Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kwani si tulikubaliana humu kua mna kikosi kipana na first eleven jezi zitarushwa juu atakae wahi ndie ataingia uwanjani?
Binafsi nikiri wazi, kuwa hatuna kikosi kipana cha kugombea makombe yote ya Uefa, EPL, carabao, FA n.k

Tunahitaji kuwa na quality ya kikosi kwenye kila namba.

Jana golikiba wetu Ramsdale pamoja na makosa ya Kiungo na Beki zetu lakini naye alituchomesha sana.

Nahisi kuwekwa Benchi kumechangia pakubwa kupunguza kiwango chake.

All in all mpira una matokeo 3, hivyo tumekubali Westham walituzidi technically
 
Arteta huwa anasema ukipewa nafasi perform, kuna wachezaji wanapewa nafasi na bado hawaonyeshi kiwango.

Anaekuja kupewa lawama ni kocha, ila tujiulize! kweli kocha anastahili lawama kwenye mazingira haya!?

Na watu wanalaumu ooh Arteta hatoi game time kwa wachezaji wengine, Mfano Nelson, Trossard (as long as Martinelli is fit and Saka) sioni hao wakianza watokee bench tu.

Hata Rambo Raya will start all day anytime kwenye EPL na UEFA
I wish Kai aione hii comment yako
Arteta sidhani Kama atakubali kumvumilia Kama nae atakua hivi hivi

Arteta ndio aliemleta Ramsdale. Leo anasugua bench Raya takin over

Kai inabidi alijue hilo
 
Hehehe tumefungwa carabao hadi shabiki wa nyukesto kaja.

Juzi tunamuita anapita kimya kimya

Wewe team huna ile kauli mbiu ya carabao mnalitaka rasmi imethibitishwa kuwa ni false hope .

Kuna ile kauli inasema “ muda utaongea “ naona ushaanza kuongea sasa tayariii carabao out , wazee wa kikosi kipana jana mmechezea 3 na kikosi chenu cha overplaying.

Newcastle jana wamecheza watoto wote na mtu kachezea za kutosha huku mshaanza kushikana mashati sijuiii kwanini rambo kacheza mara kai anakula matusi mara arteta kachoma kapanga kikosi kibovu yaani bado mpaka tufike may mtakuwa mshasemaaa
 
Mwisho wa msimu hawa false hopers wataanza kutukanana humu, halafu kuna wengine watajipiga Ban.

Before match utasikia kikosi kipana mara overplaying mara jezi zirushwe juu.
After match zinaanza lawama mara ooh kai mara injuries sijuiii angekaaa partey .

Sisi kazi yetu ni kuhesabu tu
1. Carabao cup : FALSE HOPE
2:EPL loading : FALSE HOPE
3: UEFA loading: FALSE HOPE
4: FA Cup : FALSE HOPE
 
Naona unashuka nao jumla jumla mkuu
Jamaa zangu hawa, kila siku hua nawaambia humu Masingeli msiwe mnamuamini sana, anatumiwa tu na Mabeberu kuwaanisha uongo Halafu mwisho wa msimu anawatelekeza peke yenu humu mnabaki kama yatima,
Lakini hawasikii wacha yawakute sasa.
1692817267896.jpg
 
Kuna wahuni humu waliwaaminisha wenzao msimu huu Arsenyo anachukua Treble, lakini muda huu wamejificha kama vile hii timu haiwahusu. View attachment 2801298
Ongeeni ndugu zetu....ni wakati wenu huu🤠🤠🤠....tumetolewa na West Ham....waliitawala na kuitaka mechi zaidi yetu...ila msijipe matumaini saaaana🤠🤠🤠....kombe limebaki mikononi mwa Liverpool watalichukua maana sioni mtu mwingine wa kulibeba....yamebaki matatu tutabeba mojawapo🤠🤠🤠
 
Havertz has huge potential and can perform in high level in AFC .
Si mashabiki si makocha wanaongoza kwa kupeana false hope , cheki hapa arteta anawapa false hope vijana wake
Ww ropoka yte ila Jumamosi tunawafata mje tuone mtakavyotufunga🤠🤠🤠...bdo hamna timu ya kusumbua kabisa....watoto wadogo sana nyny
 
Jamaa zangu hawa, kila siku hua nawaambia humu Masingeli msiwe mnamuamini sana, anatumiwa tu na Mabeberu kuwaanisha uongo Halafu mwisho wa msimu anawatelekeza peke yenu humu mnabaki kama yatima,
Lakini hawasikii wacha yawakute sasa. View attachment 2801296
Habari ya kusema tukimamiza kwny top 4 basi na ww utakuwepo sahau mkuu🤠🤠🤠...Labda kama refa atarudi kuwa Howard Webb acheze mechi zenu zte zilizobaki...nyny na Chelsea mtafuatana kama Bibi na bwana...mmoja nafasi ya 10 mwingine ya 11....hzo ndo nafasi zenu
 
Ww ropoka yte ila Jumamosi tunawafata mje tuone mtakavyotufunga...bdo hamna timu ya kusumbua kabisa....watoto wadogo sana nyny

Vipi lakini draw na westham ulipiga kelele sana kiko wapi ?

Taarifa ndogo tu nikupe jana game yetu ya jana kulikua na madogo janja zaidii ya 9 uwanjani na ball limepigwa lakutosha bado hapo majeruhi tulikua nao kama 6 hivi kina isak, murphy, barnes, tonali & botman
 
Wewe team huna ile kauli mbiu ya carabao mnalitaka rasmi imethibitishwa kuwa ni false hope .

Kuna ile kauli inasema “ muda utaongea “ naona ushaanza kuongea sasa tayariii carabao out , wazee wa kikosi kipana jana mmechezea 3 na kikosi chenu cha overplaying.

Newcastle jana wamecheza watoto wote na mtu kachezea za kutosha huku mshaanza kushikana mashati sijuiii kwanini rambo kacheza mara kai anakula matusi mara arteta kachoma kapanga kikosi kibovu yaani bado mpaka tufike may mtakuwa mshasemaaa
Sasa nyumbu si tulikubaliana wanafungwa hata na Gwambina? Na jana kocha wao kasema ni kweli yeye anasubiria muda tu
 
Ongeeni ndugu zetu....ni wakati wenu huu....tumetolewa na West Ham....waliitawala na kuitaka mechi zaidi yetu...ila msijipe matumaini saaaana....kombe limebaki mikononi mwa Liverpool watalichukua maana sioni mtu mwingine wa kulibeba....yamebaki matatu tutabeba mojawapo
Masingeli anawaaminisha misukule pamoja na chawa wake kua kombe rahisi kuliko yote kuchukua ni Uefa, mimi nikamuuliza kama Uefa ni kombe rahisi kubeba haya tuambie tokea kuumbwa kwa Dunia Arsenyau amebeba makombe mangapi ya Uefa?
Mpaka leo hajanibu naomba wewe chawa wake umsaidie kujibu hilo swali jepesi.
IMG_20230211_203954.jpg
 
Sasa nyumbu si tulikubaliana wanafungwa hata na Gwambina? Na jana kocha wao kasema ni kweli yeye anasubiria muda tu

Vipi lakini westham matokeo ngap ngap nembu tupe uchambuziii

Wewe ndo ulisema Newcastle ni westham iliyochangamka na tayariii mmekula pakiti moja ya ndomu sasa subiri pakiti 2 ziiishe jumamosi
 
Back
Top Bottom