


Hivi masingeli kwa nini lakini unapenda kuwachukulia kama misukule mashabiki wa Arsenyau? Tumetolewa Carabao



mtatolewa na mashindano yote yaliyobaki halafu mwisho wa msimu mtajikuta mmebaki na sinia tu la ngao ya jamii kima nyie.Pole sana bossila kauli mbiu si ilikua ni mpaka carabao tunalitaka vipi matumaini bandia yaneisha leo.



Mwisho wa msimu hawa false hopers wataanza kutukanana humu, halafu kuna wengine watajipiga Ban.Leo Kocha amezingua kupanga kikosi chake



kwani si tulikubaliana humu kua mna kikosi kipana na first eleven jezi zitarushwa juu atakae wahi ndie ataingia uwanjani?Wa kulaumiwa ni kocha tu, toka kuwanunua na kupanga kikosi ni yeye tu.Tulisema tangu mwanzo KAI NI MZIGO in all matches has played ana goal 1 pekee la penalty ya kupewa hata assist hazizidi 2
Tukisema Arteta ana kikosi kimoja muwe waelewa.


Kwa hio Masingeli anavyosema mna kikosi kipana hua anawadanganya? Ovyo sana.Arteta anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe
N.B ipo siku tutaelewana tu
Tutatoka kapa tena this time around.Arteta anajifanya mjuaji sana.. sasa afurahie matunda ya kudharau mechi.