Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Tutatoka kapa tena this time around.



Ongeza sauti Masingeli asikie.Tutatoka kapa tena this time around.



Ongeza sauti Masingeli asikie.Binafsi nikiri wazi, kuwa hatuna kikosi kipana cha kugombea makombe yote ya Uefa, EPL, carabao, FA n.kkwani si tulikubaliana humu kua mna kikosi kipana na first eleven jezi zitarushwa juu atakae wahi ndie ataingia uwanjani?
I wish Kai aione hii comment yakoArteta huwa anasema ukipewa nafasi perform, kuna wachezaji wanapewa nafasi na bado hawaonyeshi kiwango.
Anaekuja kupewa lawama ni kocha, ila tujiulize! kweli kocha anastahili lawama kwenye mazingira haya!?
Na watu wanalaumu ooh Arteta hatoi game time kwa wachezaji wengine, Mfano Nelson, Trossard (as long as Martinelli is fit and Saka) sioni hao wakianza watokee bench tu.
Hata Rambo Raya will start all day anytime kwenye EPL na UEFA
Hehehe tumefungwa carabao hadi shabiki wa nyukesto kaja.
Juzi tunamuita anapita kimya kimya


ile kauli mbiu ya carabao mnalitaka rasmi imethibitishwa kuwa ni false hope .Mwisho wa msimu hawa false hopers wataanza kutukanana humu, halafu kuna wengine watajipiga Ban.

.
: FALSE HOPE


Mcheki huyo ben white alivyosimama hapo![]()


Ben White anamuonea wivu Maguire kutikisa nyavu, jana kaona isiwe kinyonge wacha nianze na mimi kuchuana na Lord Maguire.Naona unashuka nao jumla jumla mkuu 😂😂😂😂
Humu ndani leo pagumu sana.Mwisho wa msimu hawa false hopers wataanza kutukanana humu, halafu kuna wengine watajipiga Ban.
Naona unashuka nao jumla jumla mkuu![]()



Jamaa zangu hawa, kila siku hua nawaambia humu Masingeli msiwe mnamuamini sana, anatumiwa tu na Mabeberu kuwaanisha uongo Halafu mwisho wa msimu anawatelekeza peke yenu humu mnabaki kama yatima, Humu ndani leo pagumu sana.


Kuna wahuni humu waliwaaminisha wenzao msimu huu Arsenyo anachukua Treble, lakini muda huu wamejificha kama vile hii timu haiwahusu. 
Ongeeni ndugu zetu....ni wakati wenu huu🤠🤠🤠....tumetolewa na West Ham....waliitawala na kuitaka mechi zaidi yetu...ila msijipe matumaini saaaana🤠🤠🤠....kombe limebaki mikononi mwa Liverpool watalichukua maana sioni mtu mwingine wa kulibeba....yamebaki matatu tutabeba mojawapo🤠🤠🤠Kuna wahuni humu waliwaaminisha wenzao msimu huu Arsenyo anachukua Treble, lakini muda huu wamejificha kama vile hii timu haiwahusu. View attachment 2801298
Ww ropoka yte ila Jumamosi tunawafata mje tuone mtakavyotufunga🤠🤠🤠...bdo hamna timu ya kusumbua kabisa....watoto wadogo sana nynyHavertz has huge potential and can perform in high level in AFC .
Si mashabiki si makocha wanaongoza kwa kupeana false hope , cheki hapa arteta anawapa false hope vijana wake![]()
Habari ya kusema tukimamiza kwny top 4 basi na ww utakuwepo sahau mkuu🤠🤠🤠...Labda kama refa atarudi kuwa Howard Webb acheze mechi zenu zte zilizobaki...nyny na Chelsea mtafuatana kama Bibi na bwana...mmoja nafasi ya 10 mwingine ya 11....hzo ndo nafasi zenuJamaa zangu hawa, kila siku hua nawaambia humu Masingeli msiwe mnamuamini sana, anatumiwa tu na Mabeberu kuwaanisha uongo Halafu mwisho wa msimu anawatelekeza peke yenu humu mnabaki kama yatima,
Lakini hawasikii wacha yawakute sasa. View attachment 2801296
Ww ropoka yte ila Jumamosi tunawafata mje tuone mtakavyotufunga...bdo hamna timu ya kusumbua kabisa....watoto wadogo sana nyny

kiko wapi ? Sasa nyumbu si tulikubaliana wanafungwa hata na Gwambina? Na jana kocha wao kasema ni kweli yeye anasubiria muda tuWewe team hunaile kauli mbiu ya carabao mnalitaka rasmi imethibitishwa kuwa ni false hope .
Kuna ile kauli inasema “ muda utaongea “ naona ushaanza kuongea sasa tayariii carabao out , wazee wa kikosi kipana jana mmechezea 3 na kikosi chenu cha overplaying.
Newcastle jana wamecheza watoto wote na mtu kachezea za kutosha huku mshaanza kushikana mashati sijuiii kwanini rambo kacheza mara kai anakula matusi mara arteta kachoma kapanga kikosi kibovu yaani bado mpaka tufike may mtakuwa mshasemaaa
Ongeeni ndugu zetu....ni wakati wenu huu....tumetolewa na West Ham....waliitawala na kuitaka mechi zaidi yetu...ila msijipe matumaini saaaana
....kombe limebaki mikononi mwa Liverpool watalichukua maana sioni mtu mwingine wa kulibeba....yamebaki matatu tutabeba mojawapo
![]()



Masingeli anawaaminisha misukule pamoja na chawa wake kua kombe rahisi kuliko yote kuchukua ni Uefa, mimi nikamuuliza kama Uefa ni kombe rahisi kubeba haya tuambie tokea kuumbwa kwa Dunia Arsenyau amebeba makombe mangapi ya Uefa? Sasa nyumbu si tulikubaliana wanafungwa hata na Gwambina? Na jana kocha wao kasema ni kweli yeye anasubiria muda tu

